Lara 1 yuko wapi?

itakua wewe ndo umepotea mkuu mbona December alitupa kitu chaukwee ( story)

lara Mzungu yule story ikiisha huwa anasemaga kabisa labda tuonane Pasaka ikiisha au laa then huyooooo anatokomea sema mwisho mwisho sikumalizia story


cc Smart911
 
Kumbe humu ngono ni nje nje+?
 
Hivi hawanavina7 na mange
!?? Iliniunganishee dots
 
Mkuu umemla nini mbona kama umeandika kwa ujuaji wa hali ya juu
 
Biashara aliyokuwa anafanya awamu hii hailipi.Biashara kongwe duniani.
 
Mkuu ukosei kabisa mia mia ulichoongea
 
Bado hakuna mwenye taarifa za Lara 1?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…