Latra kwenye hili mmewaonea Katarama Luxury

Latra kwenye hili mmewaonea Katarama Luxury

Basi haziruhusiwi kutembea zaidi ya 80km/h.

Ni Katarama au awaye yote kakiri mwenyewe kutembea 90km/h au zaidi?

Mnapima vipi kasi za mabasi haya mkiwa chini?

Acheni upotoshaji usiokuwa na baraka na wenye biashara hizo.
Nani kasema hayo?

Mie nimesema Basi scania likiwa kwenye spidi 120km/h haujisikii Kama Basi lipo mwendo lakin ukiwa kwenye Basi za mchina Asian star, Golden dragon, au yutong zikiwa na 100km/h unahisi Basi linapepea au linataka kupaa hayo ya katarama sijui na hao wengine unawaleta wewe.

Naleo chuma zipo road
 
Nani kasema hayo?

Mie nimesema Basi scania likiwa kwenye spidi 120km/h haujisikii Kama Basi lipo mwendo lakin ukiwa kwenye Basi za mchina Asian star, Golden dragon, au yutong zikiwa na 100km/h unahisi Basi linapepea au linataka kupaa hayo ya katarama sijui na hao wengine unawaleta wewe.

Naleo chuma zipo road

Sasa haya ya 100km/h au 120km/h mnayapata wapi wakati hakuna moja linathubutu kufika 90km/-?

Mwongozo wako tafadhali.

Zaidi sana, kama chuma ziko barabarani basi mwenye makomeo yake atakuwa kagwaya kusikia uwezakano wa kuburuzwa kwa Pilato asubuhi asubuhi.
 
Sasa haya ya 100km/h au 120km/h mnayapata wapi wakati hakuna moja linathubutu kufika 90km/-?

Mwongozo wako tafadhali.

Zaidi sana, kama chuma ziko barabarani basi mwenye makomeo yake atakuwa kagwaya kusikia uwezakano wa kuburuzwa kwa Pilato asubuhi asubuhi.
Jaribu kutoka nje ya mipaka ya Tanzania uone mabasi na uone hyo 120km/h namaanisha nini.

Siku moja nenda hata Kenya tuu panda Basi kutoka Mombasa to Nairobi au Nairobi to nakuru uone chuma xinavyomwaga Moto na huko chuma zinatembea usiku
 
Jaribu kutoka nje ya mipaka ya Tanzania uone mabasi na uone hyo 120km/h namaanisha nini.

Siku moja nenda hata Kenya tuu panda Basi kutoka Mombasa to Nairobi au Nairobi to nakuru uone chuma xinavyomwaga Moto na huko chuma zinatembea usiku

Kwani lengo la mada lilikuwa nini? Uonevu wa Latra au mashindano ya magari?

Kumwaga moto ni hatari kwa maisha yako. Kushabikia kumwaga moto ni dalili za utoto.
 
Huyu jamaa kawashika pabaya Ally's na Happy Nation,Lazma wamchafulie ili wabaki wao. Make mwamba ana Scania tupu halafu bomba kinyama.Ni kampuni mpya Haina mda mrefu.
Wamemfanyia uhuni , akaze tuu duniani hapa bila kukaza tako kuna wahuni wengi Sana
 
Basi haziruhusiwi kutembea zaidi ya 80km/h.

Ni Katarama au awaye yote kakiri mwenyewe kutembea 90km/h au zaidi?

Mnapima vipi kasi za mabasi haya mkiwa chini?

Acheni upotoshaji usiokuwa na baraka na wenye biashara hizo.
80 kph to mwanza utafika keshooooooo


Hii 80 inawafaa watu wa arusha tu hapo
 
Ni ujinga sana, mabasi yote yanachezewa! Nimeshaanzisha thread kadhaa hapa jukwaani
 
80 kph to mwanza utafika keshooooooo


Hii 80 inawafaa watu wa arusha tu hapo
Nishapanda bus limetoka mwanza huwa linasifika Sana ..njiani nilikuwa na monitor speed Kuna app ilikuwa inachora graph flani hivi ..hivo unaona top speed Ni ngap , average speed Ni ngap pia lowest speed


Unagundua halikuwa speed Sana top speed lilifika 92kmh , bamsi ndogo au kubwa kabisa tulipita na 50kph kwa hio likishuka chini labda limesimama ila Safari nzima Ni 80-85 ,, baaadhi ya bamsi inapita na 70kmh hapa niliona Kama mgongo umekata mawasiliano


Mwendo huo na mlimani halisinzii lazima liwahi kufika tu hata iweje

Kuna baadhi ya bus nasikia king'amuzi kinalia 100kmh plus
 
Kutoka mwanza Leo Ally's anaitafuta kwa tabu sana katarama bila mafanikio.

Kutoka Dar Ally's katoka Zaid ya 40minutes mbele ya katarama Sasa Ila kwa habari zisizo rasmi pale msamvu shughuli ilikuwa ishaisha.

Scania Kama za katarama au superfeo zile zinamudu 120km/h bila shida yoyote alafu hata abiria hawashuki Ila kwa mchina akifika 100km/h unaona Kama bus unataka kupaa.

Somo zuri kutoka kwa KATARAMA wekeza vizuri ili iwe mshindani mzuri zile chuma zinapiga Nenda🔁Geuka lakin bado hazishikiki. Mfanyie hvyo mchina Kama pale shelui hajakugomea kupanda
Hiyo bus ya Katarama sio bidhaa ya Mchina ? Au ni Japan ?
 
Stop fuming and fretting and start living a lesson from THE POWER OF POSITIVE THINKING BOOK tuishi wazee maisha ndio haya haya.
 
Back
Top Bottom