Lady Jaydee ampigia magoti Ruge

Lady Jaydee ampigia magoti Ruge

Mtazamo sie kihivyo.Clouds imeuzwa mda mrefu sana kwa Lowasa na Manji.hivyo hawana nguvu hawo akina Ruge na mwenzie.Na isitoshe Jide kesha fungua Radio Station yake.

kafungua lini
inaitwaje
masafa yake
we need fact sio porojo
 
Akipiga magoti kwa ruge sisikilizi tena mziki wake kuanzia sasa
Ila yule demu ni komando hawezi kufanya huo upuuzi ruge si kamty tu!
 
Mi con faida yoyote ya kuto kupatana hv huyu dada analingia nn chuki haijeng hii Dunia tunapta shaul zenu shabikien ushetwan

Hivi huwa mnashindwa kuandika neno zima? Huwezi kuandika "sioni" eti con huu mwandiko huwa unanichosha!
 
Kupitia ukurasa wake facebook Jaydee amesema
;" Nakanusha tena na tena, hii habari ni ya uongo na sijui walio andika wana nia gani. Hiki kitu hakiwezi kuja kutokea. ..naweza kupiga magoti mbele za Mungu na mama yangu mzazi tu.""

10494766_773785565985575_313148355378116145_n.jpg
Inawezekana isiwe kweli but I can sense something on her tone... yaani amekanusha kwa adabu sana kuliko ilivyo kawaida yake ingawaje amesema "hii kitu haiwezi kutokea" wakati bado ni dada wa makamo na ana maisha mrefu mbele!
 
uwongo mtupu!Anakonda hawezi fanya ujinga huo.Amekanusha ktk akaunti ya twita.
 
Ni magazeti ya Shigongo au. Jd hajafilisika kwa taarifa ana hela ndefu clean kabisa. Pile zenu Kusaga na Ruge wazee wa vimboto.
 
Ni magazeti ya Shigongo au. Jd hajafilisika kwa taarifa ana hela ndefu clean kabisa. Pile zenu Kusaga na Ruge wazee wa vimboto.

Yule mwana mama ana pesa ndefu sana angekuwa mtu wa bata apa town wangekoma, sema jide hana hizo na ni mbahili kishenz ndo maana anaendelea
 
umeona eeeh!hv wasanii hawana lyf bila clouds?thnx to jide mana team anaconda nlihs kuvuliwa nguo

Haya ndio mawazo potofu na ya kimaskini,kiukweli hakuna clouds bila wasanii, sema wasanii hawalielewi hilo.kwa nchi zilizoendelea wasanii wanalipwa ili nyimbo zao zipigwe redioni.lakini bongo wao ndio wanahonga ili nyimbo zao zirushwe
 
Back
Top Bottom