Lagos inanuka uchafu na Rushwa!

Nasikia makao makuu ya uchafu duniani ni india [emoji1787][emoji1787][emoji1787]wale jamaa nasikia ni wachafu sasa sijui watakua ngoma droo na wanaija.

Wee mtu anakula m*vi/m**jo wa ng’ombe unategemea awe msafi[emoji23]yani kule uwe makini kula vyakula vya mtaani, airport au kwenye ndege zao huchelew kupoteza funguo,,,jamaa ni wachafu wale [emoji1373]bora wa huku kidogo wanajitahid
 
Hata sisi tulifika huko chini ya msoga gang watu walikuwa wanakufa kwa kipindupindu kila mwaka maelfu ...wanacho fanya waswahili wa msoga kukomesa milipuko ya kipindupindu ilikuwa ni kumwanga vyakula vya mama ntilie barabarani na kuongeza zaidi uchafu na uvundo na manzi kuzidi .....mzee wa msoga ni mpumbavu haswa yule muuza ngada.
 
Kabla hatujaenda Lagos tutazame hapa kwetu tupoje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…