[emoji1] [emoji3] [emoji1] [emoji3]Aminini nawambia, hakuna chembe ya line itakayofungiwa.
Teknolojia yetu bado ni changa Sana, back in 2016 tuliambiwa simu bandia/feki zitazimwa lakini walijibaragua na kuzifunga simu chache huku wakiahidi kuendelea kuzifungia. Hii simu ninayotumia kuandika haya ni feki na nilijiandaa kufingiwa 2016 lakini Wataalamu wetu walishindwa.
Hii chip yangu pia sijaisajili Wala Sina mpango na nina imani kubwa kuwa tarehe 21 nitakuwa hapa nikisoma na kuchangia mada mbalimbali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maswali safi!Tunajua laini za simu szisizosajiriwa ikifika 31Desemba Kisha 20Januari 2020, zitafungwa.
Tunajua serikali ilipitisha na kuridhia laini za simu kuwa akaunti za pesa pia
Tunajua simu ikifungwa akaunti ya pesa haiwezi kutumika, maana unaanza kuwa na laini ndio upate akaunti ya pesa na sio kinyume chake.
1. Hoja na swali langu kwa vile laini za simu zinafungwa kwa matatizo ya kimawasiliano na sio ya kipesa, je baada ya kuzifunga hapo 20 Jan 2020, wenye akaunti za pesa, pesa zao na akaunti zao zitakumbwa na kitu gani ama itakuwaje mtu kutumia akaunti yake ili hali simu imefungwa?
2. Zamani laini ikikaa miezi 3 kama sijakosema watoa huduma wanairejesha laini na kumpatia mtu mwingine muhitaji, je baada ya kusajiri laini yenye usajili wa mtu kwa alama za vidole, itaishi milele ama isipotumika itafungwa pia na kupewa mtu mwingine?
Naomba kuwasilisha kwa maelezo na maelekezo
Sawa wewe tulia unafikiri walionza kuandamana walianzia tumboni kwa mama zao
nakuuliza tena uliona kazi kuanzisha uzi wako hadi udandie wangu? nisije anza kukuporomoshea matusi, hebu lete jibuTunajua laini za simu szisizosajiriwa ikifika 31Desemba Kisha 20Januari 2020, zitafungwa.
Tunajua serikali ilipitisha na kuridhia laini za simu kuwa akaunti za pesa pia
Tunajua simu ikifungwa akaunti ya pesa haiwezi kutumika, maana unaanza kuwa na laini ndio upate akaunti ya pesa na sio kinyume chake.
1. Hoja na swali langu kwa vile laini za simu zinafungwa kwa matatizo ya kimawasiliano na sio ya kipesa, je baada ya kuzifunga hapo 20 Jan 2020, wenye akaunti za pesa, pesa zao na akaunti zao zitakumbwa na kitu gani ama itakuwaje mtu kutumia akaunti yake ili hali simu imefungwa?
2. Zamani laini ikikaa miezi 3 kama sijakosema watoa huduma wanairejesha laini na kumpatia mtu mwingine muhitaji, je baada ya kusajiri laini yenye usajili wa mtu kwa alama za vidole, itaishi milele ama isipotumika itafungwa pia na kupewa mtu mwingine?
Naomba kuwasilisha kwa maelezo na maelekezo
Sawa.Hakuna mahali nilisema lazima uwe na line ya kule uendako, ni kwamba unapotoka kwenda nchi nyingine ili uweze kufanya roaming ni lazima mtandao wako uwe na ushirika na mtandao wa kule unakoenda ndio hao roaming partners. Kwa maana hiyo basi, mgeni akija kwetu na line ya mtandao wake anaotumia kwenye nchi yake ili aweze kufanya roaming lazima awepo roaming partner ambaye anaweza kuwa Voda, Tigo etc vinginevyo hatapata mawasiliano. Hivi ndivyo ninavyojua mimi
Sent using Jamii Forums mobile app