TANZIA Lala Salama Ndugu Yetu Mkakaro Kagere Mkakaro

TANZIA Lala Salama Ndugu Yetu Mkakaro Kagere Mkakaro

Nimeumia sana kiukweli. Tulisoma shule moja primary na baadae secondary, Ila nilikuwa nimemwacha mwaka mmoja nyuma! Mama yake pia alikuwa Mwalimu, na alinifundisha shule ya msingi.
Pole sana Mkuu, Mama yake alifundisha Kamnyonge?
 
Si angetulia tu uko viungani alivyopona ya kwanza angeshona akatulia zake...hizo nafasi na hivi sultana anapenda safari za nje lazima wauane aisee
Kumbe ni mule ndani, watumishi mule wanaroga sana kupigania migongo huwenda alitupiwa jini likammaliza kimyakimya?

Pole sana kwako na apumzike kwa amani M.K.M namfahamu vyema huyu kijana.
 
Si angetulia tu uko viungani alivyopona ya kwanza angeshona akatulia zake...hizo nafasi na hivi sultana anapenda safari za nje lazima wauane aisee
Nafasi imekuja umechaguliwa ww kuwa mgongo tena wa raisi utakataa useme unakula lindo??? Anyway ndio imeshakuwa hivyo kijana wa watu keshafukiwa chini ya udongo
 
Nafasi imekuja umechaguliwa ww kuwa mgongo tena wa raisi utakataa useme unakula lindo??? Anyway ndio imeshakuwa hivyo kijana wa watu keshafukiwa chini ya udongo
Inasikitisha sana
 
Hapa ndo nagundua kwamba kwann hatuendelei Kama taifa hata idara nyeti raslimali watu wake hawaamini ktk science ya utabibu ........kituko Sana

Kuna idara nyeti zaidi ya URAIS lakini bado watu walikuwa wanakwenda kupiga NYUNGU kijijini!!
 
Back
Top Bottom