MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Haina tofauti na mababu waliopewa shanga na vioo kisha wao wakatoa dhahabu.Hoja ya MamaSamia2025 ina nguvu kuliko hoja Mpasuaji wa Manesi.
Hiyo festival yenu Haina win to win chance bali Kuna kutumika na kutumiwa.
Makonda/Tanzania inatumika na kampuni. Kampuni ina-gain, TZ ni looser.
Habari za kusema wananchi watanufaika Kwa kuchoma na kuuza bia, hoja hiyo Haina nguvu. Sababu, endapo kampuni ingetoa Pesa zao kudhamini hiyo festival bado wananchi wangechoma na kuuza vinywaji.
Maoni yangu:
Kuna mtu anajijenga yeye binafsi (Kwa manufaa yake ya baadaye) kuliko nchi.
HayaKila mmoja ana haki ...sio kila siku kuna Landrover festival
Kathubutu haswaaaa,acha mawazo mgandoSioni hili tamasha kama lina manufaa yoyote, ninachokiona hapa ni huyu Muandaaji wa hili Tamasha analitumia kujijenga kisiasa kwa maslahi yake binafsi. Kuna vitu vingine kwa hili taifa havina tija yoyote.
Guinness mmewaambia wahesabu?
Huyo jamaa ndio wale wanaojiita watoto wa mjini...kama hauamini hivi ila ndio imeshatokea
Haina haja, anachopaswa kuhakikisha ni media coverage maana lengo ni kukuza utalii...Guinness mmewaambia wahesabu?
Yani hayo yote yafanyike wasahau kuita watu wa Guinness?Sasa hao jamaa WA Guinness mmewaita..? Wapo hapo Arusha??
1. Arusha wenye watu makini na wenye maendeleo makubwa kuliko mkoa wowote Tanzania....hapa naongelea wananchi wa chini...Saa zingine wanaichukia Arusha bila sababu za msingi hasa hao wanao waita watanganyika wenzao "wamkoani"
Ngoja uone watakavyokandia😂😂😂😂
Arusha hii tunayoiona hapa TBC?1. Arusha ndiomkoa wenye watu makini na wenye maendeleo makubwa kuliko mkoa wowote Tanzania....hapa naongelea wananchi wa chini...
2. Mji wenye mandhari ya kipekee huwezi fananisha na mkoa wowpte
3. Watu sio tegemezi wala omba omba
4. Watu wanaojiamini
5. Mkoa wenye ardhi yenye thamani kuanzia mjini hadi vijijini.
Utaiponda Arusha kwa maneno moyoni ukiipenda kwa siri🤣
Huo ndio ukuu wa mkoa sasa ...sio kila siku masiasa tu ...hili tukio linatengeneza ambitions za watoto hapo Arusha kwa miaka 100 ijayo.Njia nzuri ya kuubust Mkoa kiutalii na kibiashara.
Ila Bashite anapenda heka heka au niseme Masifa.
Ndio linavyojengwa hivyo...sijawahi kufika Arusha lakini naiona mitaa ya kati kupitia landrover festival.
Najiuliza hili ndio linaitwa jiji?
Naona leo ni siku mbaya kwa wenye gari aina zingine, wamezipaki kinyonge pembeni.
# TANZANIA JIJI NI MOJA TU# DAR- ES - SALAAM
Nakuunga mkono🤝Linaonekana kama tukio la kijinga lakini lina faida sana kwa wafanyabiashara, na yeye makonda kisiasa linampa credit sana.
Ni kiongozi mwenye uthubutu!.
Aaah kumbe dogo hujafika Arusha?Arusha hii tunayoiona hapa TBC?View attachment 3122506
Tanzania jiji ni moja tu!Aaah kumbe dogo hujafika Arusha?
Kua kua kwanza