Lagos inanuka uchafu na Rushwa!

Lagos inanuka uchafu na Rushwa!

Nasikia makao makuu ya uchafu duniani ni india [emoji1787][emoji1787][emoji1787]wale jamaa nasikia ni wachafu sasa sijui watakua ngoma droo na wanaija.
Hapana India wanaongoza kwa uchafu duniani maana hata Modi aliposhika madaraka kama Magu walianza na usafi ila wahindi walimwambia PM sisi tumezaliwa kwenye uchafu hata ufanye nini hatubadiliki

Kuna kabila kazi yao ni kusomba kinyesi kwenye vyoo vya wazi kwq ndoo na makopo halafu wanajitwishwa kwenda kumwaga
Kuna documents niliona
Ila mimi binafsi nilenda India niloshangaa kuona wanauza sabuni ya Mavi ya ng'ombe hapo nikasema hawa hata wamasai wamefukiwa hapa


Ila Nigeria kuna sehemu inaitwa makoko slum hapo hata Kibera ya Kenya ina unafuu
 
Majitu meusi ni machafu mno.

Kila mahali ni uchafu. Full PARASITES.

Ukienda dar unakuta mavi kwenye mitaro.
 
1. Watanzania tujifunze kujivunia kwetu japo sisemi sisi Ni Bora kabisa Ila tunajitahidi

2. Binafsi, nimetembelea miji kadhaa Afrika (Kigali, Nairobi, Kampala, Bujumbura, Johannesburg, Durban, Cape Town, Windhoek, Gaborone, Cairo, Algiers, Lusaka) na nje ya Afrika (London, Vienna, Zurich, Madrid, Barcelona, Paris, Amsterdam, Frankfurt, Oslo, Stockholm, Dubai, Doha, Abu Dhabi, Manama, Muscat, Jeddah, Tokyo, Beijing) Ila sijawahi kuona mji mchafu kushinda Lagos.

3. Picha linaanzia airport hapo Ni mwendo wa uchafu kuanzia chooni, Hadi vibanda vya biashara (mbali na kuombwa rushwa na Immigration, customs na polisi wa kawaida). Ukiingia mtaan ndo utajua umefika mji wa namna gan. Hakika Lagos wanaupiga mwingi!

View attachment 2820122View attachment 2820123View attachment 2820124View attachment 2820125View attachment 2820135View attachment 2820152
Hebu weka uchafu wa manzese, sinza, shatilangu, migomigo, chai, na ferry tulinganishe
 
Kwa maisha ya mtu mmoja mmoja Tz tupo mbali sana kuzidi nchi nyingi zinazosemwa zina uchumi mkubwa Africa...thus why hata movement ya watu kutoka kutafuta nje ya nchi ni ndogo.
 
Mkuu kweli hapo ni pachafu au sio ila matajiri wa nigeria ni wanakaa banana island huko ikonyi, huko mkuu ni nyoko sana, billionaires wanaishi huko masta na kuna sehemu kama saba ivi, kuna lekki, victoria island na eko atlantic na ikeja, hizi sehemu nlizotaja mzee WEKA MBALI NA WATOTO, usije ukafananisha na tanzania kabisaaaaaa, NI NOMAAAAAAA
Lakini airport bado wanaotumia Murtala?
 
Back
Top Bottom