Ushahidi gani unao ongelea chief au unao taka?Mimi pia ninayo na inakaa na chaja what's your point? Na kwanini hutaki ushahidi?
Wabongo mnapenda kuongea vitu bila facts mtu akitaka kuleta facts inakua tabu pia?
Na mimi sijahudhuria course yoyote ya umeme wala madaftari unayo sema sina ni natumia pia uzoefu,
Hio ni logic ya kawaida tu ukitumia chaja yenye amps kubwa simu inachuja ina chukua amps inazotaka.
We jamaa ni mbishi yaan halafu unabisha kitu ambacho hujafanya utafiti yaaan unatumia notes kubisha.Mimi pia ninayo na inakaa na chaja what's your point? Na kwanini hutaki ushahidi?
Wabongo mnapenda kuongea vitu bila facts mtu akitaka kuleta facts inakua tabu pia?
Na mimi sijahudhuria course yoyote ya umeme wala madaftari unayo sema sina ni natumia pia uzoefu,
Hio ni logic ya kawaida tu ukitumia chaja yenye amps kubwa simu inachuja ina chukua amps inazotaka.
Nina kitochi cha samsung, Nokia E52, Nokia C5, Nokia 8110 4g, Nokia 105 kitochi etc mimi ni hobby yangu kukusanya karibia simu zote za batan na os zake.We jamaa ni mbishi yaan halafu unabisha kitu ambacho hujafanya utafiti yaaan unatumia notes kubisha.
Fungua ndani utakuta battery sita za 3.6v kwa 2200mah each...acha ubishiJamaa muongo wewee, battery ninayo mwenyewe nimepiga picha mwenyewe picha inaonesha kabisa ina 4200mah, ila wewe unasema ina cell 6 za 2200mah?
View attachment 1744071
Kwa hio hao kina Lenovo na dell hawajui kiasi cha volt Kinachotakiwa kiingie kwenye battery?
Jamaa muongo wewee, battery ninayo mwenyewe nimepiga picha mwenyewe picha inaonesha kabisa ina 4200mah, ila wewe unasema ina cell 6 za 2200mah?
View attachment 1744071
Kwa hio hao kina Lenovo na dell hawajui kiasi cha volt Kinachotakiwa kiingie kwenye battery?
Uelewa wako ni mdogo sana huko ,, nikwambie tu hamna lithium yoyote kwenye umbile la hizo battery humo ndani inayofika 4200mah per battery duniani ...Jamaa muongo wewee, battery ninayo mwenyewe nimepiga picha mwenyewe picha inaonesha kabisa ina 4200mah, ila wewe unasema ina cell 6 za 2200mah?
View attachment 1744071
Kwa hio hao kina Lenovo na dell hawajui kiasi cha volt Kinachotakiwa kiingie kwenye battery?
Battery ya 3900, 3990, 3992, 3992 etc zote zinaitwa 4000mah, hizo ni hesabu za kukadiria sijui darasa la ngapi tunafundishwa, ni kitu cha kawaida tu manufacture wote Wana andika.Uelewa wako ni mdogo sana huko ,, nikwambie tu hamna lithium yoyote kwenye umbile la hizo battery humo ndani inayofika 4200mah per battery duniani ...
Hio battery yako imeandikwa 48w .... humo ndani zipo kwenye mpangilio wa 2P3S ....kama 2P ikiwa 4200mah basi hio battery yako haiwezi fika 48w itakuwa na 45w kwa hio chagua kimoja kipi kimekosewa andikwa hapo...ili iwe 48w kama ilivoandikwa basi hapo inatakiwa andikwa 4400mah na sio 4200mah..hili pia utabisha ...fungua hio battery haiwezi haribika utakuta nilichokwambia
Mkuu natumia toshiba... Nikiweka battery nikiwasha inadisplay mwanga mweusi tuu... Ila nikiitoa betri inawaka kawaida... Sijaelewa Nini shida mkuuUelewa wako ni mdogo sana huko ,, nikwambie tu hamna lithium yoyote kwenye umbile la hizo battery humo ndani inayofika 4200mah per battery duniani ...
Hio battery yako imeandikwa 48w .... humo ndani zipo kwenye mpangilio wa 2P3S ....kama 2P ikiwa 4200mah basi hio battery yako haiwezi fika 48w itakuwa na 45w kwa hio chagua kimoja kipi kimekosewa andikwa hapo...ili iwe 48w kama ilivoandikwa basi hapo inatakiwa andikwa 4400mah na sio 4200mah..hili pia utabisha ...fungua hio battery haiwezi haribika utakuta nilichokwambia
Hizo hapoUelewa wako ni mdogo sana huko ,, nikwambie tu hamna lithium yoyote kwenye umbile la hizo battery humo ndani inayofika 4200mah per battery duniani ...
Hio battery yako imeandikwa 48w .... humo ndani zipo kwenye mpangilio wa 2P3S ....kama 2P ikiwa 4200mah basi hio battery yako haiwezi fika 48w itakuwa na 45w kwa hio chagua kimoja kipi kimekosewa andikwa hapo...ili iwe 48w kama ilivoandikwa basi hapo inatakiwa andikwa 4400mah na sio 4200mah..hili pia utabisha ...fungua hio battery haiwezi haribika utakuta
Hizo hapo
cell zake ni CGR18650 wengine wanazirate 1400mah wengine 1800mah kama unaweza kuzisoma specs zake.
hiki kiwanda cha china wanaoship
Panasonic CE 18650 Battery, 1800mAh, 4.4A, 3.6V, Grade A Lithium-ion (CGR18650CE)
The Panasonic CE is a lithium-ion cell intended for use in 18650 battery packs. It can power a wide range of devices including a cordless jigsaw, 3D printing pen, or personal digital assistant.Panasonic 18650 batteries are highly regarded for perfovoltaplex.com
..hio sio picha halisi ya battery zilizoko ndani humo na kuandikwa 18650 sio kwamba ndo mah yake
Tuma picha ya battery ulizokuta ndani
Ulikataa ziko sita hizi ni ngapi? Mah per battery umeona ni ngap
Nimeshakutumia link juu na hazijaandikwa Mah, wapi nimekataa sio 6? Nimekataa hivyo vipimo vyako vya kukariri.Ulikataa ziko sita hizi ni ngapi? Mah per battery umeona ni ngap
Vipimo vipi vya kukariri inamaana we huwezi jua kilichoko ndani kwa kusoma tu kwamba imeandikwa watts 48 volt ni 10.8 unatumia knowledge yako ulionayo kwamba hamna lithium ya size hio yenye 4400mah hivo lazima ziwe mbili ku achieve 4400mah au 4200mahNimeshakutumia link juu na hazijaandikwa Mah, wapi nimekataa sio 6? Nimekataa hivyo vipimo vyako vya kukariri.
sijakataa hilo la battery mbili ama zaidi kutumika ni kitu common na kipo maeneo mengi, usinilishe maneno. ila wewe kuanzia juu huko kwenye mada husika unabishana na specs za manufacture mpaka ADMIN wa Dell umemkataa bila kuwa na ushahidi wowote wenye mashiko. yaishe tu mkuu.Vipimo vipi vya kukariri inamaana we huwezi jua kilichoko ndani kwa kusoma tu kwamba imeandikwa watts 48 volt ni 10.8 unatumia knowledge yako ulionayo kwamba hamna lithium ya size hio yenye 4400mah hivo lazima ziwe mbili ku achieve 4400mah au 4200mah