Katarama kawakanda sana,mpaks wakaamua watoke saa kumi na moja lakini wapii..wakaona dawa na kumchomea latraHuyu jamaa kawashika pabaya Ally's na Happy Nation,Lazma wamchafulie ili wabaki wao. Make mwamba ana Scania tupu halafu bomba kinyama.Ni kampuni mpya Haina mda mrefu.
Latra Ina watu wenye akili finyu
Kwahiyo mabasi mawili yote ya plate number moja (T835 EBR)?Nimeona barua yenu ya kuwafungia katarama Luxury kwa kile mnachodai wamechezea VTD, nilitegemea mngefungia pia na makampuni mengine kama Allys, Happy Nation na New force.
Hii ni kama double standard, mnabagua wa kuwapa adhabu, kwani hao wengine wanatumia VTD za tofauti?
View attachment 2535199View attachment 2535200
Hao wengine wote inasemekana wamachezea pia, ila hawawi wachoyo kwenye kutoa bakshishi kwa wakaguziHuyu jamaa kawashika pabaya Ally's na Happy Nation,Lazma wamchafulie ili wabaki wao. Make mwamba ana Scania tupu halafu bomba kinyama.Ni kampuni mpya Haina mda mrefu.
Jamaa ana bus mbili tu Ila mziki wake wake wanaugua amesumbua sumbua wameleta figisuNimeona barua yenu ya kuwafungia katarama Luxury kwa kile mnachodai wamechezea VTD, nilitegemea mngefungia pia na makampuni mengine kama Allys, Happy Nation na New force.
Hii ni kama double standard, mnabagua wa kuwapa adhabu, kwani hao wengine wanatumia VTD za tofauti?
View attachment 2535199View attachment 2535200
Sauli nae alikuja na Benz na scania zake gemilang figisu zikawa nyingi sanaLatra jipu unajiuliza mbona wanafika wakati mmoja kwa hio basi itakuwa wote wamechezea hivyo vts.hii ni kama wakati sauli nae anaanza hii biashara ya basi kuna hao wa kujiita makontawa wa njia huwa wanafigisu sana
😁Kuna siku nimeona jamaa anavofuta magepu ya waliotoka sa 11Katarama kawakanda sana,mpaks wakaamua watoke saa kumi na moja lakini wapii..wakaona dawa na kumchomea latra
Katarama leo imetoka?Kutoka mwanza Leo Ally's anaitafuta kwa tabu sana katarama bila mafanikio.
Kutoka Dar Ally's katoka Zaid ya 40minutes mbele ya katarama Sasa Ila kwa habari zisizo rasmi pale msamvu shughuli ilikuwa ishaisha.
Scania Kama za katarama au superfeo zile zinamudu 120km/h bila shida yoyote alafu hata abiria hawashuki Ila kwa mchina akifika 100km/h unaona Kama bus unataka kupaa.
Somo zuri kutoka kwa KATARAMA wekeza vizuri ili iwe mshindani mzuri zile chuma zinapiga Nenda🔁Geuka lakin bado hazishikiki. Mfanyie hvyo mchina Kama pale shelui hajakugomea kupanda
Kwa hiyo hizo bus kama leo umeziona basi kumbe azijafungiwaKutoka mwanza Leo Ally's anaitafuta kwa tabu sana katarama bila mafanikio.
Kutoka Dar Ally's katoka Zaid ya 40minutes mbele ya katarama Sasa Ila kwa habari zisizo rasmi pale msamvu shughuli ilikuwa ishaisha.
Scania Kama za katarama au superfeo zile zinamudu 120km/h bila shida yoyote alafu hata abiria hawashuki Ila kwa mchina akifika 100km/h unaona Kama bus unataka kupaa.
Somo zuri kutoka kwa KATARAMA wekeza vizuri ili iwe mshindani mzuri zile chuma zinapiga Nenda🔁Geuka lakin bado hazishikiki. Mfanyie hvyo mchina Kama pale shelui hajakugomea kupanda
Chombo zipo road zinaendelea kumpa tabu Ally'sKatarama leo imetoka?
Kama kawaida chuma zipo road zinatafuta manyoni kwa muda huu zote mbiliKwa hiyo hizo bus kama leo umeziona basi kumbe azijafungiwa
Duh!. Adhabu yao imeisha ?Kama kawaida chuma zipo road zinatafuta manyoni kwa muda huu zote mbili
hahaha nimecheka kinomaKama kawaida chuma zipo road zinatafuta manyoni kwa muda huu zote mbili
Mchongo uleDuh!. Adhabu yao imeisha ?
Jana kelele zilikuwa nyingi Sana hasa twitter nahisi latra wameona Aibu ndiyo maana chuma bado zipo barabarani alafu kumbuka katarama ni tajiri wa malori na vituo vya mafuta kwahiyo figisu za kishamba anaziweza..Katarama leo imetoka?
Hizi bus zimekuwa gumzo Sana kanda ya ziwa sipati picha kama zingekuwa 4 barabaraniLatra wametumika kama chombo cha Matangazo bila kujijua
Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app