Biohazard
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 2,197
- 1,465
Tatizo ni kwamba unashindwa kunielewa au labda umeamua kutokunielewa au pia nimeshindwa kujieleza na kueleweka kwako kwa maana kujieleza na kueleweka wkt mwingine nayo siyo kazi rahisi!
Hiyo ya catalytic converter kama vile navigation system nimetoa kama mifano tu lkn vipo vingi kwa kifupi nilichotaka kusema ni kwamba Toyota for African market haimaanishi kwamba ina ubora dhaifu ukilinganisha na Toyota for US au Japan ni kwamba ziko tofauti kulingana na mahitaji na mazingira ya maeneo husika, hivyo kama lengo lako ni ubora kwa maana uhimili wa gari kama uko TZ ni bora ununue Toyota for African market na siyo Toyota for European au sijui Australian market kwa sababu utaishia kulipa fedha nyingi zaidi kwa mambo ambayo gari inayo lkn wewe hauyahitaji kwa matumizi ya TZ au Afrika na wakati mwingine tofauti inaweza kufika mpaka dola US 10 000, kuna sababu za msingi kwa nini wanaziita hivyo, ndicho nilichomaanisha!
Siwezi kununua Toyota meant for Africa market kama na uwezo cause kuna mapungufu mengi sana kwenye Quality Control, naona bado unakomalia kitu usichokijua.
Bro dont u have some other things to do cause unatia aibu hapa.