LATRA: Mabasi yasiyotumia tiketi mtandao mwisho Septemba 1

LATRA: Mabasi yasiyotumia tiketi mtandao mwisho Septemba 1

tatizo LATRA wanaishi mjini! hawajui shida za mikoani na njiani huko

Kitu wanatangaza LATRA, wanamaanisha kuwa mtu anayepandia basi Dumila, Naliendele, Itigi na sehemu zote za huko njiani na ndani ndani, watu hao wana uwezo wa kukata tiketi kielektroniki...
 
Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (Latra), imesema kuanzia Septemba 1, 2022, mabasi yanayofanya safari za mikoani na nchi za nje yasiyotumia tiketi za mtandao hayaturusiwa kufanya shughuli za usafirishaji wa abiria...
Tujue faida na hasara ya ticket mtandao, kwa Mimi huwa nazama Magufuli Terminal nakutana na mkatisha ticket tuna bargain, kama nauli ni 30,000/ Mimi nakomaa na mkatisha ticket mpaka 20,000/ nalipa nasafiri, sasa ticket mtandao kuna ku bargain tena? Hapo tutakomaa na ticket za karatasi tu.
 
As if kila mmoja anakifahamu kirefu cha F.O.C.
 
Baada ya LATRA kutangaza rasmi kutumia mtindo wa kukata tiketi za bus kwa njia ya Electronic/kupitia kwenye mtandao hawa vijana mamilioni waliojiajiri kama wapiga debe watafanya kazi gani.

Serikali ya CCM iangalie kwa makini suala hili ambalo litafanya vijana wengi kukosa kazi.

Tayari tumeona vijana waliojiajiri kwenye Uber na Bolt wakipoteza ajira zao.
 
Acha upumbavu lazima tuende na tenkolojia kurahisisha maisha.

Bank zilivyohama kutoka kwenye mafaili na kugonga vitabu kwenda kwenye kompyuta wale wafanyakazi walienda wapi?

Nani anatamani kughasiwa na wapiga debe na vibaka stand? Mara siti imeuzwa mara 3
Huo mfumo nimeutumia zaidi ya mwaka ni mzuri mno, unachagua siti uitakayo na Tarehe ya kusafiri ukiwa popote na unalipia hakuna kuuzwa mara mbili
 
Kupiga debe sio ajira. Ni kero na ni kazi ya hovyo kabisa. Kuna ruzuku ya mbolea waende wakalime.
 
Acha upumbavu lazima tuende na tenkolojia kurahisisha maisha.

Bank zilivyohama kutoka kwenye mafaili na kugonga vitabu kwenda kwenye kompyuta wale wafanyakazi walienda wapi?

Nani anatamani kughasiwa na wapiga debe na vibaka stand? Mara siti imeuzwa mara 3
Huo mfumo nimeutumia zaidi ya mwaka ni mzuri mno, unachagua siti uitakayo na Tarehe ya kusafiri ukiwa popote na unalipia hakuna kuuzwa mara mbili
Popote ulipo, njoo usome maoni yako tena.
Hii ndio bongo bhana!
 
Back
Top Bottom