uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Imetokea wapi hii
Hapo hapo jamaa mleta uzi alipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imetokea wapi hii
This is a very low iq person
Linear thinking is some serious matter
Ubaguzi Haungalii kama una Hai au Loo HIQ, Mambo mengine ni Kupenda Tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Actually hakuna mbaguzi Kama the inferior beingNdio na huo ndio ukweli wa Dunia, ukiona unabaguliwa ujue yule anayekubagua kwanza anakudharau na anakudharau kwa sababu anakuona ni inferior kwake na ndio maana hana respect kwako …
Actually hakuna mbaguzi Kama the inferior being
It is known
Naona perepete tuWell, inategemea kwako inferior unaitafsiri vipi, lakini huwezi kuwa mbaguzi kama ukiwa masikini na huna power yoyote ile, na ndio maana Watanzania tunabaguliwa na Wahindi/Waarabu kwanza unaweza kusema mgeni yoyote anaweza kubagua Mtanzania ndani ya Tanzania lkn Mtanzania hana uwezo wa kubagua Muhindi/Mwarabu hata kama akitaka kwa maana Mtanzania hana power, hana economic muscle na ndo maana tumebaki kulia lia kubaguliwa na kila mtu kila mahali sasa hivi hata tunalilia na kung’ang’ania kukubalika Zanzibar …
Naona perepete tu
Your points holds now water
wote wewe na jamaa mpo sahihi,Bunda mjini kuna sehemu inaitwa Nyansura,huenda na Musoma kuna hiyo NyasusuraUnabisha Nini? Unatoka Nyakatende then Nyasurura then Mugango. We was there Yesterday Kwenye Cemetery ya Mkakaro
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe atukuwezi. Ulipokaa hapo picha ya mama iko mbele yako kwa juu. Ama huko mafia?Si angetulia tu uko viungani alivyopona ya kwanza angeshona akatulia zake...hizo nafasi na hivi sultana anapenda safari za nje lazima wauane aisee
Mnasingizia karogwa kumbe CD4 zinamushkelllJina kapuni.... lakini kila nikimuona huwa naumia kinoma, jamaa amekondeana hatari
Jikoni Mpishi mkuu. Dokoa sana msosi. Na ninaroga balaa nisiondolewe kwenye hii idara. Yani mda wote kulakula tu.Wewe uko idara gani hapo?
mkuu,nafasi ililetwaje ? fafanuaHizi kazi nilizikataa 1999 nafasi ililetwa hme nikachomoa najua nisingekuwepo duniani Leo hii
Halafu usijekuta kuna mwamba alitakiwa ndio kuwepo kwenye nafasi iyo ndio mambo yenyewe kama hayoWasije wakawa wamemtia ndimu . Zanzibar noma kwa kupika viwembe,
Mtanzania mpe picha tu maelezo atatoa yeye 😀😀😀😀Take it, jamaa kazidiwa kete na wazenji si unafahamu walivyo na majungu kwa watu wa bara. Tena kwa position aliyokuwepo makombora yalikuwa yanatupwa usiku kucha huwenda alijichanganya akanasa kwa kombora moja ndio maana akafutika.
Hii ni mbaya sana hua inahumiza sana katika maofisi,Labda zije kufutikaWanagombea Per Diem?
Malaika wa Mungu wanatutoshaUtalindwa na nani saas