Lara l live interview on DJ sepetu show!!

Lara l live interview on DJ sepetu show!!

safi sana.
unazungumziaje hii tabia ya wanawake kufanywa mapenzi kinyume cha maumbile? wewe ilishawai kukutokea mwanaume akakuambia mfanye hilo jambo?

Hii tabia ni ya kingese tuuu, na anaefanywa hivo mngese kwliii kuanzia wa mwili mpaka akili. Utakubalije mtu akuharibie mwili wako? Kwa shingi ngapiii? Anakupa nini cha maana? Kama nilivosema ni ungese wa akili ndo chanzo kikubwaaa. Lazima akili yako iwe ishafilikaaa kwanza ndo ukubali wakufile mwili. Maisha yakufile wewe na wanaume piaaa tena wanaume wenyewe unakuta nao maisha yana wafila vile vile tena bila KY mxiuuuuuuuu.

kAMA NILIVOSEMA MIMI WANAUME WANGESE KUANZIA WA AKILI, WA KIUCHUMI, MPAKA TABIA NIKO NAO TOFAUTIIII. Watanipata wapiiii waniambie huoo upuuzi. Na nashukuru Mungu sina dhiki, hata bila mwanaume yoyote hata mkinga tupa kule mjini naishia raha mustareheeee kabisa bila wasi wasi. Nashukur Mungu sanaaa, mnoo mnoo uchumi wangu hautegemei wanaume wa aina yoyote.

Na wanaume naokuwa nao wanajua mi sio mwanamke wa kufilaaa, maana asipojiangalia nitamfilaaa yeye akili na kumpiga chuma mboga ya mawazooo mpaka awe hanisi wa kuamuaaa.
 
Sijaolewaaa ila na bwana wa mdaa mrefuuu sijui kama kaniloga au vipiii, kila nikitafuta bwana nimmwageee napata kimeooo. Na hivi mkinga nina mashaka makubwaaaa. Ila natafuta Mume sasa na awe anajiwezaaa hilo namba mojaaa. Maana huyu mkinga kanishinda tabia njaa zangu tu zinaniwekaaa nae kuvumilia upuuzi.

Watoto sinaa, sijaona wa kumzalia maana huyu mkinga sio sio. Na nikizaa na Free P nitachujaaa na kupauka maana mkinga atanitelekezaaa. Labda ningemzalia MOTP maana nampenda hatariiiii and he is the best daddy ever, afu mitoto yake mizuriii mizuriii anajua kuhudumiaa, sema nae ndo kaokoka sahivi, sijui mkewe kaongeza midawa ya kumrogaaa sanaa, kamu over doseee, kagomea offer yangu kabisaaa.

Sipendi wanaume Free P sababu nitawadanganya. Mimi kichwa changu sio kizuriii kabisaa. Kama hapa sijala jioni pesa sinaaa, ila nina guts na confidence za kuongelea kwenda kwa Trump mwakani, sio chini million 6. Na nitapa na nitaendaaa. Sasa kama ningekuwa na bwana Free P hii jeuriii na kibri ningevitoa wapi vya kuzungumza mbele za umati huuu tena kwa kujiamini kabisaaa. NAPENDA MAMBO MAKUBWAAAAAA SANAAA. Mpaka mama anasema msipoliwa viboga nyie watoto sijuiiiiii, sio kwa maisha hayoooo. Nani memuona labda anasafiri safiri huko nje katikao ukoo kama sio kutafuta balaaaa. Hahahaaaaaaa! Shauri yenu jitieni kuiga kunya kwa tembo dunia iwapasue msamba.

Nishakaa na mabwana hawana kitu ila naona kama natupa maishaaaa. Seriously. Nitamkera huyo bwanaaa kwanza. Maana Mkinga nimedumu nae maana boss wa bank, ana transportation company yenye hizo fuso, analima miti hela na heka kanihonga vi heka 10 tukigombana hata robo ana ninyanganyaaa heheheeee. Ana lima mchele, ufuta, mataka taka kibaooo na ku export nje. Ana kampuni za IT kama 3. Ni hustler sanaaaaaaaa. THESE ARE THE KIND OF MEN I LOVE. THEY CHALLANGE ME TO DARE THE DEVIL, DREAM BIG, SEE THE BIGGER PICTURE, AND BECOME THE BEST I CAN BECOME,

AND THESE MEN ARE EXTREMLY FEW. So nikikaa na mwanaume hana akili anaenda kupokea laki 8 na kuja kukupiga mikasi for a livingi najiona ni mngese wa mwisho duniani i can do better and i should do better. Minga kama laana kwangu. Maana kila bwanaaa kasoro MOTP ambae ni mme wa watu sio mtu wengine ovyo ovyo tu, they offer small life ya kwafulia mi boxer yao for a living. Come on.

bORA UWE HAJAWAHI KUIONJA BIG LIFE, KULIKO KAMA MIMINISHAJUA UTAMU WA KUPANDA NDEGE NA $$$$$ AFU UKANIFUNGIE MADALE NIPANDE HAICE TEGETA KARIAKOO FOR A LIVING STRESS ZITANIMALIZAAA
[emoji122][emoji122]
Ila MOTP kaokoka like seriously??hallelujah
Ccespy
Heaven Sent
 
asante kwa jibu poa ila nazungumzia hii ya online trading
Hizo za Questa na sijui ungese gani kwamba uchumi wa dunia ni coins na beats ungese mtupu. Nawaangali wanao trade wanafilika tu maisha ndo maana sijashoboka nazo.

Mi mtu wa kuusoma mchezo, niemona kariakoo wakinga na wapemba wanakuja na yebo yebo wanajenga maghorofa nakomaa nao jino kwa jino mpaka kielewekee, China pesa ipo. Na mimi nikazama china.

Ningeona mjinga yoyote naemjua huko Questra mara paaaaap kanunua Morano, kesho ningenunua beats sijui beads za $5,000 ile paaap haina kuwaza. Naona kama forever living kina blandina nyoni wanajiachia kwenye mi appartment wajinga wengine wanazeeka wakiuza sabuniii za forever living si ujinga huo.
 
Hizo za Questa na sijui ungese gani kwamba uchumi wa dunia ni coins na beats ungese mtupu. Nawaangali wanao trade wanafilika tu maisha ndo maana sijashoboka nazo.

Mi mtu wa kuusoma mchezo, niemona kariakoo wakinga na wapemba wanakuja na yebo yebo wanajenga maghorofa nakomaa nao jino kwa jino mpaka kielewekee, China pesa ipo. Na mimi nikazama china.

Ningeona mjinga yoyote naemjua huko Questra mara paaaaap kanunua Morano, kesho ningenunua beats sijui beads za $5,000 ile paaap haina kuwaza. Naona kama forever living kina blandina nyoni wanajiachia kwenye mi appartment wajinga wengine wanazeeka wakiuza sabuniii za forever living si ujinga huo.
ahahaaa ngoja Ontario na team yake wakusikie
bna jibu hili swali nilale ! najua ushasex na wanaume wengi kiaina.je kuna ambae aliweza kuacha historia ya kitu flani kwako? like utamu zaidi au maumivu zaidi?????????? au mapene zaidi au alikukopa??????ilikuwaje na alikuwa mtu wa aina gani?@lara hujajibu hapa
 
Hii tabia ni ya kingese tuuu, na anaefanywa hivo mngese kwliii kuanzia wa mwili mpaka akili. Utakubalije mtu akuharibie mwili wako? Kwa shingi ngapiii? Anakupa nini cha maana? Kama nilivosema ni ungese wa akili ndo chanzo kikubwaaa. Lazima akili yako iwe ishafilikaaa kwanza ndo ukubali wakufile mwili. Maisha yakufile wewe na wanaume piaaa tena wanaume wenyewe unakuta nao maisha yana wafila vile vile tena bila KY mxiuuuuuuuu.

kAMA NILIVOSEMA MIMI WANAUME WANGESE KUANZIA WA AKILI, WA KIUCHUMI, MPAKA TABIA NIKO NAO TOFAUTIIII. Watanipata wapiiii waniambie huoo upuuzi. Na nashukuru Mungu sina dhiki, hata bila mwanaume yoyote hata mkinga tupa kule mjini naishia raha mustareheeee kabisa bila wasi wasi. Nashukur Mungu sanaaa, mnoo mnoo uchumi wangu hautegemei wanaume wa aina yoyote.

Na wanaume naokuwa nao wanajua mi sio mwanamke wa kufilaaa, maana asipojiangalia nitamfilaaa yeye akili na kumpiga chuma mboga ya mawazooo mpaka awe hanisi wa kuamuaaa.
Teh!
 
Back
Top Bottom