Inawezekana we ulinunua kama simu mpya ila iliwahi kuwa refurbished before. Simu nyingi bongo zina sura hii ndiyo maana ukicheki actual price online na price za bongo unaweza jiuliza maswali yasiyo jibika.Mimi simu yangu sio mtumba na sijawahi kuwa na simu hizo zilizotumika kabla nje au ndani ya nchi
Zote hizo ni matokeo ya call forwarding.Wakati mwingine unafanya kwa kujua au bila kujua au watu wa mitandao wanakuwa wamejichanganya katika routing ila huwa namba hazifanani vinginevyo yule unayempigia angeshtuka kuona namba yake inampigiaHaiwezekani kabisa kuna shida ya kimtandao mahali..mimi pia nina shida na line yangu nikiwa offline tu ukinipigia unaambiwa huna muda wa maongezi na voda wameshindwa kabisa kulitatua hili tatizo
Mkuu ombi langu uweke hapa method hiyo ili kama lengo ni kutusaidia wana jf wenzio tunufaike wengiCheck hack Dm nikupe jinsi ya kucheki
Hata mimi nina tatizo kama hilo kea lakini ya halotel , wakati mwingine simu inaingia ikiwa na jina la mtu wa contact list yangu halafu anaongea mtu mgeni, ukikata ndo inaingia simu kweli ya mtu wangu lakini naye atalalamika kuwa akipiga simu na amepokea mtu mwingineMimi pia nina tatizo hilo halotel napigiwa na wasukuma mara kwa mara wanamtafta na kaka zangu siku nyingne wakipiga wanasema mbona simu alipokea mwingine..ngoja nije nijaribu na mimi kuopigia kwa namba nyingne.
Call forwarding haifanyi kazi kama primary line haina hela, call forwarding haifanyi kazi kupitia vifurushiMara kadhaa kaka akinipigia ananiambia mbona namba yako kuna mtu huwa anapokea.Basi nikawa napuuzia kuwa labda huwa anakosea. Ni line ambayo ina zaidi ya miaka 8 na nimesajili kwa kutumia kitambulisho cha NIDA.
Basi juzi juzi jamaa mwingine ananiambia mbona namba yako kuna mtu mwingine anapokea ikipigwa.Ikabidi nianze kufuatilia.Nikaipiga namba yangu kutumia simu hiyo hiyo ilimo line ila kwa kutumia mtandao mwingine. Duuh jamaa akapokea na nikamsalimia na kukata simu.
Ikabidi niwapigie wenye mtandao na kuwaelewesha lakini wananijibu kwamba inawezekana nime forward call lakini mimi nikiangalia kwenye setting forward call ziko disabled.
Je, waungwana nifanyeje maana ina onekana kabisa line moja inamilikiwa na watu wawili?
Line ni ya voda na haikuwa na salio wala kifurushi nimeipiga kwa halotel na jamaa akapokea. Ngoja niwatembelee ofisini.Call forwarding haifanyi kazi kama primary line haina hela, call forwarding haifanyi kazi kupitia vifurushi
Kuhakiki kuwa sio call forwarding hakikisha hakuna salio kwenye line yako halafu piga tena hiyo namba
Ukijua hivyo nenda kwa mtoa huduma ukiwa na ID iliyotumuka kusajili line. Unaoongea nao kwenye customer support line hawawezi kukusaidia kwa tatizo la aina hiyo
Mimi ni mkulima tu wa bamia mkuu.isije ikawa umedukuliwa na wenye-nchi?
Unafanya kazi gani? Angalia nyendo zako vizuri huenda umejiweka kwenye spot light!
Natania.
Kabisa yaniHata mimi nina tatizo kama hilo kea lakini ya halotel , wakati mwingine simu inaingia ikiwa na jina la mtu wa contact list yangu halafu anaongea mtu mgeni, ukikata ndo inaingia simu kweli ya mtu wangu lakini naye atalalamika kuwa akipiga simu na amepokea mtu mwingine
Lakini mkuu, divert ni kuwa wakati haupo hewani simu zako zielekezwe katika namba nyingine uliyoiweka wewe kwenye settingsMkuu, hilo tatizo maana yake ni kwamba kumewekwa divergence kwenye simu yako ambayo ni namba ya kigeni , kwamba ukiwa haupo hewani ipige kwenye namba hiyo sasa lazima imwambie anaepiga hana salio.
Mara nyingi tatizo hili hutokea kwa watu wanaonunua simu za Mtumba (used abroad) kunakuwa na namba ipo tayari by default.
Pia wakati mwingine hutokea mtu akipiga na ukiwa hupatikani inasema namba unayopiga sio sahihi , hili ni tatizo hilohilo.