Musoma Yetu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2016
- 2,633
- 2,297
Nimeumia sana kiukweli. Tulisoma shule moja primary na baadae secondary, Ila nilikuwa nimemwacha mwaka mmoja nyuma! Mama yake pia alikuwa Mwalimu, na alinifundisha shule ya msingi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si mchezo
Pole sana Mkuu, Mama yake alifundisha Kamnyonge?Nimeumia sana kiukweli. Tulisoma shule moja primary na baadae secondary, Ila nilikuwa nimemwacha mwaka mmoja nyuma! Mama yake pia alikuwa Mwalimu, na alinifundisha shule ya msingi.
Alifundisha nyamatare, na kigeraPole sana Mkuu, Mama yake alifundisha Kamnyonge?
Aiseee !!
Kumbe ni mule ndani, watumishi mule wanaroga sana kupigania migongo huwenda alitupiwa jini likammaliza kimyakimya?
Pole sana kwako na apumzike kwa amani M.K.M namfahamu vyema huyu kijana.
Nafasi imekuja umechaguliwa ww kuwa mgongo tena wa raisi utakataa useme unakula lindo??? Anyway ndio imeshakuwa hivyo kijana wa watu keshafukiwa chini ya udongoSi angetulia tu uko viungani alivyopona ya kwanza angeshona akatulia zake...hizo nafasi na hivi sultana anapenda safari za nje lazima wauane aisee
Inasikitisha sanaNafasi imekuja umechaguliwa ww kuwa mgongo tena wa raisi utakataa useme unakula lindo??? Anyway ndio imeshakuwa hivyo kijana wa watu keshafukiwa chini ya udongo
Nnya tena? Mambo mengine bora ufe tu kuliko kulishwa vitu kama hivyo!Hata haja kubwa unaila vizuri tu .
Acha kabisa..
Uwe ustaz swala zote na kwa gwajima unaingia vizuri tu..
Hapa ndo nagundua kwamba kwann hatuendelei Kama taifa hata idara nyeti raslimali watu wake hawaamini ktk science ya utabibu ........kituko Sana
Imetokea wapi hiiMbowe sio gaidi
👋hsp ya mzena…
itabidi siku moja nikafanye matembezi,
Yaani wanawake wawili tayari ameonekana kiwembe daaah watu tuna/Wana jaza bus 4-5 na wanajiona bado iwe huyu watu wawili acha utani mkuuKumbe alikuwa kiwembe #Lisa wa #Bongomovie
Sasa ukimshitukia utamuuliza? Akikukubalia kuna mambo ma 2Wanajulikana na mabosi zao sio raia.
Na hata ukimshtukia hawezi kukubali.
🤣🤣🤣Tena huko ndio hatari mkuu,
Ukiwa mwepesi hu survive,
Ukiingia t wanakujaribu kwanza waone defense mechanism zako zikoje..
Sio mashoti??Jina kapuni.... lakini kila nikimuona huwa naumia kinoma, jamaa amekondeana hatari
Hayo majina ya kazini siyajui mkuu....Sio mashoti??
Yaani sio grid?Hayo majina ya kazini siyajui mkuu....
Sio grid? Maana sio kila kukonda ni mrogo,Jina kapuni.... lakini kila nikimuona huwa naumia kinoma, jamaa amekondeana hatari
Sio grid mkuu.... kila kitu wamecheck... by the way, grid mbona wengi wanatamba nayo siku hizi.Yaani sio grid?