[emoji625]SOMENI
Pia kwa abiria ambao hawatakuwa na simu janja hawatosumbuka Kwani watakapofika vituoni watakatiwa tiketi hizo kwa kifaa maalumu kiitwacho POS .
Mbali na hilo alisema abiria watanufaika zaidi kwani kwa kutumia mfumo huo watakuwa na uwezo wa kuchagua kituo cha kupanda basi pamoja na kushuka.
Mkurugenzi wa Imani Class Amani Kaganda ambaye tayari ameanza kutumia mfumo huo kwa majaribio alisema faida za mfumo huo ni nyingi kwani mmiliki wa basi anajua fedha alizoingiza kwa siku na kuanza kupanga matumizi yake .
“Fedha naipata kwa wakati sisumbuki na watu kunipa hesabu pia nina uhakika na abiria wanaoingia kwenye gari”alisema.
Njoo utoe Tahadhari Tena
Erythrocyte