Latra kwenye hili mmewaonea Katarama Luxury

Latra kwenye hili mmewaonea Katarama Luxury

Latra Ina watu wenye akili finyu

Kwenye Tanzania mpya wenye mabasi watatengeneza composition ya chombo kama latra, siyo hawa wasiokuwa na ufahamu na wanachokisimamia. Vivyo hivyo kwa secta zingine.

TRA wasiokuwa na uelewa na changamoto za biashara wanaweza kuwa na mchango upi kwenye biashara kukua?

Wasiokuwa na shughuli yenye kuajiri wanaweza vipi kuwa na ufumbuzi kwenye changamoto za ajira?
 
Nimeona barua yenu ya kuwafungia katarama Luxury kwa kile mnachodai wamechezea VTD, nilitegemea mngefungia pia na makampuni mengine kama Allys, Happy Nation na New force.

Hii ni kama double standard, mnabagua wa kuwapa adhabu, kwani hao wengine wanatumia VTD za tofauti?

View attachment 2535199View attachment 2535200
Kwahiyo mabasi mawili yote ya plate number moja (T835 EBR)?
 
Nimeona barua yenu ya kuwafungia katarama Luxury kwa kile mnachodai wamechezea VTD, nilitegemea mngefungia pia na makampuni mengine kama Allys, Happy Nation na New force.

Hii ni kama double standard, mnabagua wa kuwapa adhabu, kwani hao wengine wanatumia VTD za tofauti?

View attachment 2535199View attachment 2535200
Jamaa ana bus mbili tu Ila mziki wake wake wanaugua amesumbua sumbua wameleta figisu

Gari Ni mpya f360 scania


Chuma inapanda mlima Kama inashuka

Wazee wa Chinese hawataki pitwa
 
Latra jipu unajiuliza mbona wanafika wakati mmoja kwa hio basi itakuwa wote wamechezea hivyo vts.hii ni kama wakati sauli nae anaanza hii biashara ya basi kuna hao wa kujiita makontawa wa njia huwa wanafigisu sana
Sauli nae alikuja na Benz na scania zake gemilang figisu zikawa nyingi sana
 
Kutoka mwanza Leo Ally's anaitafuta kwa tabu sana katarama bila mafanikio.

Kutoka Dar Ally's katoka Zaid ya 40minutes mbele ya katarama Sasa Ila kwa habari zisizo rasmi pale msamvu shughuli ilikuwa ishaisha.

Scania Kama za katarama au superfeo zile zinamudu 120km/h bila shida yoyote alafu hata abiria hawashuki Ila kwa mchina akifika 100km/h unaona Kama bus unataka kupaa.

Somo zuri kutoka kwa KATARAMA wekeza vizuri ili iwe mshindani mzuri zile chuma zinapiga Nenda🔁Geuka lakin bado hazishikiki. Mfanyie hvyo mchina Kama pale shelui hajakugomea kupanda
 
Kutoka mwanza Leo Ally's anaitafuta kwa tabu sana katarama bila mafanikio.

Kutoka Dar Ally's katoka Zaid ya 40minutes mbele ya katarama Sasa Ila kwa habari zisizo rasmi pale msamvu shughuli ilikuwa ishaisha.

Scania Kama za katarama au superfeo zile zinamudu 120km/h bila shida yoyote alafu hata abiria hawashuki Ila kwa mchina akifika 100km/h unaona Kama bus unataka kupaa.

Somo zuri kutoka kwa KATARAMA wekeza vizuri ili iwe mshindani mzuri zile chuma zinapiga Nenda🔁Geuka lakin bado hazishikiki. Mfanyie hvyo mchina Kama pale shelui hajakugomea kupanda
Katarama leo imetoka?
 
Kutoka mwanza Leo Ally's anaitafuta kwa tabu sana katarama bila mafanikio.

Kutoka Dar Ally's katoka Zaid ya 40minutes mbele ya katarama Sasa Ila kwa habari zisizo rasmi pale msamvu shughuli ilikuwa ishaisha.

Scania Kama za katarama au superfeo zile zinamudu 120km/h bila shida yoyote alafu hata abiria hawashuki Ila kwa mchina akifika 100km/h unaona Kama bus unataka kupaa.

Somo zuri kutoka kwa KATARAMA wekeza vizuri ili iwe mshindani mzuri zile chuma zinapiga Nenda🔁Geuka lakin bado hazishikiki. Mfanyie hvyo mchina Kama pale shelui hajakugomea kupanda
Kwa hiyo hizo bus kama leo umeziona basi kumbe azijafungiwa
 
Katarama leo imetoka?
Jana kelele zilikuwa nyingi Sana hasa twitter nahisi latra wameona Aibu ndiyo maana chuma bado zipo barabarani alafu kumbuka katarama ni tajiri wa malori na vituo vya mafuta kwahiyo figisu za kishamba anaziweza..
Leo zipo road kama kawaida kama halijatokea kitu, na kama hii kampuni ikileta bus zingine mbili Hali itakuwa mbaya Kwa upande wa bus za ally's
 
Back
Top Bottom