The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Huwa nafuatilia tuhuma zote alizotuhumiwa Sabaya nabaki kujiuliza What if kingetokea kidume kama Mohamed Mwamwindi kule Hai kingebadili historia yote ya Hai na kila kiongozi akipelekwa Hai anakuwa na adabu kabisa.
Wale wasiojua historia zamani kidogo Serikali ya Mwl Nyerere ilikuwa inaogopewa sana na hata Ma RC na Ma Dc walikuwa wanaogopewa. Ingawa haikuwa serikali ya kufanya mabaya kwa wananchi tena wazi wazi kama alivyofanya Sabaya.
Sasa wakati fulani ilipitishwa Sera ya Vijiji vya ujamaa kwa mujibu wa Sera hii. Wananchi waliokaa mbalimbali walikusanywa wakae pamoja ..walime pamoja. Hii Sera ilikuja kufeli na kusababisha baa kubwa la njaa baadae kabla haijabadilishwa na kusitishwa.
Watu walikufa pia maporini inasemekana walipoelekwa bila mipango sahihi. Nyerere alikuwa anajaribu ku copy Vijiji vya kijamaa vya China ..lakin utekelezaji wake ukaishia kuleta shida sana.
Sasa kule Iringa kulikuwa na kidume kimoja chenye mashamba yake Makubwa analima hadi na matrekta yake mwenyewe ...anaitwa Saidy Mwamwindi huyu akawa na yeye anatakiwa kuacha shughuli zake kwenye mji wake aende akajiunge kwenye kijiji cha ujamaa..walime na wengine.
Watu wengi walikuwa hawataki kabisa hii Sera ..walipinga kimyakimya na wengine mgomo baridi. Kampeni za kuhamasisha zilisambaa na Ma RC na ma DC walikuwa mbele sana kwenye kuhamisha hamisha watu wapelekwe kwenye Vijiji vya ujamaa.
Iringa alikuwepo RC anaitwa Dk Kleruu ambae alikuwa mkali Sana akihimiza na hata kutumia nguvu kuhamisha watu kupeleka Vijiji vya ujamaa.
Inasemekana huyu jamaa alikuwa kila mara anakwenda kwa Ndugu Mwamwindi kumtishia kutumia nguvu ya kumhamisha aende kwenye kijiji cha ujamaa.
Siku moja Huyu RC alienda kwa Mwamwindi akafoka sana na mikwara mingi na kutishia sana. Mwamwindi inasemekana aliingia ndani akatoka na bunduki yake the rest is History. Kisha akaubeba na mwili wa Marehem kwenye gari yake akaupeleka yeye mwenyewe polisi akawaambia polisi chukueni 'mzigo wenu'kwenye gari.
Nimesikia kuna dada za watu na wake za watu zaidi ya 40 huko walikuwa wanabakwa na kulawitiwa kwa nguvu huko Hai ...nikawa najiuliza what if mtu kama Sabaya angekutana na mtu kama Mohamed Mwamwindi? Leo tusingepoteza kabisa muda wa kufuatilia kesi hii.
NB: Recollection ya history ya Mwamwindi na Kleruu inaweza kuwa na errors mbalimbali sababu nilisimuliwa zamani halafu kwa mdomo tu. Wanaojua history kamili wanaweza tuwekea hapa.
Wale wasiojua historia zamani kidogo Serikali ya Mwl Nyerere ilikuwa inaogopewa sana na hata Ma RC na Ma Dc walikuwa wanaogopewa. Ingawa haikuwa serikali ya kufanya mabaya kwa wananchi tena wazi wazi kama alivyofanya Sabaya.
Sasa wakati fulani ilipitishwa Sera ya Vijiji vya ujamaa kwa mujibu wa Sera hii. Wananchi waliokaa mbalimbali walikusanywa wakae pamoja ..walime pamoja. Hii Sera ilikuja kufeli na kusababisha baa kubwa la njaa baadae kabla haijabadilishwa na kusitishwa.
Watu walikufa pia maporini inasemekana walipoelekwa bila mipango sahihi. Nyerere alikuwa anajaribu ku copy Vijiji vya kijamaa vya China ..lakin utekelezaji wake ukaishia kuleta shida sana.
Sasa kule Iringa kulikuwa na kidume kimoja chenye mashamba yake Makubwa analima hadi na matrekta yake mwenyewe ...anaitwa Saidy Mwamwindi huyu akawa na yeye anatakiwa kuacha shughuli zake kwenye mji wake aende akajiunge kwenye kijiji cha ujamaa..walime na wengine.
Watu wengi walikuwa hawataki kabisa hii Sera ..walipinga kimyakimya na wengine mgomo baridi. Kampeni za kuhamasisha zilisambaa na Ma RC na ma DC walikuwa mbele sana kwenye kuhamisha hamisha watu wapelekwe kwenye Vijiji vya ujamaa.
Iringa alikuwepo RC anaitwa Dk Kleruu ambae alikuwa mkali Sana akihimiza na hata kutumia nguvu kuhamisha watu kupeleka Vijiji vya ujamaa.
Inasemekana huyu jamaa alikuwa kila mara anakwenda kwa Ndugu Mwamwindi kumtishia kutumia nguvu ya kumhamisha aende kwenye kijiji cha ujamaa.
Siku moja Huyu RC alienda kwa Mwamwindi akafoka sana na mikwara mingi na kutishia sana. Mwamwindi inasemekana aliingia ndani akatoka na bunduki yake the rest is History. Kisha akaubeba na mwili wa Marehem kwenye gari yake akaupeleka yeye mwenyewe polisi akawaambia polisi chukueni 'mzigo wenu'kwenye gari.
Nimesikia kuna dada za watu na wake za watu zaidi ya 40 huko walikuwa wanabakwa na kulawitiwa kwa nguvu huko Hai ...nikawa najiuliza what if mtu kama Sabaya angekutana na mtu kama Mohamed Mwamwindi? Leo tusingepoteza kabisa muda wa kufuatilia kesi hii.
NB: Recollection ya history ya Mwamwindi na Kleruu inaweza kuwa na errors mbalimbali sababu nilisimuliwa zamani halafu kwa mdomo tu. Wanaojua history kamili wanaweza tuwekea hapa.