Land Rover Discovery 4 - Mega thread

Land Rover Discovery 4 - Mega thread

Mng'ato SA wamepunguza uzito pia lipo tofauti na tani tatu na ushee za UK na pia ulaji wa mafuta wa SA upo chini tofauti na ya UK ndio maana Msouth kauza sana Ulaya na Australia ingawaje yeye sio mmiliki na pia body lisiwe siraha ya kukudhuru pindi linapopata ajali mkuu mimi napendelea sana Mercedes Benz ila benz hawana gari ya juu iliyosimama kama Rand Lover ile ML 350 benz haipo confortable sana kama hizo Disco 3 na 4 hizo ni gari mzee tafuta kodi tuu boda ni 24milion kununua 3 ni 16 milion mpaka 20m ila disco 4 lipo juu mwakani litashuka bei hata used pia...

Marcedes Benz GLS 63 AMG.
 
Discovery sport 2016 inauza kwa sababu ya logo tu ila ni gari ya kawaida haingii hata kwa kia Sorento ya 2016 ambayo ni station wagon pia kwa comfort, space ndani, reliability nk.
 
Kwa hiyo ndiyo kusema Discover 3 ndiyo bora kuliko discover zote? Na pia bei yake ni sh ngapi kama nikiagiza mtumba?
 
Samahani nami nilikuwa mbali na mtandao watanzania tuna kasumba Maadam tumezoea toyota basi gari zingine tunaziponda discover gari nzuri sana kwa safari na mafuta pia spare zipo na ukinunua utafanya service ya kawaida tu kwa muda mrefu

umenena nafikiri kasumba inasumbua watu..sana gari yangu ya kwanza nilitaka nunua nilitaka nunua mazda verisa au nissani tiida.. jama wasema mengi saana ila kweli, ninakafurahia kamazda verisa kangu hako!!
 
Mkuu dengue nunua hiyo gari mimi navutia tela nabeba trekta 165Fm au 135mersey ferguson toka mpumalanga mpaka mbeya na haili mafuta na ina nguvu sana ni disco 3 v 6 ina uzito tani 3 halijawahi kusumbua na mwezi huu linatoka tena na trekta kama kawaida...nipm namba nikutumie picha uitume hapa naona mm hapa inasumbua... d 4 mapumziko yamezidi zaidi hizo gari ukiona dereva kafanikiwa kuipindua matairi manne yote yawe juu unapata zawaidi kwa kupelaka hiyo picha Johannesburg Landrover photoshop wataijua...
Tuma picha kwenye WhatsApp namba hii 0754333470. Asante.
 
Tuma picha kwenye WhatsApp namba hii 0754333470. Asante.
Mkuu nikutumie picha ya zilizo yard unataka ya mwaka gani?kodi Tanzania si pungufu ya 24milion kununua SA ni kuanzia rand 100,000 kama Tsh 16 milion mpaka 20m bado milion na nusu ya karatasi na mafuta mpaka Tunduma.. cheki hiyo hesabu ukitaka nakutumia picha ya zilizo yard au mnadani..
 
bobtony Mungu ni mwema utapata tuu na pia zinapungua bei kila miaka inavyokwenda ila Disco 3 sio ghari ni rand 100,000 mpaka 150,000 kama Tsh 16,000,000 kununua tuu mpaka 20milion ila kodi ipo 24milion kwa boda maana hakuna gharama za bandari na viingereza vingine tena na ya 2005 model mpaka 2007 model ndio zipo bei hizo mbele zaidi zipo bei juu...
Weka maelezo vizuri mkuu. Hivi nikiwa na jumla ya sh ngapi naweza kupata discover 3 nzuri angalau bei ya chini au ya kati?
 
Royals disc 3 inapatikana kuanzia Tsh 16 milion mpaka 22milion hapa..johannesburg mpaka Nakonde 2800km piga hesabu ya mafuta kwa km hizo na kupata karatasi za interpol na Sadc na export permit unalipia sehemu moja tuu ya kupata dot kama laki mbili sehemu zingine hizo ni bure na ni siku moja kufanya hiyo kazi ila export permit unaipata pretoria siku mbili wanatoa ni bure nayo..kodi Tanzania ni kati ya 22milion mpaka 26milion kama utapita boarder bandari kuna gharama zinaongezeka...
 
1004031008_5_644x461_2007-land-rover-discovery-3-td-v6-se-auto-gauteng.jpg

Royals hizo zipo nyingi na zina ubora sana huku ni gari za zamani hizo 2005 mpaka 2007..
 
Marcedes Benz GLS 63 AMG.
Nami nilitaka kumjibu; pengine kasahau juu ya GL class. Hiyo GLS 63 AMG ni habari nyingine...I will take GL over RR for a station wagon.
Hapo G class haijazungumziwa...
 
Mng'ato SA wamepunguza uzito pia lipo tofauti na tani tatu na ushee za UK na pia ulaji wa mafuta wa SA upo chini tofauti na ya UK ndio maana Msouth kauza sana Ulaya na Australia ingawaje yeye sio mmiliki na pia body lisiwe siraha ya kukudhuru pindi linapopata ajali mkuu mimi napendelea sana Mercedes Benz ila benz hawana gari ya juu iliyosimama kama Rand Lover ile ML 350 benz haipo confortable sana kama hizo Disco 3 na 4 hizo ni gari mzee tafuta kodi tuu boda ni 24milion kununua 3 ni 16 milion mpaka 20m ila disco 4 lipo juu mwakani litashuka bei hata used pia...
Mkuu Vp Discovery Sport?
 
Nami nilitaka kumjibu; pengine kasahau juu ya GL class. Hiyo GLS 63 AMG ni habari nyingine...I will take GL over RR for a station wagon.
Hapo G class haijazungumziwa...
M. Benz ni expensive to buy and operate.
Kama una hela ya mawazo chukua Discovery ila kama upo vizuri Benz utazifaidi sana.
Discovery 4 inauzwa 150 pamoja na kodi.
Gls 63 AMG inauzwa almost 300 pamoja na kodi.
 
M. Benz ni expensive to buy and operate.
Kama una hela ya mawazo chukua Discovery ila kama upo vizuri Benz utazifaidi sana.
Discovery 4 inauzwa 150 pamoja na kodi.
Gls 63 AMG inauzwa almost 300 pamoja na kodi.
I go for GL and not GLS bro..
 
Back
Top Bottom