Land cruiser VX V8 ni ndege ya chini aisee! Ndiyo maana viongozi hawataki kuyaachia

Land cruiser VX V8 ni ndege ya chini aisee! Ndiyo maana viongozi hawataki kuyaachia

[emoji3166]
FB_IMG_16903636203969104.jpg
FB_IMG_16904911236799395.jpg
FB_IMG_16904904723411273.jpg
 
Hiyo Gari ukiingia ndani chuma ipo kimyaa hakuna kelele hata moja toka nje, AC yake inapiga vizuri utafikiri LG mpa, hausikii harufu za ajabu ajabu.
Na kikubwa zaidi bumps ndogo ndogo kama hazipo road, chuma inaenda smooth na speed chuma lipo 160 linaenda kumaliza sahani unaona kimyaaa kama haliendi kabisa
 
Subaru: Dom-Dar 4:30hrs ila roho ilikua mkononi siku hiyo. Kuhusu vx v8 ni mnyama haswa, ila nasubiria ya mwaka 2030[emoji3]
Be specific kama ulivyo specify kwenye toyota ,hiyo subaru ilikuwa ya aina ipi?
 
IST ukila mzinga,uwezo wa kulala yoo ni Mkubwa sana, haya magari yaache tu Mkuu
Last year nilienda likizo Home nikapanda Fortuner new model ya Mzee ilikuwa mpya kabisa,hizi gari sio powa aise, sasa hiyo ni fortuner,sijui hii ya mleta mada ni tamu kiasi gani
Fortuner sh ngapi dukani?
 
Nilipewa lifti na mshikaji wangu ni Waziri toka Katavi mpaka Dodoma mzee comfortability,standard & speed ya yale magari ni balaa na nusu. Ndio maana wabongo wanalewa uongozi aisee. Hakuna raisi atakuja kupiga stop V8 hawatakubali wajuba wa nchi hii.
Hajaamua tu! Haya, kwa mfano napiga marufuku viongozi kutumia v8 watanifanyaje kwa mfano? Hakuna paka wa kunigusa...! Mtaishia kulia lia tu
 
Ila humu JF Kuna saundi sana mkuu,Kuna jamaa mmoja humu JF alisema yeye hua akipambana Sana anatumia 6 hrs kwa safari ya Dar-Arusha,akatoka Mjerumani mweusi wa kutoka huko Hamburger ya Bariadi akasema huo Ni mzaha, mke wangu mwenyewe Dar-Arusha anatumia 5.30 hrs na Mimi hapa natumia 4hrs Dar-Arusha.

Aisee yule Mjerumani mweusi tulimuweka Kati atuwekee hesabu za 4 hours na hizi barabara zetu,alikimbia ule Uzi mazima [emoji1][emoji1]
Hivi hawa wapuuzi wanapata faida gani kudanganya danganya?
 
Road trip nikiwa na Japanese, speed 80-100-120, average 70km/h, mfano Dar Dodoma Km 450/70 = 6 mpaka 7 hours.

Nikiwa na wazee wa Munich, speed 140-180-200, average 120km/h, Dar - Dodoma Km 450/120, 4 mpaka 5 hours (kama mlandizi - mikese hamna zengwe)
 
Road trip nikiwa na Japanese, speed 80-100-120, average 70km/h, mfano Dar Dodoma Km 450/70 = 6 mpaka 7 hours.

Nikiwa na wazee wa Munich, speed 140-180-200, average 120km/h, Dar - Dodoma Km 450/120, 4 mpaka 5 hours (kama mlandizi - mikese hamna zengwe)
South Africa ambako maximum speed Ni 120kph barabara Ni 4-4 kilomita 380 natumia 4hours sembuse bongo nyoso?
 
Road trip nikiwa na Japanese, speed 80-100-120, average 70km/h, mfano Dar Dodoma Km 450/70 = 6 mpaka 7 hours.

Nikiwa na wazee wa Munich, speed 140-180-200, average 120km/h, Dar - Dodoma Km 450/120, 4 mpaka 5 hours (kama mlandizi - mikese hamna zengwe)
Sawa
 
Hiyo naijua na nishawekaga Uzi wake humu, lakini haina mwrndo kama land cruiser vx v8! Dar Dom 5:30hrs
Kuanzia acceleration mpk top speed hakuna cruiser ya kufuata range rover v8 5.0 labda akina posche cayenne,bentley,x5,x6 kumbuka ya sasa hivi 4.4L ina hp 600+.
 
Hii ikoje mkuu?? mafuta na spare zake kulinganisha na hizo VX & VXR or ZX
ukiwa na uwezo wa kununua haya madude huwazi mafuta wala spea....
Ukiwaza hayo bado unastahili VAN GUARD and the likes
ILA GX ni the most accelarating landcruza mkuu....na sio delicate kama VX, hivyo hivyo kwa GXR VS VXR
 
Back
Top Bottom