Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Kwa tathmini yangu ccm ndio chanzo kikubwa cha umaskini Tanzania. Kuna watu wema ndani ya ccm kama rais samia ila mfumo wa ccm sio mzuri kwa maendeleo ya taifa.
1. CCM inaifunika dola kitu ambacho ni kibaya.
2. CCM ni mnyororo wa matapeli wanaotumia ujinga wa watanzania.
Ujumbe huu umfikie jokate kidoti mwegelo kuwadi wa matapeli.
Nipo hapa geita nimevaa mijezi yao ila siwapendi.
1. CCM inaifunika dola kitu ambacho ni kibaya.
2. CCM ni mnyororo wa matapeli wanaotumia ujinga wa watanzania.
Ujumbe huu umfikie jokate kidoti mwegelo kuwadi wa matapeli.
Nipo hapa geita nimevaa mijezi yao ila siwapendi.