Laiti mngelijua tunavyoumia sisi walipa kodi tunavyo ona pesa inamwagwa ovyo chadema kuliko kwenye miradi ya maendeleo

Laiti mngelijua tunavyoumia sisi walipa kodi tunavyo ona pesa inamwagwa ovyo chadema kuliko kwenye miradi ya maendeleo

Laiti mngalijua tunavyopambana walipa kodi huku chini naimani mngeziheshimu sana pesa za walipa kodi!

Ni rahisi sana wasimamizi wa fedha za serikali kutangaza kiama kwa wakwepa kodi!

Lakini pesa zikishaingia kwenye himaya yao wanazitapanya wajuavyo wao! Hili peke yake linavunja sana moyo wa walipa kodi!

Hizo pesa zinazozagazwa hovyo na kupelekwa huko chadema zinatoka wapi? Nani mfadhili mkuu wa hizo fedha?

Nani anawarambisha asali hao chadema wakati miradi ya maendeleo haina fedha imesimama?

Nani huyo anaegawa fedha kwa chafema wakati wakandarasi wa barabara wamesimama kazi kusubiri fedha?

Nani huyo anagawa fedha chadema wakati mashuleni hakuna madarasa ya kutosha?
Nani huyo anagawa fedha wakati madakitali katika zahati za serikali hawana hata AC ofisini mwao.

Nani anaewapa chadrma hizo fedha wakati madawa hosp hakuna?

Ni nani huyu anaegawa fedha huko wakati wananchi hawana maji?

Hivi ni nani huyu asiyekuwa na chembe ya huruma kwa walipa kodi kiasi cha kugawa fedha huko chadema hadi baadhi ya wanachama wamefyatuka akili?
Chomoa kama unaumia
 
Watanzania wamedumaa sana yaani Chama cha Upinzani kinalaumiwa kwa maendeleo ya Nchi harafu ukute nae ni graduate kabisaa sijui ni vyuo vya wapi hivi vinatoa aina hii ya watu...
 
Uko nje ya laini ya kuipata rushwa, ungekuwa uko wa kwenye laini sasa hivi ungekuwa unakenua meno na toothpick
Please trying again later

Maana uko nje kabisa ya network

Unabariki rushwa?
 
Zingine hadi wanazipeleka chadema
Kwamba CDM hawana wa kuwashika mkono? Wapo watanzania wana pesa ndefu wanacheza kotekote au mmesahau yule afisa wa mamlaka ya mapato aliyetumbuliwa na Jpm?

Huku mtaani wafanyabiashara wengi wakubwa wanacheza huku na huku. Wako Dodoma na Dar es salaam na Wanawezesha vyama vyote.
 
Kwamba CDM hawana wa kuwashika mkono? Wapo watanzania wana pesa ndefu wanacheza kotekote au mmesahau yule afisa wa mamlaka ya mapato aliyetumbuliwa na Jpm?

Huku mtaani wafanyabiashara wengi wakubwa wanacheza huku na huku. Wako Dodoma na Dar es salaam na Wanawezesha vyama vyote.
Kwa faida ya nan
 
Back
Top Bottom