Exile
JF-Expert Member
- Feb 21, 2021
- 1,477
- 3,642
Unamwamini huyu? Fix nyingi ndo huyu alikuwa anajiita joshua ok badae juma angalia nyuzi zake ni kamba tuIla Jamaa limeichakaza dunia siyo utani!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamwamini huyu? Fix nyingi ndo huyu alikuwa anajiita joshua ok badae juma angalia nyuzi zake ni kamba tuIla Jamaa limeichakaza dunia siyo utani!
Hapana India wanaongoza kwa uchafu duniani maana hata Modi aliposhika madaraka kama Magu walianza na usafi ila wahindi walimwambia PM sisi tumezaliwa kwenye uchafu hata ufanye nini hatubadilikiNasikia makao makuu ya uchafu duniani ni india [emoji1787][emoji1787][emoji1787]wale jamaa nasikia ni wachafu sasa sijui watakua ngoma droo na wanaija.
Inategemea na aina ya kazi zake.Hapa JF kila mtu alipiga One O level na A level na kila mtu kashapita Airports mbalimbali duniani.
Zurich patamu. Papuchi zimefanyiwa vetting. Mtu unakula Mali safiInategemea na aina ya kazi zake.
Ila tunajuana sisi kwa kujiongeza ila sio mbaya Zurich nimepaelewaaaa.
Ukitaka mavi yakae wapi?Majitu meusi ni machafu mno.
Kila mahali ni uchafu. Full PARASITES.
Ukienda dar unakuta mavi kwenye mitaro.
KigaliMiji misafi zaidi mitatu uliyojieonea ni ipi?
Ni kwel watu weusi wameshindikana ila Rwanda wapo vzr sanaMajitu meusi ni machafu mno.
Kila mahali ni uchafu. Full PARASITES.
Ukienda dar unakuta mavi kwenye mitaro.
Hebu weka uchafu wa manzese, sinza, shatilangu, migomigo, chai, na ferry tulinganishe1. Watanzania tujifunze kujivunia kwetu japo sisemi sisi Ni Bora kabisa Ila tunajitahidi
2. Binafsi, nimetembelea miji kadhaa Afrika (Kigali, Nairobi, Kampala, Bujumbura, Johannesburg, Durban, Cape Town, Windhoek, Gaborone, Cairo, Algiers, Lusaka) na nje ya Afrika (London, Vienna, Zurich, Madrid, Barcelona, Paris, Amsterdam, Frankfurt, Oslo, Stockholm, Dubai, Doha, Abu Dhabi, Manama, Muscat, Jeddah, Tokyo, Beijing) Ila sijawahi kuona mji mchafu kushinda Lagos.
3. Picha linaanzia airport hapo Ni mwendo wa uchafu kuanzia chooni, Hadi vibanda vya biashara (mbali na kuombwa rushwa na Immigration, customs na polisi wa kawaida). Ukiingia mtaan ndo utajua umefika mji wa namna gan. Hakika Lagos wanaupiga mwingi!
View attachment 2820122View attachment 2820123View attachment 2820124View attachment 2820125View attachment 2820135View attachment 2820152
Nenda mumbai india ndiyo utajua tafsiri sahihi ya neno uchafuNime
Nimewahi kufika New Delhi angalau Wana afadhali (airport Safi kuliko Lagos).
Kwenye vijambioUkitaka mavi yakae wapi?
Bokoharam wapo huko kaskazini mwa Nigeria mpaka mpakani na Cameroon na Chad.Wee Umeshasikia Boko Haram Alafu Unategemea Nini Sasa
Kabisa Mkuu. Tanzania pazuriMimi nikikutana na mtu anaidharau Tanzania..namuona chizi
Lakini airport bado wanaotumia Murtala?Mkuu kweli hapo ni pachafu au sio ila matajiri wa nigeria ni wanakaa banana island huko ikonyi, huko mkuu ni nyoko sana, billionaires wanaishi huko masta na kuna sehemu kama saba ivi, kuna lekki, victoria island na eko atlantic na ikeja, hizi sehemu nlizotaja mzee WEKA MBALI NA WATOTO, usije ukafananisha na tanzania kabisaaaaaa, NI NOMAAAAAAA