Laiti mchaga angekuwa RAIS...maendeleo ya nchi yangekuwa mbali sana

Laiti mchaga angekuwa RAIS...maendeleo ya nchi yangekuwa mbali sana

Mmakonde:

You are very cheap. Mambo anayofanya mchagga yalifanywa na wazungu zaidi ya miaka 1000 iliyopita. Sasa kwanini usitake wazungu tu wakutawale?

Mungu wangu.....!!!!
 
Mmakonde,

..nadhani maendeleo yaliyopatikana UCHAGANI yanatokana na kilimo cha KAHAWA.

..bahati nzuri kwa hawa wenzetu zao la kahawa limekuwa stable[bei,uzalishaji] kwa muda mrefu sana, na halijawahi kuporomoka kama vile korosho au mkonge.

..suala lingine ni kwamba mkoloni hakuwakamata na kuwatumikisha Wachaga kama ilivyo kwa makabila mengine. It was more efficient/profitable kuwaachia Wachaga walime kahawa na mkoloni abakie na jukumu la ununuzi tu.

..kuna maeneo ya nchi hii ambayo yalirudishwa nyuma kimaendeleo kwasababu Mkoloni aliyatawala kikatili. yako maeneo ambayo walitaka kulima kahawa kama Wachaga, lakini kwasababu mkoloni alikuwa na idea nyingine na maeneo hayo basi alizuia jitihada hizo tena kwa mabavu.

..yako maeneo ambayo yalikuwa mahsusi kwa mashamba makubwa plantations. yako maeneo ambayo yalikuwa mahsusi kwa kukamata manamba. ilikuwa ni vigumu kwa wananchi wa maeneo hayo kuweza kujihusisha na shughuli binafsi.

..sasa unaweza kusema kwamba Mkoloni ameondoka miaka mingi mbona wananchi bado wako vilevile? jibu langu ni kwamba tumekuwa tukitawaliwa na serikali za hovyo-hovyo tangu tupate uhuru. hakuna hata moja iliyoweza kubadili maisha ya Mtanzania.

NB:

..maeneo yote ambako Kahawa inalimwa nchi hii wananchi wake wana ahueni ya kimaisha.

Nimekubali wewe ndio huko sahii, hata hivyo kuna kabila kama wahaya miaka ya nyuma walikuwa juu kuliko mchaga, kwa kuwa kilimo cha kahawa kiliwafanya wajitegee kwa kujisomesha, Mkuu wa nchi alipewa kuongoza nchi Bk ilikuwa ya kwanza kualibiwa kisiasa na kiuchumi, walianza kwa kua mifugo kwa kuaribu majosho, wakaua chama BCU Namulaani Sir Gearge kahama kwa uaribufu huo, kilichofuata kukamata wahujumu uchumi, kuziba mipaka ya Uganda na Rwanda, kuaribu shule za mashirika ya dini (Rugambwa,) Ihungo....kesi za uhaini,kuingiza BK, au Kagera katika Mapigano ya Muda Mrefu, hivyo vyakula, hofu vilitawala, mengine mengi siwezi kuyasema hapa, lakini kwa upande wa wachaga hakuwepo uharibifu wowote, na chief Mareale kuna vitu alipandikiza zidi ya serikali hivyo hawakudhulika sana kihiyo. kama kungekuwepo mpambano wa nchaga na Mhaya nafikiri wengi wanajua nani angekuwa juu kimaendeleo, bila kusahau kuwa kale ka ugonjwa kariaribu kabisa
 
Wewe kumbe huwajui wachaga.Jamaa hawa wako interested na maendeleo yao binafsi na ndugu zao. Usishangae Mchaga akiwa Rais waka accumute all the countries wealth unto themselves.Wako selfish sana.Afadhali Mpare bahili kuliko Mchaga mwizi.

Haya maneno ya standard 2 at best. Mendeleo binafsi kivipi Mpare Mwnzangu? Kwani hata wewe hujali maendeleo binafsi? Kuwa na nyumba nzuri, gari, etc ni binafsi lakini kuwa na shule , hospitali, mahotel, matransport -Mabasi sio sinabfsi . Fikiria zaidi ya hapo basi.
 
Mmakonde na kuunga mkono ila kwa kuwa utofauti na uonavyo wewe, mimi sikuzote naamini watanzania (hawana akili) za maendeleo! au mapinduzi au za kielimu, nasema hivyo nikimaanisha hata yale makabila yaliyoendelea sio watanzania!, nikianza na wahaya hawa ni waganda walisambaa wakati ule wa Buganda kingdom, Wachaga ni Wakenya, Wanyakyusa ni watu wa Zambia na Malawi, Wakurya na Wasukuma hawa wote ni Wakenya na hata waha huko kigoma ni Warundi na Wakongo kwani licha ya kunyimwa fursa wana akili za kimapinduzi ili wawe na uongozi utakaowaletea maendeleo. Tangu baada ya Nyerere tumekua tukipata viongozi waAswahili hawa sasa ndio watanzania wazawa kihistoria. Angalia maeneo yote ya waAswahili hawa utaona ni jinsi gani walivyo na uduni wa maisha ukitoa Dar es salaam ambayo imeendelezwa na wazungu, Wahindi, waarabu, wachaga, wahaya nk, leo hii ukiwatafuta Wazaramo katikati ya jiji utawakuta wachache na ndiyo wanaishi kwenye vijibanda huku wakiwa wamezungukwa na mahekalu baada ya kuuza viwanja, pia rejea DOKTA SLAA katika kampeni zake pale Bagamoyo alivyoshangaa maisha wanayoishi katika mbavu za mbwa.
Mimi nimefanikiwa kuishi dar es salaam, pwani, tanga, morogoro, iringa, mbeya arusha, kilimanjaro manyara na singida kwa kweli utofauti wa hawa ninaowaita waAswahili ambao ni wazawa na hawa wahamiaji ni mkubwa sana japo wengi wetu hatuoni, nilipoishi mbeya wanyakyusa wanavyowajibika kimaendeleo usipowasifu wewe utakuwa mkabila wa dhahiri, nguvu wanaoitumia katika kilimo mchele, mahindi, matunda nk halafu nilinganishe na wale niliowakuta Pwani, Morogoro, Tanga, Manyara na Singida ni tofauti sana.

Huko Kilimanjaro nilishangaa sana mwaka 2000 kwa mara ya kwanza nilipita kuanzia Moshi mjini kwenda SANYA JUU niliona nyumba tatu tu ambazo ni za udongo tena nyumba hizo zilionyesha si za kuishi kwani pembeni kulikuwa na nyumba nzuri ya block. Mnaoishi huko mtalithibitisha hilo kwangu ilikuwa maajabu kwani nililazimika kuangalia nyumba hizo ili nione nyumba za nyasi lakini sikufanikiwa mpaka nilipofika tena kule vijijini kumejengwa vizuri karibia kulingana na mjini cha kushangaza Kilimanjaro hiyohiyo nenda kwa Wapare utashangaa na utaweza kumuunga mkono MMAKONDE kimaendeleo hawa WACHAGA hawana utani.

Kilichonishangaza zaidi kule suala la afya wanakimbizana na hapa DAR ES SALAAM kuna hospitali kubwa za rufaa mbili KCMC na KIBONGOTO-TB, MAWENZI HOSP, MARANGU HOSP, KIBOSHO HOSP, MACHAME HOSP, KILEMA HOSP, MOSHI ARUSHA HOSP, ROMBO MISSON HOSP hizi zote ni hospital kubwa katika kamkoa kadogo unachokiona kwenye ramani ya TZ na bado sijataja hospitali yoyote ya wilaya katika wilaya za mkoa huo.

Nilipoishi arusha kwa kweli hata wanaoishi pale wanisaidie kwasababu nilichora picha ya Dar na Pwani watu wazaliwa wa mkoa wa Pwani mpaka leo hawajaweza kuchangamkia fursa ya kuwepa kwa jiji la Dar es salaam karibu yao kwani ni maskini wa kutupa rejelea maisha ya kisarawe, bagamoyo, kibaha, chalinze na hata morogoro ni tofauti na wachaga walivyotumia fursa ya kuwepo kwa TANZANITE, NGORONGORO,TARANGIRE, KENYAN BOARDER, na utalii kwa ujumla. Leo hii pale Arusha 5*s hotel asilimia kubwa ni za wachaga na nyingine za kiwango cha kati the same COIN here in Dar nenda kwenye maduka pale kariakoo baada ya mhindi na mpemba utamkuta nani?

Hivi kweli kwanini mabasi yanayotoka DAR kwenda MOSHI/ARUSHA asubuhi ni mengi kuliko yanayokwenda mikoa mingine? au kuliko daladala zinazokwenda Kisarawe? au costa Morogoro? na kwanini basi linapofika MOSHI abiria karibia wote wanashuka linapakia wengine kwenda ARUSHA? je si hawa wachaga wanatumia fursa ya jiji la dar na arusha kimaendeleo kuliko WAARUSHA, WAIRAKI,WAKWERE, WASAMBAA na WAZARAMO walioko karibu zaidi na mikoa hiyo?

HIVI kwanini licha ya kuwa na shule nyingi (500) za sekondari kihistoria kabla la shule za kata hawakutosheka na hizo sasa hivi ziko (900 na)? na kiutafiti wangu wakati huo kwao maji, umeme, nyumba, kwao si tatizo hivyo walimu wakipangiwa huko wanakwenda bila kusita. je ukitoa dar nimkoa gani una vyuo vikuu vitano; MUCCOBS,KCMC, SMMUCO,MWUCE na MWIKA?.

Kwa kweli mimi nimeshalitafakari kwa muda mrefu kabila hili na ninaona hawa watu si wa kubeza na kupitia hilo limeshanipa changamoto nyingi kiasi kwamba na mimi kwa kiasi fulani nimefanikiwa kibiashara. Na siku nikiamua kuona nitaoa MCHAGA atakayenipenda ili wanangu wasiwe na elementi za uswaAhili jumla kama baba yao.

ILA SI LAZIMA KUWA RAIS KAMA ANAVYODHANI MMAKONDE.

NAWASILISHA.



Kwanza nivizuri ukakielewa kile unachokizungumzia na kisha ujue sababu ya kukizungumzia. Mchaga ni nani,nini asili yake, nini chanzo cha uwajibikaji wake? Hayo ni maswali ya msingi unapaswa kujiuliza kabla hujaanza kutoa hoja.
Napenda kwanza niwapongeze wachagga kwa juhudi na maendeleo waliyo nayo...maendeleo ya mtu yoyote kwa % kadhaa huchangia maendeleo ya nchi..kwa mfano unapokwa na gari kivyovcyote utatoa msaada inapolazimu either kwa mgonjwa ua kwa wanafunzi ivyo kupunguza tatizo ambalo lingejitokeza. So maendeleo ya wachagga yanamchango mkubwa kwa nchi...watu wengi wameajiriwa kwenye vibanda,Bar,Madereva wa daladala nenda mwenge utadhibitisha hilo. Je hata kana ni informal secto ila iepunguza idadi ya ombaomba na uhalifu.
Wachaga wanafanya kazi na kupata kipato kama makabila mengine...ila tofauti na makabila mengine mchaga ana Money Discipline and Financial Intelligence. Hivi ni vitu vya msingi sana katika maisha.Haijalishi ni kipato kiasi gani unapata bali kiasi gani unaweka hakiba.Unapo dharau kibanda cha chips na genge mwenzako ndiko anako patia kipato chake na kutajirika.
Maendeleo pia hupatikana kwa kujitolea. Mfano katika ujenzi wa shule za kata Rombo ndio imevuka malengo kwa kuwa na shule 3-4 kwa kata moja, Sababu ya mafanikio haya ni kujitolea si fedha bali nguvu kazi (public work) ivyo ile hela ya TASAF ikaweza kukizi ujenzi wote. Ukilinganisha ma mikoa mengine kama vile Mtwara ambao wananchi walikuwa wanalipwa instead ya kujitolea ivyo fedha kutotosheleza ujenzi wa shule za kutosha.
Ujasiria mali- mimi nimekulia huko uchagani tangu nikiwa mdogo STD 4 nimejua thamani ya hela, kwamba hela ndo kila kitu, nimehimizwa kufuga kuku,sungura,njiwa na kutengeneza kibank kwa ajili ya kuhifadhi hela,,,elimu hii ambayao ndio inasisitiziwa sasa kwa vyuo vikuu, mimi na vijana warika langu tumeifanya bila kujua ni ujasiriamali since i was young.
So maendeleo ya wachaga sio kwa sababu za kisiasa au serikalii pekee bali wachaga pia.
NB: ELIMU YA UJASIRIA MALI itakayo mwezesha mtanzania kuwa na Finacnial descipline ndio suluhisho la mtanznaia sio kabila fulani kutoa rais.Ila nivizuri anaeongoza awe amekulia katika mazingira ya kujituma,yenye changamoto za kimaendeleo, mwenye exposure ya maendeleo. Wachaga wanaweza
 
Nakubali wachaga ni watu wa maendeleo, lakini tatizo lao ni umimi wa kikabila, wao wanataka maendeleo kwa wao na kwa wachaga wenzao tu. Ila mchaga akiwa rais nadhani maendeleo yataonekana angalau kidogo kuliko watu wa pwani, yaani watajipendelea lakini watakumbuka na wengine, hawa watu wanajua kucheza na fulsa, pale mahali kabila lingine limeshindwa wao hufanikiwa, ni kama Jews wa Tanzania.
Naomba nikusahihishe kidogo kuhusu kujipendelea na umimi. Mimi ni mchagga na ninalifahamu kabila langu vizuri sana.Wachagga hatupendani hata kidogo.!Kinachotuletea maendeleo ni challenge! Wachagga tuna tabia ya kushushuana na ku-despise each other. Hata ndugu akitaka kufanya ki2 utasikia " mwache tuone kama ataweza". Hiyo ndiyo inayotupa changamoto na hasira ya maendeleo. Tofauti yetu na makabila mengine kama Wahaya ni kwamba huwa hatubebani kama wanavyobebana. Kwa wachagga kama huonyeshi uwezo wa kuweza kujisaidia hakuna atakayekupush.
 
kwahiyo wewe kwako mzungu ni bora kuliko mwafrica?
you are the one who is cheap,tena nahisi you are "cost-less"

Great thinker,

I have the right to be stupid. Did I abuse that previledge?
 
That's true kabisa...., sema sio watu wote wa pwani ni wazembe me ninawajua wengi and they are very intelligent..hata me mwenyewe nashangaa........... Sema wachache kama Dr,Dr,Dr baba ridhimoja..... Ni mahopless.
 
Mh. Mbowe anajinasibu sana kuwa ana mabiashara yake makubwa Nje na Ndani ya nchi, sijui ni biashara Gani zaidi ya hotel ambayo hata Sugu anayo.

Kuna Tetesi na Taarifa nilikuwa naisikia miaka mingi sana iliyopita kuwa kabila la Wachaga kutokana na nguvu yao kiuchumi, kielimu na muammko mkubwa wa kibiashara Nyerere aliona sio busara sana kuwa na Rais anatoka katika Kabila strong na lenye nguvu kiuchumi ambalo lingesababisha kabila moja kuwa na tabaka la juu na lingine kuwa tabaka la chini.

Pia tulisikia kuwa kabila hili wanapenda sana madaraka , na pesa na kuwa siku wakipata uongozi wa juu Kuna uwezekano wakatumia madaraka kujipatia Fedha , tunachokiona Chadema na Mbowe ndo hicho hicho, Kila mtu anajua Mbowe anajipatia Fedha nyingi kupitia Chadema kuliko hata kwenye Mali na biashara za urithi anazotamba nazo Kila siku.

Pia Wachaga walihusishwa na upendaji madaraka kufikia kutaka kuwa na nchi ya pekee ndani ya Tanganyika, tunajifunza kupitia Mbowe kuwa wachaga wanapenda kung'ang'ania madaraka, na siku wakipewa uongozi wa juu wanaweza wasikubali Kuachia madaraka.

Pia Wahenga wanausemi wao wa Lisemwalo Lipo kama halipo linakuja, Kauli ya nyerere ilikuwa ni ya kweli na Mbowe ndo shahidi.
 
That's true kabisa...., sema sio watu wote wa pwani ni wazembe me ninawajua wengi and they are very intelligent..hata me mwenyewe nashangaa........... Sema wachache kama Dr,Dr,Dr baba ridhimoja..... Ni mahopless.
Mh. Mbowe anajinasibu sana kuwa ana mabiashara yake makubwa Nje na Ndani ya nchi, sijui ni biashara Gani zaidi ya hotel ambayo hata Sugu anayo.

Kuna Tetesi na Taarifa nilikuwa naisikia miaka mingi sana iliyopita kuwa kabila la Wachaga kutokana na nguvu yao kiuchumi, kielimu na muammko mkubwa wa kibiashara Nyerere aliona sio busara sana kuwa na Rais anatoka katika Kabila strong na lenye nguvu kiuchumi ambalo lingesababisha kabila moja kuwa na tabaka la juu na lingine kuwa tabaka la chini.

Pia tulisikia kuwa kabila hili wanapenda sana madaraka , na pesa na kuwa siku wakipata uongozi wa juu Kuna uwezekano wakatumia madaraka kujipatia Fedha , tunachokiona Chadema na Mbowe ndo hicho hicho, Kila mtu anajua Mbowe anajipatia Fedha nyingi kupitia Chadema kuliko hata kwenye Mali na biashara za urithi anazotamba nazo Kila siku.

Pia Wachaga walihusishwa na upendaji madaraka kufikia kutaka kuwa na nchi ya pekee ndani ya Tanganyika, tunajifunza kupitia Mbowe kuwa wachaga wanapenda kung'ang'ania madaraka, na siku wakipewa uongozi wa juu wanaweza wasikubali Kuachia madaraka.

Pia Wahenga wanausemi wao wa Lisemwalo Lipo kama halipo linakuja, Kauli ya nyerere ilikuwa ni ya kweli na Mbowe ndo shahidi.
 
Tukubali kuwa Wenzetu wanapenda maendeleo.Nenda popote mijini Tanzania utawakuta,wawe wamesoma au kutosoma.

Nenda Mpwapwa,Singida ,Babati utawakuta.Mnaweza kupata mshahara mmoja,lakini Mchaga anafikiria kujenga kidogo kidogo.Atakunywa bia moja muda mrefu anafikiria miradi.

Nilipofika Moshi ,O-level miaka ya 80s ,nilishangaa.Niliona nyumba nzuri tu,wakati kula nikatoka ,ni nyumba za nyasi na watu wanalalia ngozi.Kabla ya utitiri wa secondari sasa,Nafikiri kipindi kile K'manjaro ilikuwa inaongoza kwa shule za sekondari.Tukubali wengi walikwenda shule mapema.Kwa hiyo kikabila wako overrepresented katika fani mbali mbali ,udaktari,uhandisi,accountants etc.

Nafikiri tungekuwa na Mchaga,baada ya Nyerere may be nchi yetu ingekwenda mbele zaidi maana wenzetu tutake tusitake wanajua nini maana ya maendeleo.Nawafahamu watu fulani(makabila mengine) wananyumba nzuri Dar,lakini ukifika kijijini walipozaliwa utashangaa!

Nimefanya kazi na wachaga nawaelewa sana.
Kama Mbowe CHADEMA
 
Rudia yako ya kwanza. Unamtaka mchagga kwa sababu ya maendeleo yao. Kwanini usimtake mzungu au mjapani kwa maendeleo yake. Na kama unataka mtanzania mwenzako, ukienda Kagera wahaya nao hawakuchelewa kwani usitake muhaya?
Mh. Mbowe anajinasibu sana kuwa ana mabiashara yake makubwa Nje na Ndani ya nchi, sijui ni biashara Gani zaidi ya hotel ambayo hata Sugu anayo.

Kuna Tetesi na Taarifa nilikuwa naisikia miaka mingi sana iliyopita kuwa kabila la Wachaga kutokana na nguvu yao kiuchumi, kielimu na muammko mkubwa wa kibiashara Nyerere aliona sio busara sana kuwa na Rais anatoka katika Kabila strong na lenye nguvu kiuchumi ambalo lingesababisha kabila moja kuwa na tabaka la juu na lingine kuwa tabaka la chini.

Pia tulisikia kuwa kabila hili wanapenda sana madaraka , na pesa na kuwa siku wakipata uongozi wa juu Kuna uwezekano wakatumia madaraka kujipatia Fedha , tunachokiona Chadema na Mbowe ndo hicho hicho, Kila mtu anajua Mbowe anajipatia Fedha nyingi kupitia Chadema kuliko hata kwenye Mali na biashara za urithi anazotamba nazo Kila siku.

Pia Wachaga walihusishwa na upendaji madaraka kufikia kutaka kuwa na nchi ya pekee ndani ya Tanganyika, tunajifunza kupitia Mbowe kuwa wachaga wanapenda kung'ang'ania madaraka, na siku wakipewa uongozi wa juu wanaweza wasikubali Kuachia madaraka.

Pia Wahenga wanausemi wao wa Lisemwalo Lipo kama halipo linakuja, Kauli ya nyerere ilikuwa ni ya kweli na Mbowe ndo shahidi.
 
Wak
Tukubali kuwa Wenzetu wanapenda maendeleo.Nenda popote mijini Tanzania utawakuta,wawe wamesoma au kutosoma.

Nenda Mpwapwa,Singida ,Babati utawakuta.Mnaweza kupata mshahara mmoja,lakini Mchaga anafikiria kujenga kidogo kidogo.Atakunywa bia moja muda mrefu anafikiria miradi.

Nilipofika Moshi ,O-level miaka ya 80s ,nilishangaa.Niliona nyumba nzuri tu,wakati kula nikatoka ,ni nyumba za nyasi na watu wanalalia ngozi.Kabla ya utitiri wa secondari sasa,Nafikiri kipindi kile K'manjaro ilikuwa inaongoza kwa shule za sekondari.Tukubali wengi walikwenda shule mapema.Kwa hiyo kikabila wako overrepresented katika fani mbali mbali ,udaktari,uhandisi,accountants etc.

Nafikiri tungekuwa na Mchaga,baada ya Nyerere may be nchi yetu ingekwenda mbele zaidi maana wenzetu tutake tusitake wanajua nini maana ya maendeleo.Nawafahamu watu fulani(makabila mengine) wananyumba nzuri Dar,lakini ukifika kijijini walipozaliwa utashangaa!

Nimefanya kazi na wachaga nawaelewa sana.
Wakinga je?
 
Ila anaanza na kuujaza mfuko wake, mfuko ukijaa ndipo mengine yanafuata. Na mifuko ya ndugu inajazwa kiaina.
 
Back
Top Bottom