Laini za simu kufungwa, akaunti za pesa kubaki

watakaofungwa tena?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
uliona kazi kuanzisha uzi wako mpaka udandie wangu?
 
ÀCHA WAFUNGE TU NILIISHIA KUJAZA FOMU ZAO
 
Unapata safaricom kama ukiwa na mtandao wowote? Yaani ukiwa na Tigo, Airtel, halotel n.k?
Mfano, kama haupo Kenya, ukienda Kenya na laini yako ya Voda kwenye simu, uki-set roam, ukitua tu Nairobi (kama unatumia ndege), unapata mawasiliano kupitia Safaricom bila kuwa na laini ya Safaricom.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unapata safaricom kama ukiwa na mtandao wowote? Yaani ukiwa na Tigo, Airtel, halotel n.k?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulivyosema kuhusu arrangement ni sawa, ila si lazima kupewa sim card ya kule uendako. Ila hao uliowataja husema kama wana huduma ya ku-roam na nchi ambazo waweza kupata huduma hiyo.
 
Mwisho wa siku itatulazimu roaming nyumbani kwa sim ya safaricom. Serikali ya ccm ama kweli imejua kumtesa mtanzania.
 
Ulivyosema kuhusu arrangement ni sawa, ila si lazima kupewa sim card ya kule uendako. Ila hao uliowataja husema kama wana huduma ya ku-roam na nchi ambazo waweza kupata huduma hiyo.
Hakuna mahali nilisema lazima uwe na line ya kule uendako, ni kwamba unapotoka kwenda nchi nyingine ili uweze kufanya roaming ni lazima mtandao wako uwe na ushirika na mtandao wa kule unakoenda ndio hao roaming partners. Kwa maana hiyo basi, mgeni akija kwetu na line ya mtandao wake anaotumia kwenye nchi yake ili aweze kufanya roaming lazima awepo roaming partner ambaye anaweza kuwa Voda, Tigo etc vinginevyo hatapata mawasiliano. Hivi ndivyo ninavyojua mimi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Minaona n Sawa tu wafungie matapeli yalikuwa meng at least itapunguza uhalifu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…