Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,710
- 9,063
Ameeeeeeeeeeen! Mungu anakwenda kuipa Tanzania Rais mpya na Chama kipya hapo tarehe 28 Okt,2020!Tupo pamoja mkuu// maisha yamekuwa magumu,biashara ngumu , mifumo ya kodi siyo rafiki,mauaji tu kila kona /// twende na Lissu