LATRA yapandisha nauli za Mabasi ya Mwendokasi, Teksi na Pikipiki za mtandaoni

LATRA yapandisha nauli za Mabasi ya Mwendokasi, Teksi na Pikipiki za mtandaoni

Uber na taxify ( Bolt) bei zao zimepanda kiasi cha kutisha,

Bila shaka mauzo yao yatapungua maradufu Kwani watu wengi hawatumii tena wamerudi kutumia usafiri wa daladala.

Na kodi wanayolipa itapungua mwisho looser atajulikana ni nani.
Ila unajua watu walivyo vigeugeu????
Niko paleeeee nikingojea watu wasitumie hizo basi
 
LATRA huwa wanapanga vitu bila hata kujua Uchumi wa Dunia kwa mwaka 2023 upoje yaani IMF wanatoa taarifa tujishikilie hali inaweza kuwa sio nzuri hasa kwa Nchi za Dunia ya tatu wao wanakuja na kupandisha bei hawa jamaa bora hata NIDA sijawahi waelewa kabisaa...
 

Latra Yapandisha Nauli Za Mabasi Ya Mwendokasi, Teksi Na Pikipiki Za Mtandaoni​




Kuanzia Januari 16, 2023 Nauli ya Mabasi ya Mwendokasi itakuwa Tsh. 750 kutoka 650, njia ya mlisho (Feeder Route) ni Tsh. 500, njia ya mlisho na njia kuu (Feeder & Truck Route) Tsh. 900 njia ya Kimara – Kibaha ni Tsh. 700 badala ya pendekezo la DART la Tsh. 1,200

Teksi Mtandao za abiria 4 Tsh. 3,000 – 4,000, Magari ya abiria 6 itakuwa Tsh. 4,000 – 5,000 ndani ya Kilomita 1, na safari ikizidi itaongezeka kwa Tsh. 800 hadi 1200 kwa kilomita 1. Ikiwa kutakuwa na vikwazo kama foleni nauli itaongezeka kwa Tsh. 80 hadi Tsh. 150 kwa kila dakika

Pikipiki za abiria 2 nauli itakuwa Tsh. 1,000 – 1,500, Pipipiki za abiria wasiozidi 3 itakuwa Tsh. 2000 – 2500 ndani ya Kilomita 1, na safari ikizidi itaongezeka kwa Tsh. 300 – 600 kwa kila kilomita moja na kama kutakuwa na vikwazo kama foleni nauli itaongezeka kati ya Tsh. 50 hadi 90 kwa kila dakika.
 

Latra Yapandisha Nauli Za Mabasi Ya Mwendokasi, Teksi Na Pikipiki Za Mtandaoni​




Kuanzia Januari 16, 2023 Nauli ya Mabasi ya Mwendokasi itakuwa Tsh. 750 kutoka 650, njia ya mlisho (Feeder Route) ni Tsh. 500, njia ya mlisho na njia kuu (Feeder & Truck Route) Tsh. 900 njia ya Kimara – Kibaha ni Tsh. 700 badala ya pendekezo la DART la Tsh. 1,200

Teksi Mtandao za abiria 4 Tsh. 3,000 – 4,000, Magari ya abiria 6 itakuwa Tsh. 4,000 – 5,000 ndani ya Kilomita 1, na safari ikizidi itaongezeka kwa Tsh. 800 hadi 1200 kwa kilomita 1. Ikiwa kutakuwa na vikwazo kama foleni nauli itaongezeka kwa Tsh. 80 hadi Tsh. 150 kwa kila dakika

Pikipiki za abiria 2 nauli itakuwa Tsh. 1,000 – 1,500, Pipipiki za abiria wasiozidi 3 itakuwa Tsh. 2000 – 2500 ndani ya Kilomita 1, na safari ikizidi itaongezeka kwa Tsh. 300 – 600 kwa kila kilomita moja na kama kutakuwa na vikwazo kama foleni nauli itaongezeka kati ya Tsh. 50 hadi 90 kwa kila dakika.

Dizeli pia bei juu zaidi tokea Jan 14 vingine vyote navyo vitapanda zaidi kutokea hapa tulipo huku wajinga sisi tukikenua.
 
Mkuu unamuona wa kuhoji vitu kama hivyo? Sihukumu ila ni kama wannachi walio wengi "wameridhika na mambo yalivyo" na wanaishi maisha yao! Angalia bei ya petrol alafu jiulize isingekua msururu wa makodi bei isingekua hivyo! ila nani amehoji? wanasiasa wame take over kila kitu nchi hii! Kazi ipo!
 
Uchumi wa Tanzania upo chini Sanaa wengi wetu ni maskini hizo nauli mlizoweka sio sawa kabisaa mkae chini mfikilie tanaa jamni hii sio sawa 😭😭 hii Ni serikali yetu kweli au Kuna watu wameinunua mm sielewi kabisaaa tunakoelekea 😭😭
 
Back
Top Bottom