LAPTOP inaharibika muda gani usipoizima bali inapiga mzigo

LAPTOP inaharibika muda gani usipoizima bali inapiga mzigo

Katika kutumia Lenovo ideapad 130 usiku ilitoa pop up ya update. Nika kubali ila ilichukua muda kidogo kumaliza hiyo download isivyo kawaida kwa updates nyengine.
Sasa baada ya ku update nikitaka kuweka password nifungue, mara keyboard hazifanyi kazi - kwa maana na type hewa!
Nimejaribu option ya ku reboot/safe mode nimefeli - no response.
Next step kwenye troubleshoot wanasema nitoe betri na kuirudisha. Betri imefungiwa ndani sina device ya kufungua vi-screw.
Je, hili tatizo limetokana na nini?
Muarobaini ni kwenda kwa fundi atoe betri na kuirudisha au kuna solution nyingine?
Msaada.
Chief-Mkwawa
tumia onscreen keyboard kubypass hio lockscreen.

hutokea hio keyboard kukataa, ukishabypass tu hio lockscreen inakubali.
 
Imekubali mkuu. Pamoja sn.
Update: Baada ya kufanikiwa ku log in, keyboard bado iligoma kufanya kazi. Imenisumbua sana.

Kuna website - -methodstechnologies(dot)com, wameweka methods zaidi ya kumi za ku trouble shoot. Katika hizo mwishoni kabisa nimekuta ya kufanya System Recovery. Nika downgrade Windows 10 latest version to an earlier one that existed.

Baada ya hapo keyboard imekubali kufanya kazi. Kumbe an update to windows 10 latest version inaweza kusababisha hili tatizo.

Pamoja sana mkuu. Mafundi wangenipiga hela na inawezekana wasingejua tatizo ni nini au ningeishia kufanya factory reset.

Chief-Mkwawa
 
Iache, laptop za kisasa battery likijaa zinachukua umeme moja kwa moja kwenye adapter na sio battery hivyo battery lako linakuwa haitumiki.

Kwani wakati halijajaa lilikuwa linatumia umeme wa battery?? Sio sahihi battery kukaa full charge muda wote...any lithium kama upo karbu na umeme hata kufika 100% ni risk kuliko ishia 90 au 80
 
Kwani wakati halijajaa lilikuwa linatumia umeme wa battery?? Sio sahihi battery kukaa full charge muda wote...any lithium kama upo karbu na umeme hata kufika 100% ni risk kuliko ishia 90 au 80
Peleka ushamba wako huko.
You seem to know nothing about power electronics.
 
Kwani wakati halijajaa lilikuwa linatumia umeme wa battery?? Sio sahihi battery kukaa full charge muda wote...any lithium kama upo karbu na umeme hata kufika 100% ni risk kuliko ishia 90 au 80
unafikiri watengeneza laptop hawajui? ile 0 na 100% unayoiona wewe kwenye display haimaanishi kwamba ndio actual 0 na 100% bali umeekewa wewe tu to be safe. na ikifika 100 hutumii tena battery umeme unatoka kwenye adapter, ni simple logic tu.
 
unafikiri watengeneza laptop hawajui? ile 0 na 100% unayoiona wewe kwenye display haimaanishi kwamba ndio actual 0 na 100% bali umeekewa wewe tu to be safe. na ikifika 100 hutumii tena battery umeme unatoka kwenye adapter, ni simple logic tu.

Nini maana ya battery kuwa 0% as per your understanding? 0 doesn't mean battery haina charge ...hizo bms za laptop zinakata at 3.5v per bank...kua fully charged ni kila bank ina 4.2v or 4.3..

We ndo ulisema likijaa battery laptop haitumii tena battery inakuwa connected muda wote direct na chaja ndo nikauliza kwan wakat unachaji halijaa je laptop ilikuwa inatumia huo umeme wa battery wakat unachaji? Naina umezunguka sana na kuanza nambia kwan watengeneza laptop hawajui🤔


Ingekuwa unavowaza watu wasingetafuta app ya kuzuia battery isiingize zaidi ya 80% hata ukisahau uikute ipo below 100% sababu kukaa pale muda mrefu ni risk kama kukaa na chini ya 20% kwa muda mrefu
 
Nini maana ya battery kuwa 0% as per your understanding? 0 doesn't mean battery haina charge ...hizo bms za laptop zinakata at 3.5v per bank...kua fully charged ni kila bank ina 4.2v or 4.3..

We ndo ulisema likijaa battery laptop haitumii tena battery inakuwa connected muda wote direct na chaja ndo nikauliza kwan wakat unachaji halijaa je laptop ilikuwa inatumia huo umeme wa battery wakat unachaji? Naina umezunguka sana na kuanza nambia kwan watengeneza laptop hawajui🤔


Ingekuwa unavowaza watu wasingetafuta app ya kuzuia battery isiingize zaidi ya 80% hata ukisahau uikute ipo below 100% sababu kukaa pale muda mrefu ni risk kama kukaa na chini ya 20% kwa muda mrefu
aisee yaani battery kuwa 0 ama full ni volts? ama hizo V umemaanisha nini?

huwa mkuu sipendi kubishana maneno matupu
1. HP support yao wanasema haidhuru kuacha laptop plugged in

2. dell support yao haidhuru pia

3. reputable site pia zinasema haidhuru

hivyo usiongee maneno matupu mkuu na kupotosha watu, leta ushahidi wa maana kuwa ukiacha laptop plugged in inauaa battery na ni risk,
 
aisee yaani battery kuwa 0 ama full ni volts? ama hizo V umemaanisha nini?

huwa mkuu sipendi kubishana maneno matupu
1. HP support yao wanasema haidhuru kuacha laptop plugged in

2. dell support yao haidhuru pia

3. reputable site pia zinasema haidhuru

hivyo usiongee maneno matupu mkuu na kupotosha watu, leta ushahidi wa maana kuwa ukiacha laptop plugged in inauaa battery na ni risk,


No mbili ni mtu kauuliza swali au hujaelewa ?? Na halijajibiwa ila naona umeandika haidhuru sasa naona we ndo bwana dell mwenyewe umeshajibu...soma post yangu kwanzia nimekuquote legeza kichwa utaelewa? Dunia ya sasa hakuna kifaa cha battery ambacho kikiachwa charge muda wote kitakuwa overcharge hilo hakuna zingesha over heat na kupasuka hata simu zote zinakata umeme once zimefika 100% battery enyewe ina bms yake haikubali battery husika kuwa overcharged hata siku moja,, . Ila pamoja na hayo point ni hii...any lithium battery muda wote kuwa 100% inakula hio battery kidogo kidogo hutoona kwa muda huo

Ingekuwa being 100% haina madhara basi tungekuwa tunanunua simu zikiwa full charge au laptop jiulize kwann zinaachwa zikiwa na nominal volt na sio full volt?

Kuiacha charge imejaa sometime inafanya cycle ndogo ndogo sijui kama unaelewa maana ya life cycle ya battery wat does it mean?
 
aisee yaani battery kuwa 0 ama full ni volts? ama hizo V umemaanisha nini?

huwa mkuu sipendi kubishana maneno matupu
1. HP support yao wanasema haidhuru kuacha laptop plugged in

2. dell support yao haidhuru pia

3. reputable site pia zinasema haidhuru

hivyo usiongee maneno matupu mkuu na kupotosha watu, leta ushahidi wa maana kuwa ukiacha laptop plugged in inauaa battery na ni risk,
Test za battery zinafanywa hvyo na sio maneno ya kufikirika.,,, Site yako hiyo ya how to geek naona pia hujasoma yote umeona maneno kadhaa ume screenshot umeleta humu ...haya soma na hapo afu endelea bisha


Hata watengeneza smart phone siku hizi wameweka fast charge ..ile ni biashara ila test inaonesha battery ya kawaida ya 4000mah lithium ikiwa charging na chaja ya kawaida 5V 1A or 2A ita last muda mrefu kuliko kuichaji fast túseme nusu saa umeingiza 60 or 70% unaipa stress zile chemical kule ndani haiwezi dumu kama hii nyingne ila nyie msiopenda kuelewa utapita page ya samsung utaleta maneno wakiisifia battery yao na chaja yao...

Once material zilizounda battery ni sawa basi tabia zitafanana haijalishi ni nani katengeneza,,,. Sasa wewe dell hawaundi battery wananunua kwa kina panasonic na makampuni mengne ..panasonic anakwambia hii battery ikiachwa hivi inalika haraka wewe unawasikiliza dell😁😁 hio ni biashara mkuu ...jitahd usome usome kidogo fanya na test ndogo ndogo about battery

tmp-cam-143447922898048076.jpg


Screenshot_20210405-071832.png
 
Poleni wandugu kwanza.

Ni kwamba kuna kazi nafanya na laptop yangu ya siku nyingi Acer Quad Core 8gb ram.

Sasa shughuli nyingine masaa 18 inachapa mzigo nazima nusu saa. Halafu inapiga masaa 6 huu mchezo wiki nzima nimekuwa nafanya usiku na mchana sasa nimeanza kuogopa nitaikuta imezima moja kwa moja.

Ingawa chini yake nimeunganisha kwa usb "kipozeo" notebook cooler" kina fan lakini nimeona niongee na watalaam mnipe ujuzi.
Kuharibika kwa pc hasa kama itatumika kwa muda mrefu chanzo hasa huwa ni mfumo wa upoozaji.

Kama mfumo wa upoozaji uko vizuri piga kazi tu Usiwaze ila hakikisha mifumo yake ya upumuaji haiingiliwi yaani air inlets na outlets flow na hasa kama sehemu unayo fanyia kazia ina vumbi sana hali ambayo itahatarisha RPM ya cooling fan au unaziba air inlet flow kwa kuweka mashine sehemu ambayo haivuti hewa vizuri, kwa laptop mfano kama kitandani, kwenye kochi , mapajani nk.

Weka on top of hardmetals.
 
Poleni wandugu kwanza.

Ni kwamba kuna kazi nafanya na laptop yangu ya siku nyingi Acer Quad Core 8gb ram.

Sasa shughuli nyingine masaa 18 inachapa mzigo nazima nusu saa. Halafu inapiga masaa 6 huu mchezo wiki nzima nimekuwa nafanya usiku na mchana sasa nimeanza kuogopa nitaikuta imezima moja kwa moja.

Ingawa chini yake nimeunganisha kwa usb "kipozeo" notebook cooler" kina fan lakini nimeona niongee na watalaam mnipe ujuzi.
Haina tatizo hata masaa 24 mashine zinapita kazi
 
Test za battery zinafanywa hvyo na sio maneno ya kufikirika.,,, Site yako hiyo ya how to geek naona pia hujasoma yote umeona maneno kadhaa ume screenshot umeleta humu ...haya soma na hapo afu endelea bisha


Hata watengeneza smart phone siku hizi wameweka fast charge ..ile ni biashara ila test inaonesha battery ya kawaida ya 4000mah lithium ikiwa charging na chaja ya kawaida 5V 1A or 2A ita last muda mrefu kuliko kuichaji fast túseme nusu saa umeingiza 60 or 70% unaipa stress zile chemical kule ndani haiwezi dumu kama hii nyingne ila nyie msiopenda kuelewa utapita page ya samsung utaleta maneno wakiisifia battery yao na chaja yao...

Once material zilizounda battery ni sawa basi tabia zitafanana haijalishi ni nani katengeneza,,,. Sasa wewe dell hawaundi battery wananunua kwa kina panasonic na makampuni mengne ..panasonic anakwambia hii battery ikiachwa hivi inalika haraka wewe unawasikiliza dell😁😁 hio ni biashara mkuu ...jitahd usome usome kidogo fanya na test ndogo ndogo about battery

View attachment 1743744

View attachment 1743747
Umeongea point kubwa sana ambayo wengi hawaijui uingiaji wa charge ambao ni standard inabid kinacho chajiwa kiwe na uwezo mkubwa hata mara tatu zaid ikibid ya kile kinacho charge na hasa kama ukitaka ufanisi bora na ulinzi na usalama wa kile linacho chajiwa.

Mfano mdogo wale wanao charge feature phones hizi za vibatani au almaarufu vitochi ambavyo vina batt ya 800MA kwa kutumia charger kubwa za smart phone yenye 1 to 2 A , kweli kisimu kitajaa haraka lakini pia kitaisha charge haraka tofauti na ukicharge kwa charger yake ya 250 -300mah ambapo kitachukua mda mrefu kidogo kujaa lakini kikijaa kitakaa na charge mda mrefu..
 
Test za battery zinafanywa hvyo na sio maneno ya kufikirika.,,, Site yako hiyo ya how to geek naona pia hujasoma yote umeona maneno kadhaa ume screenshot umeleta humu ...haya soma na hapo afu endelea bisha


Hata watengeneza smart phone siku hizi wameweka fast charge ..ile ni biashara ila test inaonesha battery ya kawaida ya 4000mah lithium ikiwa charging na chaja ya kawaida 5V 1A or 2A ita last muda mrefu kuliko kuichaji fast túseme nusu saa umeingiza 60 or 70% unaipa stress zile chemical kule ndani haiwezi dumu kama hii nyingne ila nyie msiopenda kuelewa utapita page ya samsung utaleta maneno wakiisifia battery yao na chaja yao...

Once material zilizounda battery ni sawa basi tabia zitafanana haijalishi ni nani katengeneza,,,. Sasa wewe dell hawaundi battery wananunua kwa kina panasonic na makampuni mengne ..panasonic anakwambia hii battery ikiachwa hivi inalika haraka wewe unawasikiliza dell😁😁 hio ni biashara mkuu ...jitahd usome usome kidogo fanya na test ndogo ndogo about battery

View attachment 1743744

View attachment 1743747
Mkuu hata huelewi unachoongea no offense.

Hakuna aliekataa Joto linaua battery, Nimeongea huko juu na wadau kibao wameliongeleA,

Leta ushahidi kuacha laptop plugged in baada ya battery kujaa ni jambo baya, hayo mambo ya fast charging na cooling ni mengine hayahusiani na Tunachoongea hapa. Hizo volts na Ampere hata hazina maana na tunachozungumzia.
 
Umeongea point kubwa sana ambayo wengi hawaijui uingiaji wa charge ambao ni standard inabid kinacho chajiwa kiwe na uwezo mkubwa hata mara tatu zaid ikibid ya kile kinacho charge na hasa kama ukitaka ufanisi bora na ulinzi na usalama wa kile linacho chajiwa.

Mfano mdogo wale wanao charge feature phones hizi za vibatani au almaarufu vitochi ambavyo vina batt ya 800MA kwa kutumia charger kubwa za smart phone yenye 1 to 2 A , kweli kisimu kitajaa haraka lakini pia kitaisha charge haraka tofauti na ukicharge kwa charger yake ya 250 -300mah ambapo kitachukua mda mrefu kidogo kujaa lakini kikijaa kitakaa na charge mda mrefu..
Ushahidi Pls.

Simu zina miundo yake, kitochi hakipokei 1a ama 2a hata utumie hio chaja umeme unaingia kidogo kidogo kama kawaida, na hizo Habari za kwamba inaisha upesi ni za kijiweni otherwise leta ushahidi.
 
Back
Top Bottom