Laiti mngelijua tunavyoumia sisi walipa kodi tunavyo ona pesa inamwagwa ovyo chadema kuliko kwenye miradi ya maendeleo

Laiti mngelijua tunavyoumia sisi walipa kodi tunavyo ona pesa inamwagwa ovyo chadema kuliko kwenye miradi ya maendeleo

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Laiti mngalijua tunavyopambana walipa kodi huku chini naimani mngeziheshimu sana pesa za walipa kodi!

Ni rahisi sana wasimamizi wa fedha za serikali kutangaza kiama kwa wakwepa kodi!

Lakini pesa zikishaingia kwenye himaya yao wanazitapanya wajuavyo wao! Hili peke yake linavunja sana moyo wa walipa kodi!

Hizo pesa zinazozagazwa hovyo na kupelekwa huko chadema zinatoka wapi? Nani mfadhili mkuu wa hizo fedha?

Nani anawarambisha asali hao chadema wakati miradi ya maendeleo haina fedha imesimama?

Nani huyo anaegawa fedha kwa chafema wakati wakandarasi wa barabara wamesimama kazi kusubiri fedha?

Nani huyo anagawa fedha chadema wakati mashuleni hakuna madarasa ya kutosha?
Nani huyo anagawa fedha wakati madakitali katika zahati za serikali hawana hata AC ofisini mwao.

Nani anaewapa chadrma hizo fedha wakati madawa hosp hakuna?

Ni nani huyu anaegawa fedha huko wakati wananchi hawana maji?

Hivi ni nani huyu asiyekuwa na chembe ya huruma kwa walipa kodi kiasi cha kugawa fedha huko chadema hadi baadhi ya wanachama wamefyatuka akili?
 
Laiti mngalijua tunavyopamba walipa kodi huku chini naimani mngeziheshimu sana pesa za walipa!

Ni rahisi sana wasimamizi wa fedha kutangaza kiama kwa wakwepa kodi!
Lakini pesa zikishaingia kwenye himaya yao wanazitapanya wajuavyo! Hili peke yake linavunja sana moyo wa walipa kodi!

Hizo pesa zinazozagazwa hovyo huko chadema zinatoka wapi? Nani mfadhili mkuu wa hizo fedha?

Nani anawarambisha asali chadema wakati miradi ya maendeleo haina fedha imesimama?

Nani huyo anaegawa fedha wakati wakandarasi wa barabara wamesimama kazi kusubiri fedha?

Nani huyo anagawa fedha wakati mashuleni hakuna madarasa ya kutosha?
Nani huyo anagawa fedha wakati madakitali katika zahati za serikali hawana hata AC ofisini mwao.

Nani anagawa hizo fedha wakati madawa hakuna?

Ni nani huyu anaegawa fedha wakati wananxhi hawana maji?

Hivi ni nani huyu asiyekuwa na chembe ya huruma kwa walipa kodi kiasi cha kugawa fedha huko chadema hadi baadhi ya wanachama wamefyatuka akili?
Huu nao uzembe wako mkuu.. Chadema haupo ccm haupo!!

Umeshindwa kweli kujiunga chama kimoja wapo ulambe asali unakaa kulia lia...

Tafuta pesa kwa njia yoyote ile kukemea watu wasilambe asali hutaweza wanadamu walimshinda Yesu akaambulia kusalitiwa..
 
Umeandika Takataka, chadema wana kazi ya kujenga barabara? Kununua dawa za mumeo?
Uelewa wako ni mdogo sana! Soma mada uelewe! Nimeuliza ni nani anaewafadhili chadema badala kufadhili miradi ya maendeleo?
 
Huu nao uzembe wako mkuu.. Chadema haupo ccm haupo!!

Umeshindwa kweli kujiunga chama kimoja wapo ulambe asali unakaa kulia lia...

Tafuta pesa kwa njia yoyote ile kukemea watu wasilambe asali hutaweza wanadamu walimshinda Yesu akaambulia kusalitiwa..
Mimi ni sauti ya walipa kodi!
Au unamaanisha walipa kodi wote wawe na mamlaka?
 
Laiti mngalijua tunavyopamba walipa kodi huku chini naimani mngeziheshimu sana pesa za walipa!

Ni rahisi sana wasimamizi wa fedha kutangaza kiama kwa wakwepa kodi!
Lakini pesa zikishaingia kwenye himaya yao wanazitapanya wajuavyo! Hili peke yake linavunja sana moyo wa walipa kodi!

Hizo pesa zinazozagazwa hovyo huko chadema zinatoka wapi? Nani mfadhili mkuu wa hizo fedha?

Nani anawarambisha asali chadema wakati miradi ya maendeleo haina fedha imesimama?

Nani huyo anaegawa fedha wakati wakandarasi wa barabara wamesimama kazi kusubiri fedha?

Nani huyo anagawa fedha wakati mashuleni hakuna madarasa ya kutosha?
Nani huyo anagawa fedha wakati madakitali katika zahati za serikali hawana hata AC ofisini mwao.

Nani anagawa hizo fedha wakati madawa hakuna?

Ni nani huyu anaegawa fedha wakati wananxhi hawana maji?

Hivi ni nani huyu asiyekuwa na chembe ya huruma kwa walipa kodi kiasi cha kugawa fedha huko chadema hadi baadhi ya wanachama wamefyatuka akili?
Kura kwanza, hizi ni muhimu sana. Sijaingia kwa kura lakini Kizimkazi imetakata kuliko Chalinze.
Pesa zinazotumika kuwabeba wasanii ni maradufu ya wanazopewa Chadema, tatizo makengeza ya uchawa yanakusumbua unaona kipapatio anachokula mwenzako ni kikubwa kuliko paja unalokula wewe.
 
Jiulize Ile mibasi ya kijani je sio pesa za TRA?
Haziwezi kuwa pesa za TRA. CCM ina vyanzo vya mapato vingapi? CCM ina wanachama wangapi wanaochangia chama kwa uaminifu? CCM ina wabunge wangapi wanaochangia chama? Kukodi ya mabasi hata yawe ishirini ni ghalama kiasi gani CCM ishindwe?
 
Haziwezi kuwa pesa za TRA. CCM ina vyanzo vya mapato vingapi? CCM ina wanachama wangapi wanaochangia chama kwa uaminifu? CCM ina wabunge wangapi wanaochangia chama? Kukodi ya mabasi hata yawe ishirini ni ghalama kiasi gani CCM ishindwe?
Zingine hadi wanazipeleka chadema
 
Uelewa wako ni mdogo sana! Soma mada uelewe! Nimeuliza ni nani anaewafadhili chadema badala kufadhili miradi ya maendeleo?
Ulitaka wafadhili wa chadema wafadhili miradi ya maendeleo?
 
Wanao umia hawaelewani ( wananchi) wameshindwa kuungana wampinge shetani kwa pamoja. Wanao ongoza uwezo wao vichwani ni mdogo ukichanganya na uafrika inakua ni vurugu tupu haieleweki tunaenda mbele au tunarudi nyuma.
 
Laiti mngalijua tunavyopambana walipa kodi huku chini naimani mngeziheshimu sana pesa za walipa kodi!

Ni rahisi sana wasimamizi wa fedha za serikali kutangaza kiama kwa wakwepa kodi!

Lakini pesa zikishaingia kwenye himaya yao wanazitapanya wajuavyo wao! Hili peke yake linavunja sana moyo wa walipa kodi!

Hizo pesa zinazozagazwa hovyo na kupelekwa huko chadema zinatoka wapi? Nani mfadhili mkuu wa hizo fedha?

Nani anawarambisha asali hao chadema wakati miradi ya maendeleo haina fedha imesimama?

Nani huyo anaegawa fedha kwa chafema wakati wakandarasi wa barabara wamesimama kazi kusubiri fedha?

Nani huyo anagawa fedha chadema wakati mashuleni hakuna madarasa ya kutosha?
Nani huyo anagawa fedha wakati madakitali katika zahati za serikali hawana hata AC ofisini mwao.

Nani anaewapa chadrma hizo fedha wakati madawa hosp hakuna?

Ni nani huyu anaegawa fedha huko wakati wananchi hawana maji?

Hivi ni nani huyu asiyekuwa na chembe ya huruma kwa walipa kodi kiasi cha kugawa fedha huko chadema hadi baadhi ya wanachama wamefyatuka akili?
Katazame kufuru ya chama tawala hapo dodoma ndipo utaelewa. Na huu ni uchaguzi wa ndani na bongo movie, comedians, waimba mziki wote wako hapo, sasa uchaguzi mguu ndiyo utakuwa kufuru. Africans have money bwana sema hawajui wafanye nini.
 
Laiti mngalijua tunavyopambana walipa kodi huku chini naimani mngeziheshimu sana pesa za walipa kodi!

Ni rahisi sana wasimamizi wa fedha za serikali kutangaza kiama kwa wakwepa kodi!

Lakini pesa zikishaingia kwenye himaya yao wanazitapanya wajuavyo wao! Hili peke yake linavunja sana moyo wa walipa kodi!

Hizo pesa zinazozagazwa hovyo na kupelekwa huko chadema zinatoka wapi? Nani mfadhili mkuu wa hizo fedha?

Nani anawarambisha asali hao chadema wakati miradi ya maendeleo haina fedha imesimama?

Nani huyo anaegawa fedha kwa chafema wakati wakandarasi wa barabara wamesimama kazi kusubiri fedha?

Nani huyo anagawa fedha chadema wakati mashuleni hakuna madarasa ya kutosha?
Nani huyo anagawa fedha wakati madakitali katika zahati za serikali hawana hata AC ofisini mwao.

Nani anaewapa chadrma hizo fedha wakati madawa hosp hakuna?

Ni nani huyu anaegawa fedha huko wakati wananchi hawana maji?

Hivi ni nani huyu asiyekuwa na chembe ya huruma kwa walipa kodi kiasi cha kugawa fedha huko chadema hadi baadhi ya wanachama wamefyatuka akili?
Umejichanganya wewe nenda Dodoma uone Watu wanavoogelea hela za TRA.
Mwendokasi Dar ni aibu tupu huku wao wananunua mabasi ambayo yatapaki baada ya uchaguzi
 
Back
Top Bottom