Sasa hivi ni ya kwake na makampun yote yaliyochn ya lakairo group ikkiwemo na lakairo hotel ya kirumba.
Kaba hela sana ata kabla ya kuingia kwenye politics na 2010 alitaka kupga chn bt ccm walimwomba waliona wangepoteza jmbo coz jamaa ana hela na MAFIA hatar barabara za jimbon anapelekaga grader zake za nyanza road kuchonga jimbon.
Ni kweli ajasoma ila ndio wanaoendesha uchumi wa kati..Nenda kwa wakinga kawaulize shule utatafuta but kaulize pesa uone kama ujaonyeshwa pesa za kujenga ata ghorofa 20.
Elimu haina ishu tena ndio maana maprof . wanakimbia kufundsha wanaenda kugombea ubunge.