LAPSSET: Lamu Port and South Sudan Ethiopia Transport: News & Photos

LAPSSET: Lamu Port and South Sudan Ethiopia Transport: News & Photos

Ndio maana nasema wewe ni cowboy analyist. Hizo berth Tatu za lamu ni zipi? Na panafanyika vipi operation kubwa wakati hakuna offloading machines?

Huo mkopo wa dola billion 17 msipopata mnabakiwa na hiyo berth moja tu ya lamu. Hizo mbili haziwezi kukamilika, na najua mkopo hamuwezi Pata maana mko na madeni Kwa mchina na mjapan Kwa sana.

Plus expansion on Somalia port na Djibouti sioni place ya lamu kwenye ligi ya Northern corridor Maana mteja mkubwa mnaevizia ni Ethiopia, ambae he turns to Somalia via berbera na railway to Djibouti. Sasa muenda Kwa wanaokufa Kwa njaa kama nyie S. Sudan. Na mkicheza M7 atamchukua na sisi tutamuungia through central corridor.

Adios.
wameomba mkopo tena?
 
Kenya hatupigi mdomo bure, kwa ground tumewapiga vibaya sana. Hizi ni facts unazoweza kutafuta wewe mwenyewe mtandaoni. Twende taratibu. Mwaka wa 2019 the port of Dar es Salaam ilihandle 17 million tonnes of cargo. Unajua Mombasa port ilihandle kiasi gani ya mizigo mwaka wa 2019? 34 million tonnes. Hio ni double ile mizigo iliyopakuliwa Dar es Salaam port. Kwa hivyo hatupigi mdomo tu bali kwenye ground facts zinatusupport. Hatupigi mdomo bure.
Can u back up this figure?
 

KPA seeks Sh17.4bn for Lamu port works

www-businessdailyafrica-com.cdn.ampproject.org/c/s/www.businessdailyafrica.com/bd/economy/kpa-seeks-sh17-4bn-for-lamu-port-works-3542326

Wednesday September 08 2021​

KPA says it requires Sh17.4 billion to buy equipment and complete the construction of the two berths at the port of Lamu.

mv-data.jpg


bdgeneric-logo-data.jpg

By OTIATO GUGUYU
More by this Author

IN SUMMARY​

  • KPA says it requires Sh17.4 billion to buy equipment and complete the construction of the two berths at the port of Lamu.
  • The launch of the Lamu Port had been delayed thrice over the past two years due to funding challenges and incomplete construction of all three berths.

The Kenya Ports Authority (KPA) says it requires Sh17.4 billion to buy equipment and complete the construction of the two berths at the port of Lamu.

Tender documents show that the KPA targets borrowing Sh12.4billion from local and foreign banks, of which Sh3.2 billion will be used to complete construction works at the port that is not yet fully operational.

Some Sh3.1 billion from the loan is to be used to purchase marine equipment and Sh6.1 billion for yards operations, according to the State agency.

It further plans to raise Sh5 billion internally for general equipment security and ICT installations.

The launch of the Lamu Port had been delayed thrice over the past two years due to funding challenges and incomplete construction of all three berths.

The first berth was finally launched by President Uhuru Kenyatta in May this year, with equipment such as cranes, trailers, gantries and oil spill response borrowed from Mombasa.

As a result, it has only been able to attract ships that have their own gear for ship operations and roll-on/roll-off shipping like motor vehicle carriers as opposed to container shipping.

“Completion of construction of the project is expected on October 21 (subject to adequate funding) and the action plan for operalisation of the completed project on a bare minimum equipment has an estimated expenditure of Sh17,400 million,” KPA managing director John Mwangemi said in the tender documents.

Early this year, authorities had indicated they needed Sh16.4 billion, including Sh9.5 billion for equipment, Sh383 million for ICT, Sh2.1 billion for security, and Sh4.5 billion for additional dredging.

To make berths 2 and 3 operational, the port structure has to be fully established and new equipment acquired by mid-November this year.

The KPA says it needs to fund operations at the new port to generate money for servicing debt and creating room for borrowing to acquire new equipment.

The ports authority says it is targeting lower borrowing rates, grace periods, and long tenors from the contracted bank or development finance institutions to restructure its balance sheet.

The tender documents posted on its website with a missing page indicated the KPA needs to pay the Japanese government Sh437.5 million semiannually until 2047, an estimated total of Sh21.8 billion, in 25 years.

The agency is also expected to pay Sh32 billion between 2025 and 2055 in semiannual tranches used in Mombasa port development projects and take up an additional Sh30 billion for the Dogo Kundu special economic zone from Japan.

“The objective for proposals for the financing of the operalisation of Lamu Port will result in sustainable debt service- KPA seeks to optimise its annual debt costs,” the tender documents say.

“A sustainable debt service arrangement is expected to create headroom for the acquisition of equipment for Mombasa port to sustain the operations.”

The KPA is seeking contract a financial institution with a market capitalisation of over Sh5 billion or assets above Sh50 billion with enough dollar reserves.

The viability of the port has been put in question over low demand as it was expected to attract transshipment business mainly from Ethiopia and South Sudan.



MY TAKE
Hii maneno ilinipita! Yaani LAPSSET tayari imegota na kelele zoote za meli za Zanzibar?
 

KPA seeks Sh17.4bn for Lamu port works

www-businessdailyafrica-com.cdn.ampproject.org/c/s/www.businessdailyafrica.com/bd/economy/kpa-seeks-sh17-4bn-for-lamu-port-works-3542326

Wednesday September 08 2021​

KPA says it requires Sh17.4 billion to buy equipment and complete the construction of the two berths at the port of Lamu.

mv-data.jpg


bdgeneric-logo-data.jpg

By OTIATO GUGUYU
More by this Author

IN SUMMARY​

  • KPA says it requires Sh17.4 billion to buy equipment and complete the construction of the two berths at the port of Lamu.
  • The launch of the Lamu Port had been delayed thrice over the past two years due to funding challenges and incomplete construction of all three berths.

The Kenya Ports Authority (KPA) says it requires Sh17.4 billion to buy equipment and complete the construction of the two berths at the port of Lamu.

Tender documents show that the KPA targets borrowing Sh12.4billion from local and foreign banks, of which Sh3.2 billion will be used to complete construction works at the port that is not yet fully operational.

Some Sh3.1 billion from the loan is to be used to purchase marine equipment and Sh6.1 billion for yards operations, according to the State agency.

It further plans to raise Sh5 billion internally for general equipment security and ICT installations.

The launch of the Lamu Port had been delayed thrice over the past two years due to funding challenges and incomplete construction of all three berths.

The first berth was finally launched by President Uhuru Kenyatta in May this year, with equipment such as cranes, trailers, gantries and oil spill response borrowed from Mombasa.

As a result, it has only been able to attract ships that have their own gear for ship operations and roll-on/roll-off shipping like motor vehicle carriers as opposed to container shipping.

“Completion of construction of the project is expected on October 21 (subject to adequate funding) and the action plan for operalisation of the completed project on a bare minimum equipment has an estimated expenditure of Sh17,400 million,” KPA managing director John Mwangemi said in the tender documents.

Early this year, authorities had indicated they needed Sh16.4 billion, including Sh9.5 billion for equipment, Sh383 million for ICT, Sh2.1 billion for security, and Sh4.5 billion for additional dredging.

To make berths 2 and 3 operational, the port structure has to be fully established and new equipment acquired by mid-November this year.

The KPA says it needs to fund operations at the new port to generate money for servicing debt and creating room for borrowing to acquire new equipment.

The ports authority says it is targeting lower borrowing rates, grace periods, and long tenors from the contracted bank or development finance institutions to restructure its balance sheet.

The tender documents posted on its website with a missing page indicated the KPA needs to pay the Japanese government Sh437.5 million semiannually until 2047, an estimated total of Sh21.8 billion, in 25 years.

The agency is also expected to pay Sh32 billion between 2025 and 2055 in semiannual tranches used in Mombasa port development projects and take up an additional Sh30 billion for the Dogo Kundu special economic zone from Japan.

“The objective for proposals for the financing of the operalisation of Lamu Port will result in sustainable debt service- KPA seeks to optimise its annual debt costs,” the tender documents say.

“A sustainable debt service arrangement is expected to create headroom for the acquisition of equipment for Mombasa port to sustain the operations.”

The KPA is seeking contract a financial institution with a market capitalisation of over Sh5 billion or assets above Sh50 billion with enough dollar reserves.

The viability of the port has been put in question over low demand as it was expected to attract transshipment business mainly from Ethiopia and South Sudan.



MY TAKE
Hii maneno ilinipita! Yaani LAPSSET tayari imegota na kelele zoote za meli za Zanzibar?
Don't worry about Ethiopia because tayari Zanzibar is Lamu's loyal customer 🤣😂, are you aware that within five months of operation tayari Lamu port has received bigger ships than what has ever docked in Tanzania.
 
Can u back up this figure?
Boss si uliniuliza hii swali a few months ago na nilikuletea facts. Sasa unajisahaulisha tena?
Can u back up this figure?
Wacha hata nikupee figures za financial year July 2019-June 2020 wakati kulikuwa na covid disruptions bado Mombasa port ilihandle 33.6 million tonnes.
Halafu financial year July 2020- June 2021 Mombasa port ilihandle 36 million tonnes. NARUDIA TENA 36 million tonnes

Sasa nenda kajifiche maana huwa nikikupiga na facts huwa unashindwa kujibu. Sasa nyamaza tu baada ya kusoma hii article maana najua hutakuwa na jibu kwangu.


 
Boss si uliniuliza hii swali a few months ago na nilikuletea facts. Sasa unajisahaulisha tena?

Wacha hata nikupee figures za financial year July 2019-June 2020 wakati kulikuwa na covid disruptions bado Mombasa port ilihandle 33.6 million tonnes.
Halafu financial year July 2020- June 2021 Mombasa port ilihandle 36 million tonnes. NARUDIA TENA 36 million tonnes

Sasa nenda kajifiche maana huwa nikikupiga na facts huwa unashindwa kujibu. Sasa nyamaza tu baada ya kusoma hii article.


Utapea huyu mzee heart attack🤣🤣😂
 
Utapea huyu mzee heart attack🤣🤣😂
Hahaha jamaa anapingana anasema eti Mombasa port haikufikia 34 million tonnes in 2019 kumbe jamaa hajui eti Mombasa port imefika 36 million tonnes in the latest figures depite covid.
 
Don't worry about Ethiopia because tayari Zanzibar is Lamu's loyal customer 🤣😂, are you aware that within five months of operation tayari Lamu port has received bigger ships than what has ever docked in Tanzania.
Hahaha.
 

KPA seeks Sh17.4bn for Lamu port works

www-businessdailyafrica-com.cdn.ampproject.org/c/s/www.businessdailyafrica.com/bd/economy/kpa-seeks-sh17-4bn-for-lamu-port-works-3542326

Wednesday September 08 2021​

KPA says it requires Sh17.4 billion to buy equipment and complete the construction of the two berths at the port of Lamu.

mv-data.jpg


bdgeneric-logo-data.jpg

By OTIATO GUGUYU
More by this Author

IN SUMMARY​

  • KPA says it requires Sh17.4 billion to buy equipment and complete the construction of the two berths at the port of Lamu.
  • The launch of the Lamu Port had been delayed thrice over the past two years due to funding challenges and incomplete construction of all three berths.

The Kenya Ports Authority (KPA) says it requires Sh17.4 billion to buy equipment and complete the construction of the two berths at the port of Lamu.

Tender documents show that the KPA targets borrowing Sh12.4billion from local and foreign banks, of which Sh3.2 billion will be used to complete construction works at the port that is not yet fully operational.

Some Sh3.1 billion from the loan is to be used to purchase marine equipment and Sh6.1 billion for yards operations, according to the State agency.

It further plans to raise Sh5 billion internally for general equipment security and ICT installations.

The launch of the Lamu Port had been delayed thrice over the past two years due to funding challenges and incomplete construction of all three berths.

The first berth was finally launched by President Uhuru Kenyatta in May this year, with equipment such as cranes, trailers, gantries and oil spill response borrowed from Mombasa.

As a result, it has only been able to attract ships that have their own gear for ship operations and roll-on/roll-off shipping like motor vehicle carriers as opposed to container shipping.

“Completion of construction of the project is expected on October 21 (subject to adequate funding) and the action plan for operalisation of the completed project on a bare minimum equipment has an estimated expenditure of Sh17,400 million,” KPA managing director John Mwangemi said in the tender documents.

Early this year, authorities had indicated they needed Sh16.4 billion, including Sh9.5 billion for equipment, Sh383 million for ICT, Sh2.1 billion for security, and Sh4.5 billion for additional dredging.

To make berths 2 and 3 operational, the port structure has to be fully established and new equipment acquired by mid-November this year.

The KPA says it needs to fund operations at the new port to generate money for servicing debt and creating room for borrowing to acquire new equipment.

The ports authority says it is targeting lower borrowing rates, grace periods, and long tenors from the contracted bank or development finance institutions to restructure its balance sheet.

The tender documents posted on its website with a missing page indicated the KPA needs to pay the Japanese government Sh437.5 million semiannually until 2047, an estimated total of Sh21.8 billion, in 25 years.

The agency is also expected to pay Sh32 billion between 2025 and 2055 in semiannual tranches used in Mombasa port development projects and take up an additional Sh30 billion for the Dogo Kundu special economic zone from Japan.

“The objective for proposals for the financing of the operalisation of Lamu Port will result in sustainable debt service- KPA seeks to optimise its annual debt costs,” the tender documents say.

“A sustainable debt service arrangement is expected to create headroom for the acquisition of equipment for Mombasa port to sustain the operations.”

The KPA is seeking contract a financial institution with a market capitalisation of over Sh5 billion or assets above Sh50 billion with enough dollar reserves.

The viability of the port has been put in question over low demand as it was expected to attract transshipment business mainly from Ethiopia and South Sudan.



MY TAKE
Hii maneno ilinipita! Yaani LAPSSET tayari imegota na kelele zoote za meli za Zanzibar?
Yani LAPSET ndio imeshapinduka cha mende kabla hata haija Anza. Nashangaa sana wanavyopiga kelele hapa kujitutumua Kwa bandari yenye gati moja na cranes chache mbovu.
 
Acha ujinga, kwani mzigo huwa ikishuka kwa bandari huwa inaenda? Hiyo mbolea yenye imeshushwa Dar inaenda wapi?
Miraa effects.

Dude, try to be serious kidogo. Dar port inashusha mbolea ya Tz nzima, na it's a fact kwamba tunalima zaidi yenu hivyo tunatumia mbolea nyingi zaidi yenu. Na pia tunashusha mbolea ya Zambia, Rwanda, Burundi na Malawi.

Sasa fanya hesabu hapo, hiyo mbolea nyingi kuliko Tz huwa mnaishushia wapi na kuipeleka wapi?
 
Miraa effects.

Dude, try to be serious kidogo. Dar port inashusha mbolea ya Tz nzima, na it's a fact kwamba tunalima zaidi yenu hivyo tunatumia mbolea nyingi zaidi yenu. Na pia tunashusha mbolea ya Zambia, Rwanda, Burundi na Malawi.

Sasa fanya hesabu hapo, hiyo mbolea nyingi kuliko Tz huwa mnaishushia wapi na kuipeleka wapi?
Mbolea karibu yote ya Uganda inapitia Kenya. 80% ya imports za UG zinapitia Kenya. Kumbuka UG sio nchi ndogo, ina uchumi mkubwa. UG economy is the third biggest in East Africa.
 
Mbolea karibu yote ya Uganda inapitia Kenya. 80% ya imports za UG zinapitia Kenya. Kumbuka UG sio nchi ndogo, ina uchumi mkubwa. UG economy is the third biggest in East Africa.
Ukichanganya kunyaland ambayo ni jangwa haswa na UG ndio unapata kama nusu ya eneo la kulima la Tz. Bado hujaweka hizo nchi za kusini mbili na Rwanda na Burundi. Sass bado huoni kwamba unaleta upupu hapa? Hiyo mbolea inayopita msa ya kuizidi ya Tz inakwenda wapi?

Haya UG ina uchumi mkubwa blaa blaa.. Ukicombine import za Rwanda na Burundi unapata za Ug, bado wekelea Congo, Zambia na Malawi.. Hawa ni more than 80% wanategemea bandari za Bongo. Sasa bado tu unapiga kelele kwamba mnapitisha consignment nyimgi kuliko Tz.

Acha utani mzee, tuliza kichwa usibebwe na patriotism ya kifala. Mchumi wenyu kaelewa kalala mbele umebaki wewe mzee wa mapesa na kubwabwaja tu domo domo.
 
Miraa effects.

Dude, try to be serious kidogo. Dar port inashusha mbolea ya Tz nzima, na it's a fact kwamba tunalima zaidi yenu hivyo tunatumia mbolea nyingi zaidi yenu. Na pia tunashusha mbolea ya Zambia, Rwanda, Burundi na Malawi.

Sasa fanya hesabu hapo, hiyo mbolea nyingi kuliko Tz huwa mnaishushia wapi na kuipeleka wapi?
I advise you not to drink albino blood before coming to a discussion, ebu nenda Google ulinganishe agribusiness between Kenya and Tanzania uone nani ako juu ya mwenzake. The kind of fertilizer needed in flower farms, tea farms, coffee farms is three times more than all fertilizer needed in Tanzania 😂
 
Ukichanganya kunyaland ambayo ni jangwa haswa na UG ndio unapata kama nusu ya eneo la kulima la Tz. Bado hujaweka hizo nchi za kusini mbili na Rwanda na Burundi. Sass bado huoni kwamba unaleta upupu hapa? Hiyo mbolea inayopita msa ya kuizidi ya Tz inakwenda wapi?

Haya UG ina uchumi mkubwa blaa blaa.. Ukicombine import za Rwanda na Burundi unapata za Ug, bado wekelea Congo, Zambia na Malawi.. Hawa ni more than 80% wanategemea bandari za Bongo. Sasa bado tu unapiga kelele kwamba mnapitisha consignment nyimgi kuliko Tz.

Acha utani mzee, tuliza kichwa usibebwe na patriotism ya kifala. Mchumi wenyu kaelewa kalala mbele umebaki wewe mzee wa mapesa na kubwabwaja tu domo domo.
Wacha mchezo mzee wacha mchezo. Gdp ya Rwanda na Burundi kwa pamoja hata hazijafika nusu ya Gdp ya Uganda. NImekuambia Uganda wana uchumi mkubwa na hutaki kunisikia. Uchumi wa Rwanda unaweza kuingia ndani ya uchumi wa Uganda mara nne. Usidharau Uganda rafiki yangu, Uganda ina uchumi mkubwa na kwa hivyo wana uwezo mkubwa wa kununua mbolea na vifaa vingine kushinda nchi masikini kama Rwanda na Burundi. Kisha Uganda ina watu wengi. Uganda ina watu almost 40 million kwa hivyo wanaagiza mbolea kwa wingi kushinda Rwanda ambayo ina watu 10 million.
 
I advise you not to drink albino blood before coming to a discussion, ebu nenda Google ulinganishe agribusiness between Kenya and Tanzania uone nani ako juu ya mwenzake. The kind of fertilizer needed in flower farms, tea farms, coffee farms is three times more than all fertilizer needed in Tanzania [emoji23]
Teh..

Polee, can't help you. Njaa imemaliza ubongo huo. Huwezi kufikiri.

Niende Google kutafuta data za kilimo kenya? Kwani sh ngapi kufika hapo kunya.. I need matured discussion. Wewe kalale tu ukiuguza njaa yako.
 
Wacha mchezo mzee wacha mchezo. Gdp ya Rwanda na Burundi kwa pamoja hata hazijafika nusu ya Gdp ya Uganda. NImekuambia Uganda wana uchumi mkubwa na hutaki kunisikia. Uchumi wa Rwanda unaweza kuingia ndani ya uchumi wa Uganda mara nne. Usidharau Uganda rafiki yangu, Uganda ina uchumi mkubwa na kwa hivyo wana uwezo mkubwa wa kununua mbolea na vifaa vingine kushinda nchi masikini kama Rwanda na Burundi. Kisha Uganda ina watu wengi. Uganda ina watu almost 40 million kwa hivyo wanaagiza mbolea kwa wingi kushinda Rwanda ambayo ina watu 10 million.
So Kwa hoja hii ndio una conclude kwamba mnapitisha mbolea nyingi hapo Kenya kuliko Tanzania?

Na mbona huzungumzii kwenu mbolea mnapeleka wapi?

Nimekwambia Zambia, Malawi na Congo wanategemea bandari zetu Kwa 80% huko Rwanda na Burundi ni karibu 100% na UG pia wanapitisha some of their consignments Bongo pia.

Sasa nyie kunyaland hiyo consignment kubwa ya kushinda Tz inakwenda wapi au mnaifanyia nini?
 
So Kwa hoja hii ndio una conclude kwamba mnapitisha mbolea nyingi hapo Kenya kuliko Tanzania?

Na mbona huzungumzii kwenu mbolea mnapeleka wapi?

Nimekwambia Zambia, Malawi na Congo wanategemea bandari zetu Kwa 80% huko Rwanda na Burundi ni karibu 100% na UG pia wanapitisha some of their consignments Bongo pia.

Sasa nyie kunyaland hiyo consignment kubwa ya kushinda Tz inakwenda wapi au mnaifanyia nini?
Nikipata muda nitapost hapa ni kitu gani Wekenya huimport kwa wingi. Kwa haraka most of the goods imported huwa finished products kwa mfano industrial machineries, medications, petroleum, cars e.t.c. List nzima nitaleta nikipata muda.
 
Nikipata muda nitapost hapa ni kitu gani Wekenya huimport kwa wingi. Kwa haraka most of the goods imported huwa finished products kwa mfano industrial machineries, medications, petroleum, cars e.t.c. List nzima nitaleta nikipata muda.
Sawa,

Nasubiria list. Tupime import VS consumption.
 
Back
Top Bottom