Tatizo nafasi za juu zote za uvccm ni za watoto wa vigogo waliobaki wote ni maandazi yakipewa doti Moja ya kanga inatoshaKwa tathmini yangu ccm ndio chanzo kikubwa cha umaskini Tanzania. Kuna watu wema ndani ya ccm kama rais samia ila mfumo wa ccm sio mzuri kwa maendeleo ya taifa.
1. CCM inaifunika dola kitu ambacho ni kibaya.
2. CCM ni mnyororo wa matapeli wanaotumia ujinga wa watanzania.
Ujumbe huu umfikie jokate kidoti mwegelo kuwadi wa matapeli.
Nipo hapa geita nimevaa mijezi yao ila siwapendi.
Chama Cha MazezetaKwa tathmini yangu ccm ndio chanzo kikubwa cha umaskini Tanzania. Kuna watu wema ndani ya ccm kama rais samia ila mfumo wa ccm sio mzuri kwa maendeleo ya taifa.
1. CCM inaifunika dola kitu ambacho ni kibaya.
2. CCM ni mnyororo wa matapeli wanaotumia ujinga wa watanzania.
Ujumbe huu umfikie jokate kidoti mwegelo kuwadi wa matapeli.
Nipo hapa geita nimevaa mijezi yao ila siwapendi.
Hap umeharibu madaKuna watu wema ndani ya ccm kama rais samia ila
Mwiguru hajawahi kuwa mtoto wa kigogo ila ndio waziri wa fedhaTatizo nafasi za juu zote za uvccm ni za watoto wa vigogo waliobaki wote ni maandazi yakipewa doti Moja ya kanga inatosha
Akili ni nywele kila mtu ana zake !Kwa tathmini yangu ccm ndio chanzo kikubwa cha umaskini Tanzania. Kuna watu wema ndani ya ccm kama rais samia ila mfumo wa ccm sio mzuri kwa maendeleo ya taifa.
1. CCM inaifunika dola kitu ambacho ni kibaya.
2. CCM ni mnyororo wa matapeli wanaotumia ujinga wa watanzania.
Ujumbe huu umfikie jokate kidoti mwegelo kuwadi wa matapeli.
Nipo hapa geita nimevaa mijezi yao ila siwapendi.
Wanajua ila sasa ndio ulaji ulipoKwa tathmini yangu ccm ndio chanzo kikubwa cha umaskini Tanzania. Kuna watu wema ndani ya ccm kama rais samia ila mfumo wa ccm sio mzuri kwa maendeleo ya taifa.
1. CCM inaifunika dola kitu ambacho ni kibaya.
2. CCM ni mnyororo wa matapeli wanaotumia ujinga wa watanzania.
Ujumbe huu umfikie jokate kidoti mwegelo kuwadi wa matapeli.
Nipo hapa geita nimevaa mijezi yao ila siwapendi.