Chief Sanze
JF-Expert Member
- Jun 13, 2014
- 1,668
- 3,736
Kweli hiyo ni changamoto na changamoto hiyo hata Buguruni ipo ndiyo maana ruti zote zinazoishia pale zimefutwa,lakini serikali inapaswa iangalie namna ya kuipatia ufumbuzi maana sehemu nyingi zinakuwa na tatizo la usafiri na inalazimu abiria kupanda gari zaidi ya moja sehemu ambayo angepanda gari moja tu.Halafu pale vingunguti gari zipaki wapi??
Hii ipo na inafanya Kaz mda mrefuPIa Gongo la mboto kwenda Mbezi kupitia Malamba mawili...Bonge la shirt cut
Sikuwa najua.Hii ipo na inafanya Kaz mda mrefu
Yeye anasemea route inayopita Ubungo sio hio ya external-mabibo jeshini-maji chumviyanayoanzia mbezi-kimara korogwe-majichumvi(Mabibo jeshini)-external-mabibo-kigogo-karume- mnazi mmoja
Sehemu nyingine zimekaa fyongo mkuu, hiyo kusema kuwe na gari moja sip rahisi. Gari zitakua nyingi sana na foleni itakua kubwa kama vitu vitakua vingi, segerea stendi, chang'ombe stendi, vingunguti waweke stendi, buguruni stendi..Kweli hiyo ni changamoto na changamoto hiyo hata Buguruni ipo ndiyo maana ruti zote zinazoishia pale zimefutwa,lakini serikali inapaswa iangalie namna ya kuipatia ufumbuzi maana sehemu nyingi zinakuwa na tatizo la usafiri na inalazimu abiria kupanda gari zaidi ya moja sehemu ambayo angepanda gari moja tu.
Mbonaa hii route ipo tangu mda.PIa Gongo la mboto kwenda Mbezi kupitia Malamba mawili...Bonge la shirt cut
Hii route mbona ipo ya Mbezi to Gomz via KinyereziMaeneo ya mbezi,kifuru,kinyerezi,Gongo lamboto,Pugu panatakiwa pawe na routes ila tu Mimi Huwa naona changamoto ni barabara na abiria Huwa sio wengi.
Mfano kutokea kifuru kuja kimara temboni kupitia Kwa msingwa nayo ni route nzuri tu ila ishu ni ubora wa barabara.(kuhusu umbali wa route wataongeza wenyewe)