MWL RAMADHANI ATHUMANI
Member
- Jun 8, 2024
- 85
- 105
Hilo linawezekana kabisa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini baadhi ya Watanzania wanapenda kuwakejeli motivational speakers? Kwani hiyo siyo kazi halali?Motivational speakers on fire
Sio kazi halali sababu huwezi nambia niifanye biashara flani ambayo hujawaifanyaKwa nini baadhi ya Watanzania wanapenda kuwakejeli motivational speakers? Kwani hiyo siyo kazi halali?
Lakini kuna ambao huwa wanamotivatw watu kufanya walichowahi kufanya. Madhalani, Mh. Eric James Shigongo( sijui kama bado ni MOTIVATIONAL SPEAKER), nilikuwa nikimkubali sana kwenye hilo eneo!Sio kazi halali sababu huwezi nambia niifanye biashara flani ambayo hujawaifanya
Sioni usahihi wao , kwa sababu 90 percent mambo yao ni theory za kusomaLakini kuna ambao huwa wanamotivatw watu kufanya walichowahi kufanya. Madhalani, Mh. Eric James Shigongo( sijui kama bado ni MOTIVATIONAL SPEAKER), nilikuwa nikimkubali sana kwenye hilo eneo!
Kuna na Joel Nanaukwa! Mbona ni watu sahihi kwenye hilo eneo mkuu?
Lakini zimewasaidia. Kuna shida gani mtu kukufundisha kile kilichomsaidia yeye?Sioni usahihi wao , kwa sababu 90 percent mambo yao ni theory za kusoma