Lakini Je, wangapi waliwahi kushitakiwa Mahakamani au hata kufungwa Jela kutokana na Ripoti ya CAG?

Kwakweli nilimshangaa alivoshauri kwamba kama vipi wahamishwe. Naona mauzauza
 
Eee,Bhwanah!

Hebu tueleze wewe mtaalam kuhusu ile hela ya ndege, au hizi tenda za gharama ya chini kukataliwa na kuchuliwa ile ya aghali zaidi.
Hebu tueleze hilo nalo linakuwaje. Tupo tayari kujifunza toka kwako mkuu!
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
This is the annual drama - hapa wanakuja kulinganisha mijizi iliyovunja rekodi na kuweka mikakati mipya ya wizi na ubadilifu kwa mwaka ujao.

Haiwezekani watu wasababishe hasara Serikalini, waibe afu wasiwajibishwe.
 
Shida ukaguzi unafanyika kiuhasibu ila report inakuwa presented kisiasa.kumbuka CAG akikukuta huna supporting document ya matumizi yoyote hata kama yamefanyika kihalali utaambiwa umekula hizo pesa.Ndo maana kuchukuliwa hatua sio rahisi.
matumizi gani yanayofanyika kihalali bila supporting documents? Hizo ni fixi tu. Malipo lazima yaidhinishwe na mkuu wa taasisi au muhusika aliyeruhusiwa kisheria (kulingana na kiwango) na halafu kuwe na risiti za kuthibitisha matumizi.

Bila ya hivyo pesa zitakuwa zimepigwa tu.
 
Ni vzr hoja hii ijibiwe kikamilifu na wafia CCM wakiongozwa na Johnthebaptist!
 
.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…