LATRA yasitisha leseni ya kampuni ya mabasi ya Katarama

LATRA yasitisha leseni ya kampuni ya mabasi ya Katarama

Hapana hapa kuna wivu na visa na sio bure , hii nchi ndiyo maana hatupati wawekezaji wapya na waliopo wanahama ,viongozi wanamambo ya kipuuzi sana sana,

Kuna kampuni kila siku zinasababisha ajali kizembe na hazifungiwi wana msakama tu muwekezaji , nantangu kaanza usafirishaji hajawahi kupata ajali hata mara moja ila kuna kampuni zina sababisha ajali kila mara, viongozi wa latra kuweni waadilifu
Kwa hiyo unataka ajali itokee kwanza ndio wachukue hatua?
 
Screenshot_20240918-064743.png
 
Hapana hapa kuna wivu na visa na sio bure , hii nchi ndiyo maana hatupati wawekezaji wapya na waliopo wanahama ,viongozi wanamambo ya kipuuzi sana sana,

Kuna kampuni kila siku zinasababisha ajali kizembe na hazifungiwi wana msakama tu muwekezaji , nantangu kaanza usafirishaji hajawahi kupata ajali hata mara moja ila kuna kampuni zina sababisha ajali kila mara, viongozi wa latra kuweni waadilifu
Kuchezea VTD ndio kaonewa?
Kwa nini wengine hawachezei?
Umeandika kishabiki sana, hawajamfungia kwa vile hajawahi pata ajali, bali kavunja sheria za leseni ya usafirishaji abiria. Na sio wa kwanza kupewa adhabu hiyo.
 
Ila hata hivyo hii hoja bado haitoshi kutuhamisha kwenye mjadala wa utekaji na mauaji
Ni Tanzania pekee watu wakisimamia sheria za nchi, raia wanaona wanaonewa ila wasimamia sheria wasipozisimamia wanaoneaka hawajali.
 
Hapa kuna visa hapa inawezekanaje wengine wapewe onyo halafu katarama afungiwe ? Wakati wote makosa yao yanafanana?
Katarama ni onyo la 3
Hao wengine ni la 1.

Unaweza kuona alieonywa mara 3 na haachi maana yake anafanya makusudi.
 
Kuna vitu vinavifikirisha sana wakuu inawezekanaje katarama inaingia mwanza alafu iinafata ally badae isamilo nayo inafika muda si mrefu! Vp kuhusu vithibiti mwendo awe amechezea katarama peke yake wakati kampuni kama ally's na nyinginezo zinamwaga moto vibaya mno barabarani inamana latra wanashindwa kuona yote hayo au kuna conflict of interest hapo kiukweli nina maswali mengi sana lakini yanakosa majibu
Shida sio mwendo.
Hivyo vifaa vinatakiwa kutuma taarifa za kweli Latra, yaani kama yuko 80km/h ionekane hivyo kule Latra. Walichofanya katarama ni ku temper na hiyo system akiwa 80km/h kule latra inatuma taarifa za uongo 50km/h.
 
Uenda alishapewa sana onyo mara nyingi kwa kukiuka sheria .
Naona watu wengi mmekua upande wake kwamba kaonewa lakini tambueni madreva wake wanakiuka sana sheria za barabarani tuiachie serikali ifanye kazi yake tusiwe upande wa ushabilki ndugu zetu wengi wamepoteza maisha au kupata ulemavu wa maisha kutokana na na uzembe wa mwenye makampuni ya mabasi kuruhusu madreva wao wavunje sheria.
kweli mkuu ila ndugu zetu wakipotea na kuokotwa wamekufa hadithi inakua tofauti
 
Au kawatikisa mabosi[emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783]
 
Hapo ni visa tuu na roho mbaya za rushwa kwa hawa viongozi wenye madaraka si bure maana makosa hayo mbona ni ya mabasi yote, hapo wanataka kumkomoa kupitia viongozi wa hovyo wa serikali
Hii imekaa vibaya sana ni uonevu wa hali ya juu sana kiukweli viongozi wetu wanatugawa sana mtu anapambana kukuza mtaji wake alafu anatokea mtu mmoja kuja kuharibu ugali wa familia yake
 
Kuchezea VTD ndio kaonewa?
Kwa nini wengine hawachezei?
Umeandika kishabiki sana, hawajamfungia kwa vile hajawahi pata ajali, bali kavunja sheria za leseni ya usafirishaji abiria. Na sio wa kwanza kupewa adhabu hiyo.
Naona Abood na wengine wamepewa onyo hata mimi nina mashaka na hiyo hukumu yao ni Vita ya biashara na jamaa ana DNA za marehemu Sauli ana uthubutu wa kuleta vyuma kweli hao Tanzania hawatakiwi..
 
Naona Abood na wengine wamepewa onyo hata mimi nina mashaka na hiyo hukumu yao ni Vita ya biashara na jamaa ana DNA za marehemu Sauli ana uthubutu wa kuleta vyuma kweli hao Tanzania hawatakiwi..
Abood ni onyo la kwanza.
Huyo kosa hilo hilo amerudia mara 3 na mara zote amekuwa akilipa faini.
Onyo mwisho ni mara mbili, ya tatu unachukuliwa hatua
 
Maustaadhi bhana
Abood ni onyo la kwanza.
Huyo kosa hilo hilo amerudia mara 3 na mara zote amekuwa akilipa faini.
Onyo mwisho ni mara mbili, ya tatu unachukuliwa hatua
Hizo bus zote zinatembea na king'amuzi kinapiga kelele toka mwanzo wa safari mpaka mwisho wa safari hasa kwa safari za usiku ujanja ujanja tu.
 
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), kwa kushirikiana na Jeshi la polisi kikosi cha Usalama Barabarani imefanya kikao na wasafirishaji wa mabasi ya Mkoani ili kuwakumbusha kuzingatia Sheria na Kanuni za Usalama Barabarani.

Aidha, LATRA imesitisha Leseni ya kusafirisha abiria kwa kampuni ya mabasi ya KATARAMA Luxury kutokana na kuchezea kifaa cha kufuatilia mwenendo wa magari (VTD)
Kufuatia kikao hicho, Mamlaka imetoa onyo kali ya wiki moja kwa ABOOD Bus Service, BM Coach na SUPER FEO kwa kosa la kuchezea mfumo wa mwenendo wa magari (VTS) na kukiuka masharti ya leseni walizopewa na kuwataka wasafirishaji wote nchini kuzingatia Sheria, Kanuni na taratibu zilizowekwa.

Kikao hicho kimefanyika Ofisi ya LATRA Dar es Salaam, Septemba 12, 2024 na kuhudhuriwa wadau mbalimbali wakiwemo Chama cha wamiliki wa mabasi Tanzania (TABOA), Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, pamoja na Wamiliki na Wawakilishi wa Makampuni hayo.
Mnyama SCANIA hakupewa onyo, kaadhibiwa direct.. Michina yote imepewa onyo na muda🥺😂
 
kifaa haki cap mwendo, bali huwapa taarifa latra bus ipo speed ngapi
wanang'oa ICs wanaweka zingine, inatuma taarifa ya uongo, like 60kph mda wote wakati chuma iko 170kph
170 kph kwa barabara ipi kwa mfano? Au umeandika tu kwa kuwa unajua kusoma?
 
Maustaadhi bhana

Hizo bus zote zinatembea na king'amuzi kinapiga kelele toka mwanzo wa safari mpaka mwisho wa safari hasa kwa safari za usiku ujanja ujanja tu.
Sijui hata unachotaka.
Anyway iwe kama upendanvyo.
 
Back
Top Bottom