Land Rover Festive Arusha 2024

Land Rover Festive Arusha 2024

Nami nilikuwepo
9fc7e37deaf14a28b26ea5a673a11eb1.jpg
 
sijawahi kufika Arusha lakini naiona mitaa ya kati kupitia landrover festival.
Najiuliza hili ndio linaitwa jiji?
Naona leo ni siku mbaya kwa wenye gari aina zingine, wamezipaki kinyonge pembeni.

# TANZANIA JIJI NI MOJA TU# DAR- ES - SALAAM
Baki huko huko,Acha watu wafurahie maisha na landrover festival

Nyie huku jf mtaandika andika sana
 
Bata tu lakini haina tija yoyote hiyo festival yaani ni kama sub-royal tour tu Arusha inapigiwa promotion kwa Watu wenye hela zao waje kuuziwa. Refer Royal Tour maeneo yaliyotangazwa kwenye ile filamu yote yameshauzwa
Ni namna ya kuwaambia waingereza waendelee kufyatua spare parts za land rover, soko bado lipo Africa
 
Back
Top Bottom