Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Asombe na mud slide ya Katesh HanangHuyu mzee ni mjinga sn, kwanini asipate hata ajali?
[emoji1787] duhHuyu mzee ni mjinga sn, kwanini asipate hata ajali?
Pamoja[emoji1787] duh
Hanang' ni dili kwa wakubwa pesa zitapigwa haswaAsombe na mud slide ya Katesh Hanang
Latra ni mradi wa upigaji tu na kukamua wananchi! Kwa maoni yanguMkurugenzi wa LATRA amesema kwamba kabla ya kupandisha nauli za mabasi walipokea maoni ya wananchi kwanza na kuyafanyia kazi.
Amesema kwamba siku ya kikao hicho Walikuwa Mubashara dunia nzima, na kwamba kila mtu aliona na wengine walishiriki na kutoa maoni yao.
===
“Nauli haitolewi kwa kuangalia mafuta tu, kuna vitu vingi na tuliwashirikisha [wananchi]. Tunapoletewa maombi tunaitisha kikao cha wadau [...] Siku tunafanya kikao hiki tulikuwa live [mubashara] dunia nzima na watu wanatoa mapendekezo yao halafu tunapokea maoni ya wananchi.” – Habibu Suluo, Mkurugenzi Mkuu LATRA
😆😆😆😆Mkurugenzi wa LATRA alikua anaongea vitu visivyoeleweka Clouds...
Labda Yanga, ile timu ya jangwani pale. Unakusanya maoni Live au mubashara si watakuwa wamejipanga wasafirishaji kutoa maoni km wananchi wa Tanzania kuona nauli inapanda.Wananchi wapi hao?
1.Mikutano na vikao vya ushirikishwaji viilikaa wapi na lini??Mkurugenzi wa LATRA amesema kwamba kabla ya kupandisha nauli za mabasi walipokea maoni ya wananchi kwanza na kuyafanyia kazi.
Amesema kwamba siku ya kikao hicho Walikuwa Mubashara dunia nzima, na kwamba kila mtu aliona na wengine walishiriki na kutoa maoni yao.
===
“Nauli haitolewi kwa kuangalia mafuta tu, kuna vitu vingi na tuliwashirikisha [wananchi]. Tunapoletewa maombi tunaitisha kikao cha wadau [...] Siku tunafanya kikao hiki tulikuwa live [mubashara] dunia nzima na watu wanatoa mapendekezo yao halafu tunapokea maoni ya wananchi.” – Habibu Suluo, Mkurugenzi Mkuu LATRA