LATRA yawataka wenye mabasi ya abiria kuanza kutumia tiketi za mtandao, watakaoshindwa kufanya hivyo kufutiwa leseni

Sasa mtu wa buchosa ndani ndani akitaka ticket na kwenye mambo ya kutumia mtandao yuko chini inakuwaje hapo

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Kuna wakala wa kukatisha ticket kwa mtandao mabasi yote ... kama unavotaka kununua umeme wa luku huko ndanindani ananunuaje ?
 
Sio kwamba sisi ambao ni wahusika wa kusafiri tutakuwa tumepata unafuu maana tutakata tiketi elekezi?? Kama ni elfu kumi basi ni elfu kumi hakuna kudalaliwa??
𝑵𝒂𝒅𝒉𝒂𝒏𝒊 𝒊𝒕𝒂𝒌𝒖𝒘𝒂 𝒏𝒂𝒇𝒖𝒖
 
Hivi mnaposema wadau hawakushirikishwa, ina maana huko serikali kumejaa wajinga kiasi kwamba wafikirie kuanzisha kitu bila kushikisha wadau.?

Mawakala na Wapiga debe watapotezaje ajira.?
Hebu jiulize, kwanini itoke kauli kuwa atakaepinga kufutiwa leseni.
Happy panaushirikishwaji wadau, huoni huu ni ubabe?

Ukisoma mada tulia Kwanza ili ubongo ufanye kazi take Sasa na ikupe uelewa, maana wengine akili ni nzito
 
Hebu jiulize, kwanini itoke kauli kuwa atakaepinga kufutiwa leseni.
Happy panaushirikishwaji wadau, huoni huu ni ubabe?

Ukisoma mada tulia Kwanza ili ubongo ufanye kazi take Sasa na ikupe uelewa, maana wengine akili ni nzito
Hivi kwanini serikali isilete mabasi yake ili kuwakomoa wamiliki wabishi ?
 
Hebu jiulize, kwanini itoke kauli kuwa atakaepinga kufutiwa leseni.
Happy panaushirikishwaji wadau, huoni huu ni ubabe?

Ukisoma mada tulia Kwanza ili ubongo ufanye kazi take Sasa na ikupe uelewa, maana wengine akili ni nzito
Wadau gani unawasemea wewe ?

Mbona tunakua wazito hivi
Sio Swala la Jana wala Juzi hili
Soma hapo chini


 
Si ajabu hata hawa madalali nao wakaihuka na janja yao kwenye hizi tiket
 
Mtaelewa tu, nyie wenzetu kila kitu mnaanza na vikwazo.
Tanesco wakati wanaleta mfumo wa kununua umeme kwa simu mlianza hivihivi.
Kipindi kikwete analeta BVR napo mlianza hivihivi.
 
Hao wenye mabasi walishashirikishwa na wakaukubali huo mfumo na baadhi walishaanza kuutumia muda tu mrefu, mfano Darlux, shabiby, nbs
Kuhusu wapiga debe na mawakala kushirikishwa, kumbuka wapiga debe hawatambuliwi , hakuna sehemu ambapo mpiga debe anatambuliwa.
Wakala yeye atamalizana na wamiliki wa mabasi, kwa maana hiyo maelekezo atapewa na wamiliki wa mabasi wanayoyahudumia.
Wengi sijui mkisikia ticket za kielectronic mnaelewa nini? Hizo ticket ni kama zile za mwendokasi, kwa tafsiri rahisi hakutakuwa na ticket za vitabu. Bali ticket zitakatwa kwa mashine na hao mawakala
 
hawa LATRA watatununulia na smart phone ili tamko lao kushtukiza lisogee
Wenzetu mna ubongo kweli? Smartphone ya nini?? Kwani ticket ya mwendokasi inahitaji uwe na smartphone?
Hizo ticket ni kama zile za mwendokasi
 
9

Hapa wale jamaa wanaogombea abiria nje ya stendi wapate kula ndio kiyama chao sasa
kimefika.

Kivipi? Wenzetu sijui hata kama mna vichwa.
Mawakala watakuwepo kama kawaida na wao ndio watakuwa wanakata hizo ticket, wapiga debe wao kazi yao ni kukupeleka kwa wakala
 
Wadau gani unawasemea wewe ?

Mbona tunakua wazito hivi
Sio Swala la Jana wala Juzi hili
Soma hapo chini
Wewe ndiyo mzito, umekomalia jambo jepesi kabisa, kwani watu na wadau wakipewa elimu wewe kinakuuma nini mzee, halafu hiyo elimu unayoisema ilitolewa ilitolewa kwenye platform gani au media gani ambayo inaweza kuwafikia watu wengi kwa urahisi? Mitandaoni je kila mtu ana smartphone akaona mafundisho hayo? Acha mihemko ujiaji mwingi, acha watu wapate elimu hata kama ilitolewa itolewe zaidi, sijui kwanini ikuume hivi maana atangu jana umeshupalia kweli kweli
 
Jinsi uneployment inavyokuwa kwa kasi tatizo..

Watu lukuki watakosa ajira...
Hapa ndo kusema maajenti na wapiga debe nchi nzima kwisha habari yao!!! Mbona tunaboost unemployment badala ya kuidhibiti?

Kumbe yawezekana hata wale maadui watatu wa tangu uhuru (ujinga, maradhi na umaskini) tuliwabeba hivi hivi mpaka saivi bado tunahangaika nao eeh??
 
Kutumia tiketi za mtandao kunaongeza ufanisi wa ukusanyaji wa mapato. It increase tax collection efficiency
Tunajenga hapa kwa kubomoa kule, sio???? Tutafika lini mwisho wa ujenzi sasa?
 
Tusubiri tuone tarehe 6 +
 
We ni zaidi ya mjinga!
Elimu elimu gani? Kwenda kukata ticket ubungo unataka upewe elimu gani?
Utaenda kama kawaida ubungo kukata ticket, ila badala ya kupewa ticket za kwenye kitabu, utapewa ticket kutoka kwenye mashine. Kama ilivyo kwa mwendokasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…