RWANTANG
JF-Expert Member
- Dec 28, 2021
- 1,143
- 1,425
Mkuu ulozi upo sana mtaani. Hapo labda ndugu wafunguke vichwa wampeleke kwa wa majaniyachaiSio grid mkuu.... kila kitu wamecheck... by the way, grid mbona wengi wanatamba nayo siku hizi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ulozi upo sana mtaani. Hapo labda ndugu wafunguke vichwa wampeleke kwa wa majaniyachaiSio grid mkuu.... kila kitu wamecheck... by the way, grid mbona wengi wanatamba nayo siku hizi.
Mwakikato?Kuna mwingine naye wa idara hiyo hiyo aliondoka kimchezo mchezo hapo hapo Mzena na kuzikwa kwao Iringa mwisho wa mwaka juzi.
Kunani hapo P...
Yes Kila Jambo na wakati wake. Mda wake Wa kutwaliwa na mwenyezi Mungu ulishafika Tayari. Amezikwa Jana NyasururaNafasi imekuja umechaguliwa ww kuwa mgongo tena wa raisi utakataa useme unakula lindo??? Anyway ndio imeshakuwa hivyo kijana wa watu keshafukiwa chini ya udongo
Nyasurura ya Bunda au?Yes Kila Jambo na wakati wake. Mda wake Wa kutwaliwa na mwenyezi Mungu ulishafika Tayari. Amezikwa Jana Nyasurura
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikuwa anaishi Dom lakini Mnyalu akasafirishwa kwenda Dom then Iringa.
Sad sad sadKuna mmoja yeye alipata kichaa kabisa mpaka leo akili zake zimeruka, alikua medical assistant hapo mzena, kijana mdogo ila anatia huruma
Yupo kwao magomeni wanamfunga tu kamba
Wabaguzi kuliko watu weupe Yani kijana waki Zanzibar harusiwi na familia kuoa mwanamke kutoka Tanganyika ata kama mwanamke ni dini moja wazaz hawataki, Mwanaume kutoka Tanganyika una ruhusiwa kuoa mwanamke waki Zanzibar ili mradi uwe muislamu Tu nakama siyo muislamu unatakiwa uslimu uingie kwenye uislamu wa Zanzibar wata kupenda watakupa nyumba yakuishi na kaz watakupatia na kama umesoma ukitaka kusoma nje watakupeleka kujiendeleza
Kuna wakati alikua akishinda Sana pale twita kinondoni enzi zakeKma ni mtu wa system apepe motoni tu
Kwa hyo unataka kusema ss wabara tuna low iq kuliko wazenji ..ndugu wazanzibar Ni weupe mno kichwani mifano ipo mingi tuSiku zote Mbaguzi ana High IQ na anayebaguliwa ana Low intelligence, hivyo kama Mbara anabaguliwa na Mzanzibari maana yake ni kwamba Mbara ana low intelligence, Isitoshe kwa nini ukaoe huko mbona wao hawang’ang’anii kuja kuoa kwenu ? Low IQ ipo hapo, hivyo siku zote kumbuka hilo, ukiona unabaguliwa basi ujue una low intelligence kuliko yule anayekubagua.
Kwa hyo unataka kusema ss wabara tuna low iq kuliko wazenji ..ndugu wazanzibar Ni weupe mno kichwani mifano ipo mingi tu
Ubaguzi Haungalii kama una Hai au Loo HIQ, Mambo mengine ni Kupenda TuSasa kwa nini ”wakubague” ?
Musoma nadhani kuna Nyarusurya na sio Nyasurura...hiyo ya pili iko Bunda town
Unabisha Nini? Unatoka Nyakatende then Nyasurura then Mugango. We was there Yesterday Kwenye Cemetery ya MkakaroMusoma nadhani kuna Nyarusurya na sio Nyasurura...hiyo ya pili iko Bunda town
Boss Alex korosso Ebu mueleweshe HuyuMusoma nadhani kuna Nyarusurya na sio Nyasurura...hiyo ya pili iko Bunda town
This is a very low iq personSiku zote Mbaguzi ana High IQ na anayebaguliwa ana Low intelligence, hivyo kama Mbara anabaguliwa na Mzanzibari maana yake ni kwamba Mbara ana low intelligence, Isitoshe kwa nini ukaoe huko mbona wao hawang’ang’anii kuja kuoa kwenu ? Low IQ ipo hapo, hivyo siku zote kumbuka hilo, ukiona unabaguliwa basi ujue una low intelligence kuliko yule anayekubagua.