Lady Jaydee apiga dongo gizani "kichwa kama tofali"

Anakosoa Kazi Ya uumbaji? and then anategemea kudura apate Mtoto...

Watu Wakiambiwa There is No God wanabisha hadi mishipa inawatoka... lakini wanavyotenda kazi zao na matendo yao yanadhihirisha kabisa there is no God... Period
Unanikumbusha maandiko "watu hawa huniabudu bure kwa vinywa vyao hali mioyo yao iko mbali nami"
 
Nina ushahidi kwa hili, i had an eyewitnesses on the broken relationship huwa siku zote yule mwenye maneno machafu, kejeli na mipasho kwa mwenzake yeye ndiyo ameumia na ana majeraha ya moyo baada ya uhusiano kuvunjika na bado unakuta ana mapenzi, sasa ili kutoa machungu ya moyoni nilazima utakuta anatumia nguvu nyingi sana kumtukana mwenzake, ndicho kinacho mtokea jide... But she is wasting her energy and time to attack Gadner
 
Ila kuachana na mtu ukaendelea kumfatilia ina maana bado unaye moyoni....
 
Hicho hicho kilimkojoza au kipindi hicho alikuwa anakivumilia hivyo hivyo?
 
Yaani nimecheka sana eti kichwa kama tofali khaa!!wanaweke wana maneno ya karaha.
 
hahahahahahahahahaahhaahahahah UMENENA VEMA PASIPO SHAKA YOYOTE
 
alafu bado anatafuta mchawi wa kwanini mimba hazishiki, ....mwili wa mawazo "emotions" ndio unaobeba mwili huu unaouona, kwa kifupi ndio sababu watu wengine wanakula na kulala vizuri lakini kila siku wapo kwa daktari.
 
alafu bado anatafuta mchawi wa kwanini mimba hazishiki, ....mwili wa mawazo "emotions" ndio unaobeba mwili huu unaouona, kwa kifupi ndio sababu watu wengine wanakula na kulala vizuri lakini kila siku wapo kwa daktari.

Alisha kulilia shida au kukuomba ushauri? Au ndio kuusemea moyo?
 
Huo ni ukweli mtupu [emoji121][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
 
parhaps alikuwa anafurahisha jukwaa tu ukiangalia nature ya wimbo ila bongoland kila kitu kukilazimishia kiwe ni bifu ndo maana umasikini umewaganda kama kupe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…