:tape2::tape2::tape2::tape2::nono:
Well said mkuu, wanasema " if the first idea is not absurb there is no hope for it"Nimependa sana huu mchango wako mkuu,
Watu wengi wanaochangia hapa wanaowaona wanandoa hawa kama kituko,lakini ukweli kama utalichukulia swala lao katika hali chanya walichofanya ndicho walichopaswa hasa kufanya,wakiwa kama vioo vya jamii wametumia changamoto yao kuifundisha Jamii kuwa changamoto hizo zipo,zinaweza mfika mtu yoyote bila kujari hadhi yake katika jamii,lakini zinasuluhu yake.
Hivyo si dhani kama ni jambo la Aibu kulizungumza kiasi cha kuonekana wao ni kituko.
exactlly, bnafsi sikuona umuhimu wa jide na gadner kulizugumizia hlo jambo kwnye public!
Hana lolote jini mahaba anafuata wAtu wenye mvuto..sasa jay dee jini mahaba anafuata nini.au cd za miziki
hii hatari