LATRA yawataka wenye mabasi ya abiria kuanza kutumia tiketi za mtandao, watakaoshindwa kufanya hivyo kufutiwa leseni

Huko vijijini nani aliwafundisha Mpesa?tuanzie hapo. ni kwakua tu Uber haipo vijijini ila ingekuepo wangeitumia na ungeshangaa wanaitumiaje...mambo ya select destination then..next next confirm yanahitaji Elimu gani?tena App yenyewe imeandikwa kwa kiswahili km Mpesa...ukiniambia mtandao ntakuelewa ila sio Elimu.
 
Asante sana kwa bandiko hili Nextman
 
Hizo ticket tutazipata kupitia website ya LATRA au kwa namna ipi?
 

Mkuu utake usitake jambo jipya hasa la kielektroniki litakalotumiwa na umma kwa wingi elimu inahitajika usikatae kufafanuliwa, usijifananishe wewe na watu wengine
 
Asante sana kwa bandiko hili Nextman
[emoji625]Hii ni Taarifa Since May 2020

Alafu mtu anakuja anasema Serikali inaleta Maagizo kwa kushtukiza, alafu blah blah kibao vingereza viiiiingi ilimradi tuu na yeye aonekane amepinga



 
[emoji625]Hii ni Taarifa Since May 2020

Alafu mtu anakuja anasema Serikali inaleta Maagizo kwa kushtukiza, alafu blah blah kibao vingereza viiiiingi ilimradi tuu na yeye aonekane amepinga
Walifanya pilot study? Wameshirikisha wadau? Kuongoza kwa amri za kushtukiza ndiyo jadi yenu.
 
Walifanya pilot study? Wameshirikisha wadau? Kuongoza kwa amri za kushtukiza ndiyo jadi yenu.
Ni wajibu wao wakutafute wakuambie ?

AU

Ni wajibu wako kutafuta taarifa ?



[emoji625]Soma hiyo
 
Ni wajibu wao wakutafute wakuambie ?

AU

Ni wajibu wako kutafuta taarifa ?



[emoji625]Soma hiyo
Ni wajibu wao kuwashirikisha wadau wote. Na hatua ziende kwa uwazi. Haya mambo ya amri siyo uongozi bali ni utawala.
 
Kama kawa wanatengeneza tatizo mkuu anakuja kutengua ili aonekane kipenzi na mtetezi wa wapiga debe
 
Acha ujinga tunaolipa kodi ni sisi abiria, wenye mabasi ni wakala tu wa kukusanya kodi! Kinawashinda nini kutoa ticket za kielectroniki? Tatizo wanataka faida wale na kodi ya serikali waile! tunajenga nchi sisi ni lazima tulipe kodi, waache janjajanja!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…