Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,491
- 2,104
Nimesema 'mashindano ni ya timu bora'. Pamoja na sisi kuwa katika hali ngumu kuna wengine wana hali ngumu zaidi.Kwahiyo kutopata point kwa Al Ahly ndo mmeona pa kujipea matumaini kwamba nanyie kupata pont 1 ndio mnazostahili ehhh
Na anajua kupotea kweli huyuYeah, huo ndio ukweli.
Timu nzuri ni ile inayopata matokeo mazuri,sio kinyume na hapo. Man U na Tottenham kwa msimu uliopita Tottenham ndio ilikuwa timu nzuri si kinyume na hapo zaidi ya hapo hizo ni mbwembwe ambazo kwenye soka hazina nafasi.
Hawa wa matopeni wana shida sana.
Sisi ni wakimataifa na ndio maana tunachuana kwenye mechi za kimataifa kwa vile tumefanya vizuri ligi ya nyumbani (kama hufahamu maana ya wa kimataifa ni kucheza michuano ya kimataifa) na ukumbuke kuwa kwa sasa Yanga si wakulinganisha na nyinyi ambao hata ligi ya ndani hamna mnachokifanya.Nimefurahi kuona kwamba unaelewa kwamba mbwembwe hazina nafasi kweny mpira, mmepayuka ohhh wakimataifa huo ukimataifa wenu upo wapi? Kweny kumaliza group ukiwa mkiani, hizo ndo mbwembwe ss ulizosema hazina nafasi kweny mpira, km mna uwezo chezeni mpira tuone, sio huu mpira wetu na figisu zenu za TFF, cha kuwapongeza ni kwamba mnapata pesa katika kushiriki ila kimpira na hizo kelele zenu ni aibu tupu, ni sawa na arsenal 2 kweny champion ligi, wanapata hela zao ila pia wanadhalilika 2
Hawa wa matopeni wana shida sana.
Yanga msimu uliopita haikua bora, ilikua ni best among the worst.. Hivyo ilienda kutokana na sheria za CAF.. Lakini kama CAF wangekua wanaangalia viwango vya timu kabla.. Yanga hamkutakiwa kusogelea hata uwanja.Simba ni mdebwedo zaidi kwa sababu imeshindwa kuzifunga timu kama Toto Africans, Coastal Union, Mwadui FC ili kujiptia tiketi ya kushiriki michezo ya Kimataifa. Simba kufikiria kucheza michezo ya kimataifa ni sawa na kufikiria kujenga ghorofa huku ukiwa huna fedha.
Una habari kwamba timu ya Al Ahly Tripoli imecheza mechi 4 na haijapata hata pointi moja? Haya ni mashindano ya timu bora. Usianze kujilinganisha eti Simba hata ikiwa mbovu haiwezi kuwa na pointi 1 huku ukisahau kuwa nafasi ya 3 kwenye msimamo wa ligi ndiyo haki yenu!
CAF Confederations Cup 2016 Standings - Soccer/Africa
Sisi ni wakimataifa na ndio maana tunachuana kwenye mechi za kimataifa kwa vile tumefanya vizuri ligi ya nyumbani (kama hufahamu maana ya wa kimataifa ni kucheza michuano ya kimataifa) na ukumbuke kuwa kwa sasa Yanga si wakulinganisha na nyinyi ambao hata ligi ya ndani hamna mnachokifanya.
Hapa Jf hakuna uzi wa akina fulani,ili mradi haumkwazi mtu na uchanganyi habari, na kama utakuwa umeanzia juu utakuwa umeona jinsi mtoa mada alivyoiingiza Yanga kwenye mada inayozungumzia vitu vya wamatopeni. Lakini pia sisi kuitwa wa KIMATAIFA NI SAHIHI KABISA NA NDIO HADHI YETU labda kama ujui maana ya wa kimataifa ni hii NI TIMU INAYOCHEZA MICHUANO YA KIMATAIFA.Shida mnazo nyinyi mnaoshindwa kujadil mamb yenu kwenye uzi wenu, kutwa kuja kajaza server kweny uzi wa wenzenu, kwahiyo nyie mmeona ata issue ya kukodisha team yenu km shamba haina maana kuijadil hadi mje kujadil simba day, alafu hv waga mnajiskiaje mtu akiwaita wakimataifa alafu na hiyo performance yenu ya huo utaifani ilivo
Historia haina nafasi kwa soka la sasa, Leister msimu wa 2014/ 2015 ilikuwa inajiokoa kushuka daraja lakini msimu wa 2015/2016 wao ndio mabingwa. Na tukiizungumzia historia utaitaja Liverpool leo hii ina nafasi gani kwenye soka la Uingereza na Ulaya kwa ujumla. Na hata ukiilazimisha kwa hapa home bado Yanga ndio inayoongoza kuchukua ubingwa wa TZ na kuifunga mara nyingi Mikia fc, lakini hayo hayana nafasi kwa sasa kwa sababu wapinzani wetu kwa sasa ni Azzam na si Mikia fc tena.Simba haiwezi kujilinganisha na yanga ktk VPL hii misimu mitatu hapa nyuma sikatai, ila usijifanye kuilinganisha simba na yanga huko mnakopaita utaifani, swimme nyie angalieni record za simba na Ndala FC alafu urudi hapa kutoa povu
Hapa Jf hakuna uzi wa akina fulani,ili mradi haumkwazi mtu na uchanganyi habari, na kama utakuwa umeanzia juu utakuwa umeona jinsi mtoa mada alivyoiingiza Yanga kwenye mada inayozungumzia vitu vya wamatopeni. Lakini pia sisi kuitwa wa KIMATAIFA NI SAHIHI KABISA NA NDIO HADHI YETU labda kama ujui maana ya wa kimataifa ni hii NI TIMU INAYOCHEZA MICHUANO YA KIMATAIFA.
Kuna uwezekano wewe unachojua ni habari za mikia tu, hivi unajua kuwa hadi hatua hii iliyofikiwa na Yanga kuna timu ambazo hazikufikia ??Yanga msimu uliopita haikua bora, ilikua ni best among the worst.. Hivyo ilienda kutokana na sheria za CAF.. Lakini kama CAF wangekua wanaangalia viwango vya timu kabla.. Yanga hamkutakiwa kusogelea hata uwanja.
Kuna uwezekano wewe unachojua ni habari za mikia tu, hivi unajua kuwa hadi hatua hii iliyofikiwa na Yanga kuna timu ambazo hazikufikia ??
Ulichokisema nifanye nimekifanya na majibu ndio haya hapa. Yanga ipo kwenye 325 Azam 343 na Mikia fc ni ya 348 tafadhari sana naomba usome. Africa Football / Soccer Clubs Ranking - FootballDatabaseNyie watani ukimataifa wenu uko hpa hpa ktk ardhi ya mbambadu, mnakoenda huko ulizeni nani wakimataifa kati ya mnyama na ndala mtaambiwa, mnachofanya nyie ni sawa na kulinganisha Manchester utd na Liverpool katika uefa champions ligi
Sifanyi porojo, na hayo niliyoyaandika ni kutokana na maelezo ya jamaa hapo juu anaitwa sembo commenti yake 48# hebu rudi hapo juu utaona kwanini nimeandika hivo.Acha porojo ww c tunaongelea wewe unaejiita wakimataifa namm unaeniita wamatopeni sa hizo team zingine zinatuhusu nn hapa
Ulichokisema nifanye nimekifanya na majibu ndio haya hapa. Yanga ipo kwenye 325 Azam 343 na Mikia fc ni ya 348 tafadhari sana naomba usome. Africa Football / Soccer Clubs Ranking - FootballDatabase
Mtani hizo sio record za caf, hizo standings ambazo zinqchange kulingana na performance ya team ktk ligi yake ndomana umeona azam yuko mbele yangu kwa sababu tu ye amenizid hii misimu mi3, na hiyo haina maana kwamba azam au yanga ni team bora africa, km utaweza pia angalia standings za vilabu vyote duniani km hukuti arsenal na Tottenham ziko mbele ya team km liverpool, na utakuta juventus ipo nafasi ya juu kuliko Manchester utd, msimu ujao naanza kwanza kumkata azam then mtani
Tuwekee hizo rekodi za CAF ?
Hizo rekodi za CAF zinaangalia perfomance ya nini ?