Mmakonde na kuunga mkono ila kwa kuwa utofauti na uonavyo wewe, mimi sikuzote naamini watanzania (hawana akili) za maendeleo! au mapinduzi au za kielimu, nasema hivyo nikimaanisha hata yale makabila yaliyoendelea sio watanzania!, nikianza na wahaya hawa ni waganda walisambaa wakati ule wa Buganda kingdom, Wachaga ni Wakenya, Wanyakyusa ni watu wa Zambia na Malawi, Wakurya na Wasukuma hawa wote ni Wakenya na hata waha huko kigoma ni Warundi na Wakongo kwani licha ya kunyimwa fursa wana akili za kimapinduzi ili wawe na uongozi utakaowaletea maendeleo. Tangu baada ya Nyerere tumekua tukipata viongozi waAswahili hawa sasa ndio watanzania wazawa kihistoria. Angalia maeneo yote ya waAswahili hawa utaona ni jinsi gani walivyo na uduni wa maisha ukitoa Dar es salaam ambayo imeendelezwa na wazungu, Wahindi, waarabu, wachaga, wahaya nk, leo hii ukiwatafuta Wazaramo katikati ya jiji utawakuta wachache na ndiyo wanaishi kwenye vijibanda huku wakiwa wamezungukwa na mahekalu baada ya kuuza viwanja, pia rejea DOKTA SLAA katika kampeni zake pale Bagamoyo alivyoshangaa maisha wanayoishi katika mbavu za mbwa.
Mimi nimefanikiwa kuishi dar es salaam, pwani, tanga, morogoro, iringa, mbeya arusha, kilimanjaro manyara na singida kwa kweli utofauti wa hawa ninaowaita waAswahili ambao ni wazawa na hawa wahamiaji ni mkubwa sana japo wengi wetu hatuoni, nilipoishi mbeya wanyakyusa wanavyowajibika kimaendeleo usipowasifu wewe utakuwa mkabila wa dhahiri, nguvu wanaoitumia katika kilimo mchele, mahindi, matunda nk halafu nilinganishe na wale niliowakuta Pwani, Morogoro, Tanga, Manyara na Singida ni tofauti sana.
Huko Kilimanjaro nilishangaa sana mwaka 2000 kwa mara ya kwanza nilipita kuanzia Moshi mjini kwenda SANYA JUU niliona nyumba tatu tu ambazo ni za udongo tena nyumba hizo zilionyesha si za kuishi kwani pembeni kulikuwa na nyumba nzuri ya block. Mnaoishi huko mtalithibitisha hilo kwangu ilikuwa maajabu kwani nililazimika kuangalia nyumba hizo ili nione nyumba za nyasi lakini sikufanikiwa mpaka nilipofika tena kule vijijini kumejengwa vizuri karibia kulingana na mjini cha kushangaza Kilimanjaro hiyohiyo nenda kwa Wapare utashangaa na utaweza kumuunga mkono MMAKONDE kimaendeleo hawa WACHAGA hawana utani.
Kilichonishangaza zaidi kule suala la afya wanakimbizana na hapa DAR ES SALAAM kuna hospitali kubwa za rufaa mbili KCMC na KIBONGOTO-TB, MAWENZI HOSP, MARANGU HOSP, KIBOSHO HOSP, MACHAME HOSP, KILEMA HOSP, MOSHI ARUSHA HOSP, ROMBO MISSON HOSP hizi zote ni hospital kubwa katika kamkoa kadogo unachokiona kwenye ramani ya TZ na bado sijataja hospitali yoyote ya wilaya katika wilaya za mkoa huo.
Nilipoishi arusha kwa kweli hata wanaoishi pale wanisaidie kwasababu nilichora picha ya Dar na Pwani watu wazaliwa wa mkoa wa Pwani mpaka leo hawajaweza kuchangamkia fursa ya kuwepa kwa jiji la Dar es salaam karibu yao kwani ni maskini wa kutupa rejelea maisha ya kisarawe, bagamoyo, kibaha, chalinze na hata morogoro ni tofauti na wachaga walivyotumia fursa ya kuwepo kwa TANZANITE, NGORONGORO,TARANGIRE, KENYAN BOARDER, na utalii kwa ujumla. Leo hii pale Arusha 5*s hotel asilimia kubwa ni za wachaga na nyingine za kiwango cha kati the same COIN here in Dar nenda kwenye maduka pale kariakoo baada ya mhindi na mpemba utamkuta nani?
Hivi kweli kwanini mabasi yanayotoka DAR kwenda MOSHI/ARUSHA asubuhi ni mengi kuliko yanayokwenda mikoa mingine? au kuliko daladala zinazokwenda Kisarawe? au costa Morogoro? na kwanini basi linapofika MOSHI abiria karibia wote wanashuka linapakia wengine kwenda ARUSHA? je si hawa wachaga wanatumia fursa ya jiji la dar na arusha kimaendeleo kuliko WAARUSHA, WAIRAKI,WAKWERE, WASAMBAA na WAZARAMO walioko karibu zaidi na mikoa hiyo?
HIVI kwanini licha ya kuwa na shule nyingi (500) za sekondari kihistoria kabla la shule za kata hawakutosheka na hizo sasa hivi ziko (900 na)? na kiutafiti wangu wakati huo kwao maji, umeme, nyumba.
Kwa kweli mimi nimeshalitafakari kwa muda mrefu kabila hili na ninaona hawa watu si wa kubeza na kupitia hilo limeshanipa changamoto nyingi kiasi kwamba na mimi kwa kiasi fulani nimefanikiwa kibiashara. Na siku nikiamua kuona nitaoa MCHAGA atakayenipenda ili wanangu wasiwe na elementi za uswaAhili jumla kama baba yao.
Unataka kuniambia in a day abiria wanaoenda moshi ni wengi kuliko moro?hivi umewahi kutembelea hospitali ya mawenzi ilivyo hoi au unatuhadaa na hospitali za KKKT?umewahi kwenda shule kama old mosh?kama ni watu wa maendeleo wasingesubiri misaada ya kidini kuwaletea huduma za jamii.
Umewahi kukaa arusha wewe?nitajie hotel mbili tu zenye hadhi ya 5*,kwa taarifa yako makabila ambayo ni dominant kiuchumi kwa sasa ndani ya arusha ni wairak,wapare na masai( kenya).
Nakushauri uwoe muhindi kwani ndio wanawamegea madeal wachaga au ukishindwa oa mchina."think globally n not locally"
kweli naamini chongo ni smart mbele ya vipofu.