Mng'ato SA wamepunguza uzito pia lipo tofauti na tani tatu na ushee za UK na pia ulaji wa mafuta wa SA upo chini tofauti na ya UK ndio maana Msouth kauza sana Ulaya na Australia ingawaje yeye sio mmiliki na pia body lisiwe siraha ya kukudhuru pindi linapopata ajali mkuu mimi napendelea sana Mercedes Benz ila benz hawana gari ya juu iliyosimama kama Rand Lover ile ML 350 benz haipo confortable sana kama hizo Disco 3 na 4 hizo ni gari mzee tafuta kodi tuu boda ni 24milion kununua 3 ni 16 milion mpaka 20m ila disco 4 lipo juu mwakani litashuka bei hata used pia...
Samahani nami nilikuwa mbali na mtandao watanzania tuna kasumba Maadam tumezoea toyota basi gari zingine tunaziponda discover gari nzuri sana kwa safari na mafuta pia spare zipo na ukinunua utafanya service ya kawaida tu kwa muda mrefu
Tuma picha kwenye WhatsApp namba hii 0754333470. Asante.Mkuu dengue nunua hiyo gari mimi navutia tela nabeba trekta 165Fm au 135mersey ferguson toka mpumalanga mpaka mbeya na haili mafuta na ina nguvu sana ni disco 3 v 6 ina uzito tani 3 halijawahi kusumbua na mwezi huu linatoka tena na trekta kama kawaida...nipm namba nikutumie picha uitume hapa naona mm hapa inasumbua... d 4 mapumziko yamezidi zaidi hizo gari ukiona dereva kafanikiwa kuipindua matairi manne yote yawe juu unapata zawaidi kwa kupelaka hiyo picha Johannesburg Landrover photoshop wataijua...
Mkuu nikutumie picha ya zilizo yard unataka ya mwaka gani?kodi Tanzania si pungufu ya 24milion kununua SA ni kuanzia rand 100,000 kama Tsh 16 milion mpaka 20m bado milion na nusu ya karatasi na mafuta mpaka Tunduma.. cheki hiyo hesabu ukitaka nakutumia picha ya zilizo yard au mnadani..Tuma picha kwenye WhatsApp namba hii 0754333470. Asante.
Weka maelezo vizuri mkuu. Hivi nikiwa na jumla ya sh ngapi naweza kupata discover 3 nzuri angalau bei ya chini au ya kati?bobtony Mungu ni mwema utapata tuu na pia zinapungua bei kila miaka inavyokwenda ila Disco 3 sio ghari ni rand 100,000 mpaka 150,000 kama Tsh 16,000,000 kununua tuu mpaka 20milion ila kodi ipo 24milion kwa boda maana hakuna gharama za bandari na viingereza vingine tena na ya 2005 model mpaka 2007 model ndio zipo bei hizo mbele zaidi zipo bei juu...
Nami nilitaka kumjibu; pengine kasahau juu ya GL class. Hiyo GLS 63 AMG ni habari nyingine...I will take GL over RR for a station wagon.Marcedes Benz GLS 63 AMG.
Zero Km?150 bei ya CMC Posta pale Dar es Salaaam na hapo plate number tayar Gari nzur sanaView attachment 377424 Mnyamaaaa
Mkuu Vp Discovery Sport?Mng'ato SA wamepunguza uzito pia lipo tofauti na tani tatu na ushee za UK na pia ulaji wa mafuta wa SA upo chini tofauti na ya UK ndio maana Msouth kauza sana Ulaya na Australia ingawaje yeye sio mmiliki na pia body lisiwe siraha ya kukudhuru pindi linapopata ajali mkuu mimi napendelea sana Mercedes Benz ila benz hawana gari ya juu iliyosimama kama Rand Lover ile ML 350 benz haipo confortable sana kama hizo Disco 3 na 4 hizo ni gari mzee tafuta kodi tuu boda ni 24milion kununua 3 ni 16 milion mpaka 20m ila disco 4 lipo juu mwakani litashuka bei hata used pia...
M. Benz ni expensive to buy and operate.Nami nilitaka kumjibu; pengine kasahau juu ya GL class. Hiyo GLS 63 AMG ni habari nyingine...I will take GL over RR for a station wagon.
Hapo G class haijazungumziwa...
I go for GL and not GLS bro..M. Benz ni expensive to buy and operate.
Kama una hela ya mawazo chukua Discovery ila kama upo vizuri Benz utazifaidi sana.
Discovery 4 inauzwa 150 pamoja na kodi.
Gls 63 AMG inauzwa almost 300 pamoja na kodi.