Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona jamaa yupo vizur tu.Hakika hakuna kitu nilichochukia na ninachoendelea kuchukia kama kusainishwa na kuendelea kumuona Lavalava WCB.
Huyu muimba kaswida hafai kabisa kuwepo ndani ya kundi na tangu aingie WCB anazidi kutuongezea mikosi tu.
Ni mara mia nafasi yake tungebahatika kumpata mtu kama Shetta au hata huyu bwana mdogo Neddy kuliko huyu aliyetoroka madrassa na kuja kutuletea mikosi tu ndani ya WCB.
Hata katika wimbo wa zilipendwa kipande chake kibovu sana ,pale angekaa Shetta ,Shettani au baba Qaylah ingekuwa poa sana.
Huyu lavalava kwanza kakaa kishamba shamba halafu damu ya nguo hana kabisa.
Bora hata akaimbe baikoko ndio saizi yake , huku kwingine hakuwezi kabisaaa.
View attachment 582949
una fikra finyu sana mkuu!Bora aondolewe hamonaiz na siyo huyo kijana,dogo anasauti ya kipekee,alafu hajikamui wakati wa kuimba wala kuimbia puani kama hamonaiz
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]daàah eti nyota nzito nimecheka kwa sauti loohjamaa anaweza nimeanza kumuelewa zaidi kwenye DEDE na TEJA...kupitia nyimbo izo nimegundua kuwa dogo ana kitu,muda tu bdo na anaonekn ana nyota nzito sn km belle 9...tumpeni muda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Qboy ndo nani tena jamani.. Tufahamishanebora hata Qboy msafi si unaona ngoma zake zilivyotulia kuliko huyu jamaa.
Angalia ngoma kama Mugacherere ilivyotulia na alivyoitendea haki.
Uzuri ni maoni yako na wala si uhalisia uliopoHakika hakuna kitu nilichochukia na ninachoendelea kuchukia kama kusainishwa na kuendelea kumuona Lavalava WCB.
Huyu muimba kaswida hafai kabisa kuwepo ndani ya kundi na tangu aingie WCB anazidi kutuongezea mikosi tu.
Ni mara mia nafasi yake tungebahatika kumpata mtu kama Shetta au hata huyu bwana mdogo Neddy kuliko huyu aliyetoroka madrassa na kuja kutuletea mikosi tu ndani ya WCB.
Hata katika wimbo wa zilipendwa kipande chake kibovu sana ,pale angekaa Shetta ,Shettani au baba Qaylah ingekuwa poa sana.
Huyu lavalava kwanza kakaa kishamba shamba halafu damu ya nguo hana kabisa.
Bora hata akaimbe baikoko ndio saizi yake , huku kwingine hakuwezi kabisaaa.
View attachment 582949
ooh baby umepigwa banHahahahh eti muimba qaswida...uncle chuki sio nzuri ujue
jamaa alimsifia KING KIBA live kwenye mahojiano nlihisi tu kitu kama hiki kutokea pumbav sana mtoa post.Utakua mpiga dili kakuimba umechukia unaona raha gani kijana mtafutaji akifukuzwa kazi? Soon utaomba baba ako afe urithi Mali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka sio vizuri kuharibu carrier za watu kwa kupandikiza chuki binafsi,lava lava ndo anaanza jenga ngome sasa mpk akina kiba wamemuelewa.sababu ashajipatia mashabiki acha apate ugali wake kwa urefu wa kamba yake.kama hawezi mziki utamselect out. Mwache ajipatie ugali kwa kidogo alicho nacho.ila ni mtazamo wako tu lakini umewakilisha kichuki
Nakuunga mkono aiseeeeHakika hakuna kitu nilichochukia na ninachoendelea kuchukia kama kusainishwa na kuendelea kumuona Lavalava WCB.
Huyu muimba kaswida hafai kabisa kuwepo ndani ya kundi na tangu aingie WCB anazidi kutuongezea mikosi tu.
Ni mara mia nafasi yake tungebahatika kumpata mtu kama Shetta au hata huyu bwana mdogo Neddy kuliko huyu aliyetoroka madrassa na kuja kutuletea mikosi tu ndani ya WCB.
Hata katika wimbo wa zilipendwa kipande chake kibovu sana ,pale angekaa Shetta ,Shettani au baba Qaylah ingekuwa poa sana.
Huyu lavalava kwanza kakaa kishamba shamba halafu damu ya nguo hana kabisa.
Bora hata akaimbe baikoko ndio saizi yake , huku kwingine hakuwezi kabisaaa.
View attachment 582949