TANZIA Lala Salama Ndugu Yetu Mkakaro Kagere Mkakaro

TANZIA Lala Salama Ndugu Yetu Mkakaro Kagere Mkakaro

Well, inategemea kwako inferior unaitafsiri vipi, lakini huwezi kuwa mbaguzi kama ukiwa masikini na huna power yoyote ile, na ndio maana Watanzania tunabaguliwa na Wahindi/Waarabu kwanza unaweza kusema mgeni yoyote anaweza kubagua Mtanzania ndani ya Tanzania lkn Mtanzania hana uwezo wa kubagua Muhindi/Mwarabu hata kama akitaka kwa maana Mtanzania hana power, hana economic muscle na ndo maana tumebaki kulia lia kubaguliwa na kila mtu kila mahali sasa hivi hata tunalilia na kung’ang’ania kukubalika Zanzibar …
Sasa wazanzibar wanna njia gan ya uchumi mpk atubague tonge limedondokea upande wait vinginevyo wangeomba poo
 
Sasa wazanzibar wanna njia gan ya uchumi mpk atubague tonge limedondokea upande wait vinginevyo wangeomba poo

Hilo swali zuri umeuliza, kuna aliyesema kwamba Wanzanzibari ni Wabaguzi dhidi yetu ndiyo nikamjibu kama nilivyomjibu.
 
Kwa hyo unataka kusema ss wabara tuna low iq kuliko wazenji ..ndugu wazanzibar Ni weupe mno kichwani mifano ipo mingi tu
Hajui kama wazanzibar ni vichwa maji kabisa kwenye mambo yote utakuta kijana mwenye miaka 30 anaoa mwanamke aliye zalishwa watoto watano
 
Kuna mmoja yeye alipata kichaa kabisa mpaka leo akili zake zimeruka, alikua medical assistant hapo mzena, kijana mdogo ila anatia huruma

Yupo kwao magomeni wanamfunga tu kamba
Maskini wee [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Back
Top Bottom