Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,585
- 15,468
NdiyoBima ilikua ya Patric pia alimkatia mwanae na mkewe
Kuna limit ya gharama
Afu vibaya sana.Casto ana bima ya kuchuma tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdiyoBima ilikua ya Patric pia alimkatia mwanae na mkewe
Na wewe upunguze kumfuatilia haitakupunguzia kitu.Mtu yuko UK ila jamani maugomvi yote ya bongo anataka ashiriki.
Basi wote mpo kundi moja. Kila mtu apambane na hali yake.Kama ambavyo yeye hajaacha ya watu na mimi siwezi kumuacha
Hiyo imani ndo uchawi wenyeweAh wapi!
Hakuna uchawi.
Kilichopo ni imani tu.
Na imani is just that, imani tu.
Hiyo imani ndo uchawi wenyewe
Kwahyo inamana hata kule usukumani hujaona wala kusikiaa uchawi wa kutumiana fisi?
Na imani si uhalisia. Ni mambo ya kufikirika tu.
Mfano, wewe hapo unaweza kuamini kuwa Ngabu ni prescription drug addict.
Lakini hiyo imani yako si uhalisia wangu. Mimi siyo junkie wa aina yoyote.
Nimeshasikia zaidi ya huo. Hadi Gamboshi nishafika.
Lakini yote ni maneno tu. Kiuhalisia hamna lolote.
Hence muanzsha uzi naye ni mnafki au nmeelewa vibaya.
Una picha ya huyo LadyN tafadhari?[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Munalove ni bongo movie shoga mkubwa wa Lulu Michael na alikua bff wa Wema pia.
LadyN ni dadake Naj Datan ex gf wa Diamond/Baraka The Prince
Nimekujibu NN
Hapo umenena sawia kabisa.Mie na mleta mada hata wewe wote wanafiki hahahahha
Haya kaandika Muna mwenyewe kwenye page yake.View attachment 802691
Milly alinangwa ndo maana alishusha post. Nimekutumia alichoandika da Muna
Huyo Peter ana wadhifa mjini?Lazima imuume.Kuto.mbewa mke,kulea mtoto sio wako unalipa ada,matunzo na kila kitu alafu unaambiwa mtoto si wako.Kiheshima wangeacha amzike mtoto.Alimgeuza ATM
Na kamlisha manini mpaka leo huyo baba anampenda na kumlilia muna.
Muna ni goldigger.Sipendi mtu kufanyiwa hivi.Hizo pesa hata kama Komu hana uzazi angefanyia mambo ya maana.
Duh!! Mtoto kapewa muuza sura mawinguni.Yani kawa kama ndondocha ni pombe tu.
Mwanamke alikuwa akirudi asubuhi anafungua mlango anaomba msamaha yeye.Alafu mwanamke anasema staki we mlevi huwez mambo!
Huyo Peter ana wadhifa gani mjini?Mwanaume mwenyewe alikua anajua mtoto sio wake so alikua anamhudumia kwa mapenzi yake!
Ishu ya mtoto inajulikana mbona mda mrefu so huyo peter anajua alichokua anafanya then walishatengana hao!
Hahahah eti sperm donorSo Casto ni sperm donor ila gharama zotee alikuwa anazivaa Peter?
Alafu asiumie.
Mun mjanja sana kachangisha michango Agakhan wakati cost yote ilikuwa covered.
daaahh"" umenikumbusha the fourth of July "" wimbo wa aliyekuwa demu wake NAS ...daahh nilikuwa naupendaga sana Aiseee"""The fourth of July nakumbuka fire works za US embassy nikiwaga msasani kipindi kama hiki wao hawaendagi jangwani
Huyu dada jamani kaharibu kwa kina Esma weee sasa kahamia kwa Muna Casto na Peter. Anapendaga kujifanya yeye ndo dada wa wanaume kupita dada zao halisi. Hii issue ya Pat kuwa mtoto wa nani aliishikia bango kwa nguvu zote jana kuwa sio mtoto wa Casto na kutupa list ya madem wa Casto woote kama vile tulimuuliza. Hakutosheka akatupa mpaka nyumba ya msiba eti mwananyamala sijui kwa baba wa mtoto. Haya leo kaumbuka kafuta mapost yote. Kwa kina Dai mpaka alianza kuchambana na Esma kisa Zari. Ndo maana yule mkaka alozaa nae alikaa pembeni mwanamke kutwa kuingilia maugomvi ya watu mwishowe akamchamba na baba mtoto. Mlio karibu na huyu dada mwambieni jamani anapitiliza sasa.
Kama humjui uliza kistaarabu maana sio kila mtu anaejulikana na wewe umjue.
Nahisi anajua yupo location anasoma script mkuu.Sasa huyu mama wa marehemu ana mambo siri nzito siri gani? Anaacha kuomboleza kifo cha mwanaye yupo insta kujibizana na walimwengu doooh