"kazi ya kichwa sio kubeba akili pekee bali ni vitu vingi ikiwamo utashi na werevu"
wewe ulijiuliza kwa nini mabasi ya kwenda moshi/ars ni mengi kuliko mikoa mengine/daladala za kisarawe/costa za moro.sina uhakika kama una idadi ya mabasi yanayoenda kila mkoa hiyo asubuhi,kama ni hivyo tupe idadi hapa!pia haimaanishi abiria wote wanaoshukia moshi(abt 700miles) ni wachaga,sioni kinachokushangaza kwani kama ni umbali basi ungekuwa na akili kama ungejaribu kujua idadi ya abiria wanaoenda mwanza(about 900miles+)(asubuhi) kwa ndege,treni na mabasi nadhani hapa ungewapa hata mke wasukuma.sidhani kama umetafiti ni kipindi gani cha mwaka mabasi hayo huwa mengi?
Jackbauer kazi ya kichwa ni kubeba akili, itakayokutambulisha kutafuna kuona kufikiri kuongea, je? makalio utayalingani sha na kichwa? kuna watu wata viungo nusu na kama watakosa kichwa tu ni kwa heri. Anachokwambia BARKMEI usibishe kwani bado mko miaka ya 90" leo hii hao wachagga wanatumia gari ndogo tu tena za watu 4 kama umbali huo ulioutaja mafuta yake ni 100,000/= kwanini upande basi la sh 25,000 au 30,000 kwa basi kati ya Mwanza - Moshi au Dodoma - Moshi Katika nchi hii ardhi ni mali ni makabila mangapi yanahama eneo kuwapisha wajenge na kumiliki ardi utasema tena ni wakoloni wamewafundisha kizazi cha sasa.
Ni mwaka gani toka vyama vya siasa viruhusu mfumo wa vyama vingi hajagombea Mchagga? ni Chama gani cha mpinzani hakina mchagga, acha tu kukianzisha
Ipo siku tutaamini mabadiliko hayo, kwani wachina wameshatapakaa maeneo yote kwa ujenzi kilimo na biashara na dada zao wanaolewa na wachagga
Nnachosema ni sawa na ule msemo wa Muasisi aliosema Mchagga au kabila la wahaya ,wanyakyusa hawatatawala, litatawala kabila dogo, muacheni mchagga akatafute malihata kama ni za wizi, nchi jirani, maana kabla ya mipaka 1884 walikuwa Kenya, lakini kupeana zawadi kwa Malkia Vitoria kwa kumegeana kidogo ziwa Nyanza na Mjerumani akampa Mlima Kilimanjaro, ndicho kilichowaweka macho wachagga kuwa siku yoyote watajikuta hawana nchi ndo maana wakakimbilia Mpwapwa Arusha, Songea nk kwa hiyo ni lazinma warudi kila Desemba kwenye makazi yao. Si kweli kuwa zile nyumba zao hazina wakaaji, zingeshavamiwa, mimi nimesoma huko na ni eneo lililokuwa la kwanza kupata TV likifuatiwa na Zanzibar ya rangi
mbona unarukia topic na kujichanganya,huweeleweki ukisema watu wako miaka ya 90,kiusafiri,kiuchumi au kielimu?
Kuhusu ardhi ni kabila gani limeondoka na kuwaachia ardhi wachaga?usije sema wazaramo kwani Dar imechukuliwa na makabila mengi kutoka bara,kariakoo imechukuliwa na mwarabu,muhindi na mpemba,nenda gonja huko upareni unionyeshe mchaga mwenye ardhi,tatizo lenu mna info za kusikia vijiweni tu.
Kwani ni chama gani cha upinzani hakina msukuma?hivi kuwa chama cha upinzani ndio maendeleo basi leo hii kule pemba sijui pangekua kama Hong kong.Hata hivyo vyama vya upinzani havikuanza 90s kama unavyohisi,vilianza kabla ya uhuru na wazaramo(waswahili)walikuwa wengi kwenye vyama hivyo na hatimaye vikaungana na kuleta uhuru,does this say hawa ni watu wa maendeleo?
Unaona siifa mchaga kumuoa mchina ee?nenda kilosa ukaone machotara wa kibongo na kihindi,nenda arusha uone morani wanavyokamua wazungu.nasikia kule zanzibar kuna ukoo wa sultan said said.yote haya hayaelezwi kuwa ni maendeleo.
Germans,japanese,chinese these guys are innovative(they sell knowledge) usiwalinganishe na wachagga wanaouza mitumba.afadhali ya mzaramo anayeuza vitumbua(huu ni ujuzi) na hiki ndicho kinachomfanya mkwere awe madarakani leo hii na sio mchaga
Hivi hiyo T.v ya kwanza huko moshi iliitwaje?